Na watu wanashangilia kabisaKwani hiyo hadhi pek yake inaleta ugali mezani??
Low cerebrum capacity 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tuna mtu mjinga ajabu ,haijapata kutokea.
Watu wajinga Huwa wanavisasi vya kipuuuzi!!.
Anaacha majizi ya Report ya CAG, analeta ushambenga wa kizanzibar Kwa mtanganyika anayetetea MASILAHI ya Nchi??.
Kumbe ndo anayewatuma wapuuzi kumfutia Leseninya Uwakili Msomi Mwabukusi??.
Ayayayaya tunaongozwa na mtu Mjingaaaaa alafu mswahiliiiiiiii.
Ni Tanzania pekee, Mjinga anaongoza Mwerevu.
Kitaalam ina madhara gani kumuondolea hiyo hadhi ya ubalozi.DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
View attachment 2735983
=====
Dk Slaa alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1948 wilayani Karatu. Alipata elimu ya msingi katika shule za Karatu na Kwermusi (Mbulu) kati ya mwaka 1958 na 1965.
Alisoma elimu ya sekondari katika Shule za Dung’unyi Seminari na Itega Seminari kati ya mwaka 1966 na 1971.
Ni kiongozi mwenye stashahada tatu pamoja na shahada ya Uzamivu (PhD). Anayo Shahada ya Uzamivu (PhD ) katika Sheria ya kanisa kutoka Chuo Kikuu cha St. Urban, Rome. Pia anastashahada ya Theolojia kutoka Kipalapala Seminari, Stashahada ya falsafa kutoka Kibosho Seminari, Stashahada ya Afya ya Macho kutoka Kituo cha Kimataifa cha Macho.
Amewahi kuwa padri wa Kanisa Katoliki kuanzia mwaka 1977 hadi 1991, akishika nafasi za kiutawala katika kanisa pia. Amepata kuandika vitabu vitatu ambavyo ni Utimilifu wa Msichana (1977), Utimilifu wa Mvulana (1977) na Expediency and exigency Liturgical Legislation (1981).
Ni mzungumzaji wa Lugha nane kwa ufasaha; ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kilatini, Kiitaliano, Kijerumani, Kihispania, Kireno na Kifaransa.
Siku ya Alhamisi, Novemba 23, 2017 Aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alimteua Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kuwa balozi. Alikuwa Balozi wa Sweden, pia ailiidhinishwa kwa Nchi za Denmark, Finland, Norway, Iceland, Estonia, Latvia, Ukraine na Lithuania.
Kipindi Dk Slaa anateuliwa kuwa Balozi, alikuwa anaishi Canada, alitangaza kuachana na siasa kutokana na kutofautiana na chama chake katika kumpokea Edward Lowassa aliyehama kutoka CCM na baadaye kumpitisha kuwa mgombea urais kupitia muungano wa vyama vya siasa wa Ukawa.
Usinikumbushe vile kina Samia na Ruto walivyozungushwa ndani ya yutong huko London walipoenda kumzika Eliza 😂😂Vyeo vina ukomo.
Hata Qeen alizikwa kama Elizabeth.
Jamani.kwani akivuliwa ubalozi kuna madhara gani anapata mkuu??Upadri kavuliwa.
Ubalozi kavuliwa
Imebaki nini???
Kadhihirisha ni kwann Huwa anajificha kwenye UANAMKEChildish move!!!
Hapati .ananyimwa kama lisu alivonyimwa kwani mtafanyaje?
Putin, alisubiri kupoeee, huyu wen ni mbumbumbuAende akaongoze vigango huko maana hata chadema hawamtaki.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kizee hicho kimechanganyikiwa
Kimevuliwa upadri
Kimevuliwa ubalozi
Anachoweza ni uchochezi tu .
Mzee wa hovyo.
Kwani hata wabunge si wana Passport ya Diplomat? Au mimi ndio sielewi?Yah inaleta zaid ya ugali sababu anapewa huduma zote za ki vip iwe ndani au nje ya tz na ilikuwa ana passport ya diplomat but now mkavu tu hata kuruta anamkwida mkanda
Ukishavuliwa uungu ( ukuhani-upadri) kwa wanadamu huna hadhi. Unabaki muhuni tu.Heshima yake kwa Mungu na wanadamu hajavuliwa
Avuliwe tu huyu malaya wa siasa. Akipewa hela anafanya chochote, hana tofauti na malaya wa Kitambaa cheupeDKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
View attachment 2735983
=====View attachment 2735984
WILLIBROD PETER SLAA NI NANI?
Dk Slaa alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1948 wilayani Karatu. Alipata elimu ya msingi katika shule za Karatu na Kwermusi (Mbulu) kati ya mwaka 1958 na 1965.
Alisoma elimu ya sekondari katika Shule za Dung’unyi Seminari na Itega Seminari kati ya mwaka 1966 na 1971.
Ni kiongozi mwenye stashahada tatu pamoja na shahada ya Uzamivu (PhD). Anayo Shahada ya Uzamivu (PhD ) katika Sheria ya kanisa kutoka Chuo Kikuu cha St. Urban, Rome. Pia anastashahada ya Theolojia kutoka Kipalapala Seminari, Stashahada ya falsafa kutoka Kibosho Seminari, Stashahada ya Afya ya Macho kutoka Kituo cha Kimataifa cha Macho.
Amewahi kuwa padri wa Kanisa Katoliki kuanzia mwaka 1977 hadi 1991, akishika nafasi za kiutawala katika kanisa pia. Amepata kuandika vitabu vitatu ambavyo ni Utimilifu wa Msichana (1977), Utimilifu wa Mvulana (1977) na Expediency and exigency Liturgical Legislation (1981).
Ni mzungumzaji wa Lugha nane kwa ufasaha; ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kilatini, Kiitaliano, Kijerumani, Kihispania, Kireno na Kifaransa.
View attachment 2735986
Siku ya Alhamisi, Novemba 23, 2017 Aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alimteua Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kuwa balozi. Alikuwa Balozi wa Sweden, pia ailiidhinishwa kwa Nchi za Denmark, Finland, Norway, Iceland, Estonia, Latvia, Ukraine na Lithuania.
Kipindi Dk Slaa anateuliwa kuwa Balozi, alikuwa anaishi Canada, alitangaza kuachana na siasa kutokana na kutofautiana na chama chake katika kumpokea Edward Lowassa aliyehama kutoka CCM na baadaye kumpitisha kuwa mgombea urais kupitia muungano wa vyama vya siasa wa Ukawa.