Rais Samia amdhibiti Bashe, mradi wa Kilimo kwa Vijana ni kichaka cha upotevu wa pesa ya Umma

Washapewa sana hao unao waita wakulima tena wengine mkawaita investors lakin hamna Cha maana walicho fanya ngoja na vijana nao wapewe
Walipewa misaada gani? Au hizo mbolea za ruzuku?

Sijawahi kusikia Serikali ikipeleka barabara wala umeme mashambani. Wanasafurisha mazao yao kwa taabu sana toka mashambani. Wanashindwa kumwagilia kwa sababu hakuna umeme, na huwezi kumwagilia kwa generator za umeme.
 
Kuna mradi pia wizara ya mifugo kwaajili ya vijana, ajenda ni ile ile kutatua tatizo la ajira
Huu nao vip wakubwa
 
Kule kwao Somalia hawalimi chochote labda kupigana risasi tu na mabomu na kuteka meli ndio tunampa mtu kama huyo wizara ya Kilimo??

Naamini Tatizo linaanzia kwa Rais Samia na sio kwa Bashe.

Samia hajui afanye nini.

Anatupoteza tu huyu mama.
 
Hakuna kitu hapo, nakupa mfano miaka nendarudi yapo makampuni yanajihusisha na biashara ya mazao ya kilimo kama kahawa, korosho,Vanila nk je unadhani ni kwanini au nionyeshe ni kampuni gani iliachana na mpango wa kununua hayo mazao kutoka kwa wakulima wadogowadogo na badala yake ikaanzisha kilimo chake yenyewe? Ukipata jibu sahihi nijulishe.
Kuna makampuni yanalima cocoa Morogoro zaidi ya eka 3000,waburushi wanalima mpunga mbalali, kuna kampuni kutoka Israel ilikuwa na zaidi ya eka 4000 za kahawa songea njia ya peramiho, japo jpm aliwazingua sijui Kama wanaendelea, hao Kina bakhresa wote Wana maelfu ya ekali kilimo kinalipa ni mitaji inasumbua
 
Daima nimemsifu Bashe kwa msimamo wake wa kutokuzuia wakulima kuuza mazao yao mahali popote, iwe ndani ya nchi au nje ya nchi. Kwenye hilo mpaka sasa namwunga mkono.

Lakini taarifa kwamba Serikali imetumia milioni 16 kwa kila ekari 1 kusafisha shamba/kuandaa shamba, ni upotevu wa pesa wa hali ya juu.

Namwomba Rais ateue kamati ndogo ya watu wachache, au amwombe CAG achunguze ili kujua gharama halisia za kuandaa shamba ekari 1, na kisha kuwapata wahusika wote waliohusika kwenye wizi huu wa pesa ya wananchi.

Pamoja na mambo mengine, nnafanya pia shughuli za kilimo. Nina ekari 657. Nazifahamu gharama halisi kwenye kilimo. Japo kuna utofauti mdogo wa gharama unaotegemea mahali shamba lilipo lakini kiuhalisia hakuna utofauti mkubwa katika gharama.

Uandaaji huu wa shamba unahusisha vitu gani hadi kufikia gharama hiyo?

Kwa ujumla wazo la kuiinua na kuiendeleza sekta ya kilimo, hakika ni wazo zuri sana lakini approach ni completely wrong. Na mpango mzima hautafanikiwa. Pesa hii yote inayopelekwa huko itapotea.

Mpango wa kuinua sekta ya kilimo ulistahili kwa kuwasaidia wale ambao tayari wanafanya shughuli za kilimo huko vijijini. Hao tayari kwanza wanakipenda kilimo, wana mipango, wana elimu ya kilimo iliyotokana na wao kufanya kilimo, na hivyo Serikali ilistahili kuwasaidia kwenye maeneo yale ambayo wao wakulima tayari wanayatambua kama kikwazo kwa wao kufanya kilimo kwa ufanisi. Mafanikio ya wakulima hao, yangewavuta wengine wengi kuingia kwenye kilimo.

Huu mpango wa kuwakokota vijana wa mjini kuwapeleka kwenye kilimo kwa ahadi nyingi za kusaidiwa, wengi watajitokeza, lakini baada ya mwaka mmoja, watabakia si zaidi ya 50% tu kwenye kilimo. Baada ya miaka 3, watakaobakia wakifanya kilimo hawatazidi 25%. Na hao watakaobakia kwenye kilimo, watakaofanikiwa kufanya kilimo chenye faida hawatazidi 10%.

Huu mradi, unaweza kuwa sawa na ule wa 'mabilioni ya Kikwete'; ambao uliishia kwenye upotevu wa mabilioni ya pesa.
Waliobuni mpango huu kwenye akili zao hawakuwa wakiongozwa na kuinua tija katika kilimo bali walikuwa wanaongozwa na siasa za kutengeneza ajira kwa vijana. Kuendeleza sekta ya kilimo kwa kuongeza tija ni tofauti sana na kutumia kilimo kupanua ajira.
 
Daima nimemsifu Bashe kwa msimamo wake wa kutokuzuia wakulima kuuza mazao yao mahali popote, iwe ndani ya nchi au nje ya nchi. Kwenye hilo mpaka sasa namwunga mkono.

Lakini taarifa kwamba Serikali imetumia milioni 16 kwa kila ekari 1 kusafisha shamba/kuandaa shamba, ni upotevu wa pesa wa hali ya juu.

Namwomba Rais ateue kamati ndogo ya watu wachache, au amwombe CAG achunguze ili kujua gharama halisia za kuandaa shamba ekari 1, na kisha kuwapata wahusika wote waliohusika kwenye wizi huu wa pesa ya wananchi.

Pamoja na mambo mengine, nnafanya pia shughuli za kilimo. Nina ekari 657. Nazifahamu gharama halisi kwenye kilimo. Japo kuna utofauti mdogo wa gharama unaotegemea mahali shamba lilipo lakini kiuhalisia hakuna utofauti mkubwa katika gharama.

Uandaaji huu wa shamba unahusisha vitu gani hadi kufikia gharama hiyo?

Kwa ujumla wazo la kuiinua na kuiendeleza sekta ya kilimo, hakika ni wazo zuri sana lakini approach ni completely wrong. Na mpango mzima hautafanikiwa. Pesa hii yote inayopelekwa huko itapotea.

Mpango wa kuinua sekta ya kilimo ulistahili kwa kuwasaidia wale ambao tayari wanafanya shughuli za kilimo huko vijijini. Hao tayari kwanza wanakipenda kilimo, wana mipango, wana elimu ya kilimo iliyotokana na wao kufanya kilimo, na hivyo Serikali ilistahili kuwasaidia kwenye maeneo yale ambayo wao wakulima tayari wanayatambua kama kikwazo kwa wao kufanya kilimo kwa ufanisi. Mafanikio ya wakulima hao, yangewavuta wengine wengi kuingia kwenye kilimo.

Huu mpango wa kuwakokota vijana wa mjini kuwapeleka kwenye kilimo kwa ahadi nyingi za kusaidiwa, wengi watajitokeza, lakini baada ya mwaka mmoja, watabakia si zaidi ya 50% tu kwenye kilimo. Baada ya miaka 3, watakaobakia wakifanya kilimo hawatazidi 25%. Na hao watakaobakia kwenye kilimo, watakaofanikiwa kufanya kilimo chenye faida hawatazidi 10%.

Huu mradi, unaweza kuwa sawa na ule wa 'mabilioni ya Kikwete'; ambao uliishia kwenye upotevu wa mabilioni ya pesa.
Aibu Yako
 
Daima nimemsifu Bashe kwa msimamo wake wa kutokuzuia wakulima kuuza mazao yao mahali popote, iwe ndani ya nchi au nje ya nchi. Kwenye hilo mpaka sasa namwunga mkono.

Lakini taarifa kwamba Serikali imetumia milioni 16 kwa kila ekari 1 kusafisha shamba/kuandaa shamba, ni upotevu wa pesa wa hali ya juu.

Namwomba Rais ateue kamati ndogo ya watu wachache, au amwombe CAG achunguze ili kujua gharama halisia za kuandaa shamba ekari 1, na kisha kuwapata wahusika wote waliohusika kwenye wizi huu wa pesa ya wananchi.

Pamoja na mambo mengine, nnafanya pia shughuli za kilimo. Nina ekari 657. Nazifahamu gharama halisi kwenye kilimo. Japo kuna utofauti mdogo wa gharama unaotegemea mahali shamba lilipo lakini kiuhalisia hakuna utofauti mkubwa katika gharama.

Uandaaji huu wa shamba unahusisha vitu gani hadi kufikia gharama hiyo?

Kwa ujumla wazo la kuiinua na kuiendeleza sekta ya kilimo, hakika ni wazo zuri sana lakini approach ni completely wrong. Na mpango mzima hautafanikiwa. Pesa hii yote inayopelekwa huko itapotea.

Mpango wa kuinua sekta ya kilimo ulistahili kwa kuwasaidia wale ambao tayari wanafanya shughuli za kilimo huko vijijini. Hao tayari kwanza wanakipenda kilimo, wana mipango, wana elimu ya kilimo iliyotokana na wao kufanya kilimo, na hivyo Serikali ilistahili kuwasaidia kwenye maeneo yale ambayo wao wakulima tayari wanayatambua kama kikwazo kwa wao kufanya kilimo kwa ufanisi. Mafanikio ya wakulima hao, yangewavuta wengine wengi kuingia kwenye kilimo.

Huu mpango wa kuwakokota vijana wa mjini kuwapeleka kwenye kilimo kwa ahadi nyingi za kusaidiwa, wengi watajitokeza, lakini baada ya mwaka mmoja, watabakia si zaidi ya 50% tu kwenye kilimo. Baada ya miaka 3, watakaobakia wakifanya kilimo hawatazidi 25%. Na hao watakaobakia kwenye kilimo, watakaofanikiwa kufanya kilimo chenye faida hawatazidi 10%.

Huu mradi, unaweza kuwa sawa na ule wa 'mabilioni ya Kikwete'; ambao uliishia kwenye upotevu wa mabilioni ya pesa.
Uliwahi ona wapi msomali akaaminiwa. Wazungu wenyewe wanawaogopa. Ni hatari.
 
Huu sio mradi ni upuuzi mtafute kijana yeyote wa bbt atakwambia ukwel wao wenyewe hawataki kabisa hamna cha heka 10 Wala heka 1 Kama walivyo ambiwa mwanzo
 
vijana wamepigwa kiswahili tangu mwezi wa 3 Leo hii hamna kitu kweli hii ni building a bashe tomorrow
 
Ekari 1 milion 16 aisee nchi hii tunaibiwa sana. Halafu issue ya kilimo watu wengi wanafanya inakuaje wanaiba waziwazi hivyo.
Hiyo hekari 1 kwa kiasi hiko cha pesa wanalima zaogani hadi ipatikane mavuno na faida!!
Hatari kwelikweli.
 
Jana kawadanganya watanzania kua vijana wamekabidhiwa mashamba na vitu kibao but uhalisia hamna kijana hata mmoja Alie pewa shamba na hamna hata heka moja iliyo wekewa miundo mbinu
 
Back
Top Bottom