Hata kama ni ofisini kwake. Je kama mabango mengine ya matusi yangemlenga Rais, waziri au kiongozi mwingine ingekuwaje? maana watu vichwa vimepata moto na ruhusa ndo keshatoa Chalamila.Ukisikiliza hutuba yake nzima alimaanisha hayi mabango waende nayo ofisi kwake hata wakiandika matusi waende nayo kwake sio siku ya ziara ya Rais ..
Sasa sielewi kwanini watu wamekata kipande kidogo !!