Zahwayo
Member
- Dec 9, 2016
- 6
- 6
Nimefarijika na kufurahia sana wasilisho la leo la Tume ya Haki Jinai lilifanywa na Jaji Mkuu mstaafu Mh.Othman Chande.
Juu ya yote nimependezwa na mapendekezo yaliyotolewa na approach aliyotumia Mh.Rais kuyatafutia ufumbuzi.
Tendo zima na dhamira ya Mh.Rais ni ya kiutu na kibinadamu,maana walioko jela ni binadamu kama sisi,wanahitaji kuwajali,kuwapenda na kuwaheshimu pia...japo miaka mingi tumewasahau mno.
Wahusika tumeaswa,tubadili mitazamo/mindset,tabia na tamaduni zetu za kuenenda kama tume ilivyoshauri.
Wazo lililotolewa la kutumia tume ndogo kuandaa mpango wa utelekelezaji/Action Plan,kwa mapendekezo yote na kuanisha wahusika ni nani,time frame, budgetary requirements nk ni zuri zaidi.
Lakini nishauri pia hiyo hoja ya kuandika Concept Note ipewe kipaumbele zaidi,yaweza kusaidia kifedha na tukiinadi kwa wabia wetu wa haki za binadamu, demokrasia na utawala bora,ikiandikwa kwa weledi na viwango Bora na vya ushawishi murua,tunaweza kupata support kubwa zaidi toka kwa wenzetu maana kwao haya ni maeneo ya kimkakati na kiungwana kutuwezesha na huwa wanaguswa vyepesi na maeneo kama haya.
Tutangaze kandarasi kama wafanyavyo UNDP nk tupate wataalam wazuri watuandalie andiko zuri ili tulitembeze panapohusika.
I wish I would be given an opportunity to draft such a concept note...I would do it to my best talent to achieve the desired targets!
Juu ya yote nimependezwa na mapendekezo yaliyotolewa na approach aliyotumia Mh.Rais kuyatafutia ufumbuzi.
Tendo zima na dhamira ya Mh.Rais ni ya kiutu na kibinadamu,maana walioko jela ni binadamu kama sisi,wanahitaji kuwajali,kuwapenda na kuwaheshimu pia...japo miaka mingi tumewasahau mno.
Wahusika tumeaswa,tubadili mitazamo/mindset,tabia na tamaduni zetu za kuenenda kama tume ilivyoshauri.
Wazo lililotolewa la kutumia tume ndogo kuandaa mpango wa utelekelezaji/Action Plan,kwa mapendekezo yote na kuanisha wahusika ni nani,time frame, budgetary requirements nk ni zuri zaidi.
Lakini nishauri pia hiyo hoja ya kuandika Concept Note ipewe kipaumbele zaidi,yaweza kusaidia kifedha na tukiinadi kwa wabia wetu wa haki za binadamu, demokrasia na utawala bora,ikiandikwa kwa weledi na viwango Bora na vya ushawishi murua,tunaweza kupata support kubwa zaidi toka kwa wenzetu maana kwao haya ni maeneo ya kimkakati na kiungwana kutuwezesha na huwa wanaguswa vyepesi na maeneo kama haya.
Tutangaze kandarasi kama wafanyavyo UNDP nk tupate wataalam wazuri watuandalie andiko zuri ili tulitembeze panapohusika.
I wish I would be given an opportunity to draft such a concept note...I would do it to my best talent to achieve the desired targets!