Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,457
- 104,115
Ulitaka wakati nasikiliza na ww uwepo pembeni? Nasema hivi, hiyo ripoti ni upotevu wa rasilimali muda na fedha kwani hakuna kitakachotekelezwa. Hiyo sio tume ya Kwanza kuundwa, na huwa hatuoni utekelezaji wowote wa maana.Nina uhakika hujasikiliza kilichosemwa