Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,944
- 12,240
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji leo tarehe 21 Septemba, 2022.
Rais Samia ametaka ushirikiano wa ulinzi baina ya nchi hizi mbili hasa ule wa mipaka ulio anzishwa tangu miaka ya 1980 uendelezwe hasa kwenye kipindi hiki muhimu cha kupambana na ugaidi.
Amegusia pia jitihada za kuongeza ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Msumbiji, pia namna bora ya kutumia fursa za kibiashara zilizopo baina ya nchi hizi mbili.
Upande wa elimu wameafikiana kubadilishana wanafunzi, aidha lugha ya kiswahili kwa sasa itapewa kipaumbele nchini Msumbiji.
Kupitia safari hii, Rais Samia anaamini ukurasa mpya wa ushirikiano mwema kati ya Msumbiji na Tanzania utafunguka.
Kujua ziara nyingine za Rais tangu aingie madarakani soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Mar 2021
Rais Samia ametaka ushirikiano wa ulinzi baina ya nchi hizi mbili hasa ule wa mipaka ulio anzishwa tangu miaka ya 1980 uendelezwe hasa kwenye kipindi hiki muhimu cha kupambana na ugaidi.
Amegusia pia jitihada za kuongeza ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Msumbiji, pia namna bora ya kutumia fursa za kibiashara zilizopo baina ya nchi hizi mbili.
Upande wa elimu wameafikiana kubadilishana wanafunzi, aidha lugha ya kiswahili kwa sasa itapewa kipaumbele nchini Msumbiji.
Kupitia safari hii, Rais Samia anaamini ukurasa mpya wa ushirikiano mwema kati ya Msumbiji na Tanzania utafunguka.
Kujua ziara nyingine za Rais tangu aingie madarakani soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Mar 2021