Rais Samia Asisahau Kumwambia Rais wa China Juu ya Hasara Kubwa Afrika Inapata Kutokana na Bidhaa Takataka za China

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,558
41,078
Kwa sasa nchi nyingi za Afrika zisizo na uwezo wa kudhibiti ubora wa bidhaa au nchi ambazo zina mifumo ya hovyo ya kudhibiti ubora wa bidhaa, kama ilivyo Tanzania, wananchi wake wanaingia hasara ya mabilioni ya pesa baada ya kutapeliwa na Wachina kupitia bidhaa fake na zile zenye viwango duni vya ubora.

Inachofanya China, ni wizi na utapeli wa hali ya juu kupitia bidhaa. Wachina wanaiga mwonekano wa nje wa bidhaa zinazotengenezwa Ulaya, America, Japan na hata India, lakini ndani yake ni takataka. Bidhaa hizo duni, nyingi hazifikii hata 10% ya ubora wa bidhaa kama hiyo, zilizotengenezwa Ulaya, America au Japan.

Nchi za Ulaya hupata bidhaa zenye ubora toka China lakini zilizotengenezwa kwenye viwanda vyao walivyovijenga huko China. Vile viwanda vya Wachina wenyewe vinavyotengeneza bidhaa duni kabisa, soko la bidhaa zao ni Afrika. Maana nchi nyingi za Afrika, taasisi za kudhibiti ubora, kama ilivyo TBS, hazina maana yoyote, na wala hazina uwezo wowote wa kudhibiti ubora kutokana na uduni wa ujuzi wa watendaji wake, vifaa na nyenzo duni, rushwa na ufisadi.

Leo hii ni kawaida kabisa ukanunua machine iliyotengenezwa China, leo hii hii ikahitaji matengenezo kabla hujaitumia, na inaweza isifanye kazi moja kwa moja.

Kuna rafiki yangu aliagiza mitambo ya kiwanda toka China, alilipa $800,000, wiki ya kwanza ya majaribio, na Wachina wenyewe wakiwepo, mtambo uliharibika, na ilichukua wiki 5 kupata replacement ya part iliyoharibika. Lakini hata baada ya kupata hiyo replacement, mpaka leo, karibia kila wiki lazima kuwepo matengenezo.

Kuna rafiki yangu mwingine alinunua water pump, kuanza tu kuitumia, haikufanya kazi. Na haikufanya kazi moja kwa moja.

Mimi mwenyewe nilinunua generator ya umeme, ilifanya kazi masaa 2, ikashindwa kuendelea. Ikabidi nimrudishie muuzaji, muuzaji ikabidi anipe nyingine. Hiyo replacement ilifanya kazi siku 3, nayo ikaharibika. Lakini hivi karibuni nilinunua tairi 5 mpya za kutoka China, za gari kubwa, moja ikaanza kuvimba. Ilipofunguliwa, ikaonekana nyaya zake zimekatika, na ilikuwa ndiyo siku ya kwanza tangu zifungwe kwenye gari.

Hali ni hiyo hiyo kwa bidhaa nyingi za China. Huu nauita ni wizi kupitia bidhaa. China inaiua Afrika kiuchumi. Fikiria mtu ananunua kiatu sh 50,000, anavaa siku 3 au wiki 1, kiatu hakifai tena. Huu ni wizi. Nchi za Afrika ziungane kupinga wizi huu wa China kupitia bidhaa.

Fikiria uliyenunua kiatu kwa sh 70,000 toka China, akavaa kwa wiki moja tu. Hii ni wastani wa sh 10,000 kwa siku. Linganisha na mwenzako aliyenunua kiatu kilichotengenezwa Italy kwa sh 150,000 halafu kinadumu kwa miaka 5. Hii ni wastani wa 150,000 gawanya kwa 5×360; ni sawa na sh 83 kwa siku.

Katika mahusiano ya kibiashara kati ya Afrika na China, kwa kiasi kikuvwa China inazinyonya sana nchi za Afrika kwa kuzifanya nchi za Afrika kuwa dampo la bidhaa zake duni. Na mabilioni ya pesa toka Afrika yanaenda China kupitia hizi bidhaa takataka. Waulize wanaonunua malori mapya kabisa toka China, wanaanza matengenezo baada ya miaka mingapi. Utashangaa

OMBI: Pamoja na ughali wa bidhaa zinazotengenezwa na mataifa yenye tekinolojia ya juu kama Japan, Ulaya na America, tunawasihi sana Wafanyabiashara wa Tanzania, kuwepo na wale wanaoagiza bidhaa zenye ubora toka mataifa ya Ulaya, Japan na America. Ili wanunuzi wawe na machaguo. Wanaotaka kuendelea kuibiwa na Wachina, wanunue bidhaa hafifu za China, wanaothamini pesa na jasho lao, wanunue bidhaa zenye ubora zinazoendana na thamani ya pesa yao. Au pia wapatikane wafanyabiashara watakaonunua toka makampuni yaliyopo China yanayomilikiwa na makampuni ya mataifa ya Ulaya, America na Japan, maana Wachina wenyewe, walio wengi hawataki kununua bidhaa zinazotengenezwa na makampuni yaliyopo China yanayomilikiwa na Wachina, kwa sababu ya viwango duni vya ubora.

PIGA VITA WIZI WA WACHINA KUPITIA BIDHAA DUNI.
 
Na sisi waafrica tupunguze kupenda mserereko. Unataka bidhaa bora kwa bei chee unategemea mzalishaji atafaidika vipi? Swala ni kutokuipa bidhaa duni bei ya bidhaa nzuri na hapo wanaotuua sio wachina ni wafanyabiashara wetu. Adidas inaitwa Adibas
 
Kama pesa mnayo agizeni bidhaa ulaya , ukiona watu wanaagiza China ina maana wwnastahili hzo bidhaa , sasa wewe unataka t-shirt ya 1500 unataka bidhaa Bora ipi hapo ? Wakat t-shirt kama hyo ulaya inauzwa 200000... China ni mkombozi wa Africa Kwa uzalishaji wa bidhaa tutake tusitake
 
Kwa sasa nchi nyingi za Afrika zisizo na uwezo wa kudhibiti ubora wa bidhaa au nchi ambazo zina mifumo ya hovyo ya kudhibiti ubora wa bidhaa, kama ilivyo Tanzania, wananchi wake wanaingia hasara ya mabilioni ya pesa baada ya kutapeliwa na Wachina kupitia bidhaa fake na zile zenye viwango duni vya ubora.

Inachofanya China, ni wizi na utapeli wa hali ya juu kupitia bidhaa. Wachina wanaiga mwonekano wa nje wa bidhaa zinazotengenezwa Ulaya, America, Japan na hata India, lakini ndani yake ni takataka. Bidhaa hizo duni, nyingi hazifikii hata 10% ya ubora wa bidhaa kama hiyo, zilizotengenezwa Ulaya, America au Japan.

Nchi za Ulaya hupata bidhaa zenye ubora toka China lakini zilizotengenezwa kwenye viwanda vyao walivyovijenga huko China. Vile viwanda vya Wachina wenyewe vinavyotengeneza bidhaa duni kabisa, soko la bidhaa zao ni Afrika. Maana nchi nyingi za Afrika, taasisi za kudhibiti ubora, kama ilivyo TBS, hazina maana yoyote, na wala hazina uwezo wowote wa kudhibiti ubora kutokana na uduni wa ujuzi wa watendaji wake, vifaa na nyenzo duni, rushwa na ufisadi.

Leo hii ni kawaida kabisa ukanunua machine iliyotengenezwa China, leo hii hii ikahitaji matengenezo kabla hujaitumia, na inaweza isifanye kazi moja kwa moja.

Kuna rafiki yangu aliagiza mitambo ya kiwanda toka China, alilipa $800,000, wiki ya kwanza ya majaribio, na Wachina wenyewe wakiwepo, mtambo uliharibika, na ilichukua wiki 5 kupata replacement ya part iliyoharibika. Lakini hata baada ya kupata hiyo replacement, mpaka leo, karibia kila wiki lazima kuwepo matengenezo.

Kuna rafiki yangu mwingine alinunua water pump, kuanza tu kuitumia, haikufanya kazi. Na haikufanya kazi moja kwa moja.

Mimi mwenyewe nilinunua generator ya umeme, ilifanya kazi masaa 2, ikashindwa kuendelea. Ikabidi nimrudishie muuzaji, muuzaji ikabidi anipe nyingine. Hiyo replacement ilifanya kazi siku 3, nayo ikaharibika. Lakini hivi karibuni nilinunua tairi 5 mpya za kutoka China, za gari kubwa, moja ikaanza kuvimba. Ilipofunguliwa, ikaonekana nyaya zake zimekatika, na ilikuwa ndiyo siku ya kwanza tangu zifungwe kwenye gari.

Hali ni hiyo hiyo kwa bidhaa nyingi za China. Huu nauita ni wizi kupitia bidhaa. China inaiua Afrika kiuchumi. Fikiria mtu ananunua kiatu sh 50,000, anavaa siku 3 au wiki 1, kiatu hakifai tena. Huu ni wizi. Nchi za Afrika ziungane kupinga wizi huu wa China kupitia bidhaa.

Fikiria uliyenunua kiatu kwa sh 70,000 toka China, akavaa kwa wiki moja tu. Hii ni wastani wa sh 10,000 kwa siku. Linganisha na mwenzako aliyenunua kiatu kilichotengenezwa Italy kwa sh 150,000 halafu kinadumu kwa miaka 5. Hii ni wastani wa 150,000 gawanya kwa 5×360; ni sawa na sh 83 kwa siku.

Katika mahusiano ya kibiashara kati ya Afrika na China, kwa kiasi kikuvwa China inazinyonya sana nchi za Afrika kwa kuzifanya nchi za Afrika kuwa dampo la bidhaa zake duni. Na mabilioni ya pesa toka Afrika yanaenda China kupitia hizi bidhaa takataka. Waulize wanaonunua malori mapya kabisa toka China, wanaanza matengenezo baada ya miaka mingapi. Utashangaa

OMBI: Pamoja na ughali wa bidhaa zinazotengenezwa na mataifa yenye tekinolojia ya juu kama Japan, Ulaya na America, tunawasihi sana Wafanyabiashara wa Tanzania, kuwepo na wale wanaoagiza bidhaa zenye ubora toka mataifa ya Ulaya, Japan na America. Ili wanunuzi wawe na machaguo. Wanaotaka kuendelea kuibiwa na Wachina, wanunue bidhaa hafifu za China, wanaothamini pesa na jasho lao, wanunue bidhaa zenye ubora zinazoendana na thamani ya pesa yao. Au pia wapatikane wafanyabiashara watakaonunua toka makampuni yaliyopo China yanayomilikiwa na makampuni ya mataifa ya Ulaya, America na Japan, maana Wachina wenyewe, walio wengi hawataki kununua bidhaa zinazotengenezwa na makampuni yaliyopo China yanayomilikiwa na Wachina, kwa sababu ya viwango duni vya ubora.

PIGA VITA WIZI WA WACHINA KUPITIA BIDHAA DUNI.
Je hizo bidhaa ambazo ni high quality definitions how many Africans can afford it ?


Mtanzania anunue kiatu Cha 150k ni wachache mno..hawazidi 2%
 
Kwa sasa nchi nyingi za Afrika zisizo na uwezo wa kudhibiti ubora wa bidhaa au nchi ambazo zina mifumo ya hovyo ya kudhibiti ubora wa bidhaa, kama ilivyo Tanzania, wananchi wake wanaingia hasara ya mabilioni ya pesa baada ya kutapeliwa na Wachina kupitia bidhaa fake na zile zenye viwango duni vya ubora.

Inachofanya China, ni wizi na utapeli wa hali ya juu kupitia bidhaa. Wachina wanaiga mwonekano wa nje wa bidhaa zinazotengenezwa Ulaya, America, Japan na hata India, lakini ndani yake ni takataka. Bidhaa hizo duni, nyingi hazifikii hata 10% ya ubora wa bidhaa kama hiyo, zilizotengenezwa Ulaya, America au Japan.

Nchi za Ulaya hupata bidhaa zenye ubora toka China lakini zilizotengenezwa kwenye viwanda vyao walivyovijenga huko China. Vile viwanda vya Wachina wenyewe vinavyotengeneza bidhaa duni kabisa, soko la bidhaa zao ni Afrika. Maana nchi nyingi za Afrika, taasisi za kudhibiti ubora, kama ilivyo TBS, hazina maana yoyote, na wala hazina uwezo wowote wa kudhibiti ubora kutokana na uduni wa ujuzi wa watendaji wake, vifaa na nyenzo duni, rushwa na ufisadi.

Leo hii ni kawaida kabisa ukanunua machine iliyotengenezwa China, leo hii hii ikahitaji matengenezo kabla hujaitumia, na inaweza isifanye kazi moja kwa moja.

Kuna rafiki yangu aliagiza mitambo ya kiwanda toka China, alilipa $800,000, wiki ya kwanza ya majaribio, na Wachina wenyewe wakiwepo, mtambo uliharibika, na ilichukua wiki 5 kupata replacement ya part iliyoharibika. Lakini hata baada ya kupata hiyo replacement, mpaka leo, karibia kila wiki lazima kuwepo matengenezo.

Kuna rafiki yangu mwingine alinunua water pump, kuanza tu kuitumia, haikufanya kazi. Na haikufanya kazi moja kwa moja.

Mimi mwenyewe nilinunua generator ya umeme, ilifanya kazi masaa 2, ikashindwa kuendelea. Ikabidi nimrudishie muuzaji, muuzaji ikabidi anipe nyingine. Hiyo replacement ilifanya kazi siku 3, nayo ikaharibika. Lakini hivi karibuni nilinunua tairi 5 mpya za kutoka China, za gari kubwa, moja ikaanza kuvimba. Ilipofunguliwa, ikaonekana nyaya zake zimekatika, na ilikuwa ndiyo siku ya kwanza tangu zifungwe kwenye gari.

Hali ni hiyo hiyo kwa bidhaa nyingi za China. Huu nauita ni wizi kupitia bidhaa. China inaiua Afrika kiuchumi. Fikiria mtu ananunua kiatu sh 50,000, anavaa siku 3 au wiki 1, kiatu hakifai tena. Huu ni wizi. Nchi za Afrika ziungane kupinga wizi huu wa China kupitia bidhaa.

Fikiria uliyenunua kiatu kwa sh 70,000 toka China, akavaa kwa wiki moja tu. Hii ni wastani wa sh 10,000 kwa siku. Linganisha na mwenzako aliyenunua kiatu kilichotengenezwa Italy kwa sh 150,000 halafu kinadumu kwa miaka 5. Hii ni wastani wa 150,000 gawanya kwa 5×360; ni sawa na sh 83 kwa siku.

Katika mahusiano ya kibiashara kati ya Afrika na China, kwa kiasi kikuvwa China inazinyonya sana nchi za Afrika kwa kuzifanya nchi za Afrika kuwa dampo la bidhaa zake duni. Na mabilioni ya pesa toka Afrika yanaenda China kupitia hizi bidhaa takataka. Waulize wanaonunua malori mapya kabisa toka China, wanaanza matengenezo baada ya miaka mingapi. Utashangaa

OMBI: Pamoja na ughali wa bidhaa zinazotengenezwa na mataifa yenye tekinolojia ya juu kama Japan, Ulaya na America, tunawasihi sana Wafanyabiashara wa Tanzania, kuwepo na wale wanaoagiza bidhaa zenye ubora toka mataifa ya Ulaya, Japan na America. Ili wanunuzi wawe na machaguo. Wanaotaka kuendelea kuibiwa na Wachina, wanunue bidhaa hafifu za China, wanaothamini pesa na jasho lao, wanunue bidhaa zenye ubora zinazoendana na thamani ya pesa yao. Au pia wapatikane wafanyabiashara watakaonunua toka makampuni yaliyopo China yanayomilikiwa na makampuni ya mataifa ya Ulaya, America na Japan, maana Wachina wenyewe, walio wengi hawataki kununua bidhaa zinazotengenezwa na makampuni yaliyopo China yanayomilikiwa na Wachina, kwa sababu ya viwango duni vya ubora.

PIGA VITA WIZI WA WACHINA KUPITIA BIDHAA DUNI.
PIGA VITA WIZI WA WACHINA KUPITIA BIDHAA DUNI. 🤔🤔🤔🤔
 
Truly Africa is damping area of their Poor quality products lakin pia most of AFRICANS CANNOT Afford to purchase high quality goods
Sidhani kama hatuwezi, shida yetu ni Ile Sera ya kulinda Viwanda vya ndani hivyo kufanya Mamlaka kuset Kodi kubwa.

Sidhani kama tunashindwa kununua laptop Mpya Kwa dollar 1,200 badala yake unalazimika kununua ya Kichina ambazo zimajaa Kariakoo.

Imagine unanunua gari German Kwa dollar 18,000 lakini unakuta Kodi ni mara mbili ya gharama uliyoagizia.
 
Mchina anakupa unachotaka , ni mfuko wako tu.
Watu wengi wasichojua, nchini China kuna makampuni zaidi ya 3,000 kutoka mataifa ya Magharibi. Haya ndiyo yanayotengeneza bidhaa zenye ubora kwa nia ya kuuza nchini China (kwa sababu soko ni kubwa) na kwa mataifa yao. Lakini ubora wa hizo bidhaa unasimamiwa na wenye viwanda wenyewe.

Asilimia kubwa, viwanda vinavyomilikiwa na Wachina wenyewe kwa 100%, ndivyo hivyo vinavyotengeneza bidhaa duni kabisa ambazo hazipati soko ndani ya China yenyewe wala mataifa ya Ulaya na America. Hizo bidhaa duni soko lake lipo Afrika. Maana huku ndiko waliko watu wenye uelewa duni. Wale wanaoamini kuwa geberator la sh milioni 5 la China linalodumu miezi 3 lina bei kuliko generator la Mjapani linalouzwa milioni 10 na linadumu kwa miaka 15.

Kwa ujumla bidhaa za China ndiyo bidhaa aghali zaidi kuliko bidhaa za nchi nyingine yoyote Duniani ukizitathmini kwa cost/lifespan time.
 
Je hizo bidhaa ambazo ni high quality definitions how many Africans can afford it ?


Mtanzania anunue kiatu Cha 150k ni wachache mno..hawazidi 2%
Ni kweli ni wachache sana hao wanaoweza kununua kiatu cha Ulaya cha sh150k ambacho kitadumu kwa miaka 5.. Lakini hao 98% wanaonunua viatu vya China kwa 30k halafu kiatu kinadumu kwa mwezi 1, katika miaka 5, watakuwa wametumia pesa kiasi gani kwa kununua viatu?
 
Watu wengi wasichojua, nchini China kuna makampuni zaidi ya 3,000 kutoka mataifa ya Magharibi. Haya ndiyo yanayotengeneza bidhaa zenye ubora kwa nia ya kuuza nchini China (kwa sababu soko ni kubwa) na kwa mataifa yao. Lakini ubora wa hizo bidhaa unasimamiwa na wenye viwanda wenyewe.

Asilimia kubwa, viwanda vinavyomilikiwa na Wachina wenyewe kwa 100%, ndivyo hivyo vinavyotengeneza bidhaa duni kabisa ambazo hazipati soko ndani ya China yenyewe wala mataifa ya Ulaya na America. Hizo bidhaa duni soko lake lipo Afrika. Maana huku ndiko waliko watu wenye uelewa duni. Wale wanaoamini kuwa geberator la sh milioni 5 la China linalodumu miezi 3 lina bei kuliko generator la Mjapani linalouzwa milioni 10 na linadumu kwa miaka 15.

Kwa ujumla bidhaa za China ndiyo bidhaa aghali zaidi kuliko bidhaa za nchi nyingine yoyote Duniani ukizitathmini kwa cost/lifespan time.
Lakini kama nchi tunaweza weka policy za kuzuia kuingiza vitu vyake au vilivyo chini wa viwango haijalishi kiwe kimetoka nchi gani
 
Back
Top Bottom