Childish move!!!DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
View attachment 2735983
=====
Slaa ni opportunistKwani hiyo hadhi pek yake inaleta ugali mezani??
Na upadri watamvua?Bado kumvua u Dr (PhD)… ha haaa
Halafu ni bogaz 🤣 na asivyo na akili hajui kuwa hapo ndio kampa Kiki kubwa sana slaa, labda slaa akamatwe au afe. Ndio patakua kimyaLakini bado Maswali kuhusu bandari yataendelea kuulizwa na atatakiwa kuyajibu! Tuliwambia kuwa huyu Rais awezi kustahimili vishindo kama anayojigamba hahahahahah kiko wapi? Sasa ubalozi ulikuwa unamsaidia nini Dk Slaa? 🤣 😂😂😂
Maswali na hoja za bandari zikijibiwa vyema wala ubalozi wa mtu hautokuwa kikwazo
isingewezekana kuendelea kuinjoy privileges and immunities za kua hadhi ya balozi kitaifa na kimataifa hali ya kua ukosoaji wake sio wa kidiplomasia.DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
View attachment 2735983
=====
Aende akaongoze vigango huko maana hata chadema hawamtaki.Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Tumshukuru mama kanisa kwa malezi yake.Mama kanisa wa VP na mke wa PMKanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Mwiteni chadema agombee uraisiKatiba inasemaje?
Hiki ni kisasi au
Hii nchi ngumu sana
Nyie haya
Mmeshika mpini
Slaa anza kuunguruma sasa ndio wajue ni sawa na kumsukuma mlevi