Rais Samia afanya ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji, ahimiza kutumia fursa za kibiashara zilizopo katika nchi hizo mbili

Lazima rais, mabalozi kazi yao nini mkuu?
Kama Balozi wa Tanzania Nchini Malawi anajirekodi akikata viuno na kusifia Vieitee bora Raisi wangu mpendwa apasue anga.

Balozi wetu Zimbabwe pia ni wa hovyo.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji leo tarehe 21 Septemba, 2022.



Rais Samia ametaka ushirikiano wa ulinzi baina ya nchi hizi mbili hasa ule wa mipaka ulio anzishwa tangu miaka ya 1980 uendelezwe hasa kwenye kipindi hiki muhimu cha kupambana na ugaidi.

Amegusia pia jitihada za kuongeza ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Msumbiji, pia namna bora ya kutumia fursa za kibiashara zilizopo baina ya nchi hizi mbili.

Upande wa elimu wameafikiana kubadilishana wanafunzi, aidha lugha ya kiswahili kwa sasa itapewa kipaumbele nchini Msumbiji.

Kupitia safari hii, Rais Samia anaamini ukurasa mpya wa ushirikiano mwema kati ya Msumbiji na Tanzania utafunguka.

 
Kama Balozi wa Tanzania Nchini Malawi anajirekodi akikata viuno na kusifia Vieitee bora Raisi wangu mpendwa apasue anga.

Balozi wetu Zimbabwe pia ni wa hovyo.
Nani kawa chagua? Ila ujajibu kazi ya balozi mkuu.

To be realistic huyu mtu anapenda kuzurula tu.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji leo tarehe 21 Septemba, 2022.



Rais Samia ametaka ushirikiano wa ulinzi baina ya nchi hizi mbili hasa ule wa mipaka ulio anzishwa tangu miaka ya 1980 uendelezwe hasa kwenye kipindi hiki muhimu cha kupambana na ugaidi.

Amegusia pia jitihada za kuongeza ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Msumbiji, pia namna bora ya kutumia fursa za kibiashara zilizopo baina ya nchi hizi mbili.

Upande wa elimu wameafikiana kubadilishana wanafunzi, aidha lugha ya kiswahili kwa sasa itapewa kipaumbele nchini Msumbiji.

Kupitia safari hii, Rais Samia anaamini ukurasa mpya wa ushirikiano mwema kati ya Msumbiji na Tanzania utafunguka.

Safi sana Rais Samia Suluhu ziara zote anazozifanya lazima zilete maendeleo nchini we are so proud of her
 
Hapo tumepigwa mkuu hadi miaka yake 10 iishe tutakuwa tuna vi biongo Kwa uzito wa tozo huku zikitumiwa Kwa nauli za kupigia misele.
Tozo zimepunguzwa na zingine kuondolewa lengo la kuondoa tozo ni kumuinua mtanzania na sio kumdidimiza na Rais Samia Suluhu kupitia hizi ziara zake anakuza diplomasia ya uchumi
 
Ukweli ndio huo..

Kazi ya mabalozi anafanya wakati kawachagua mwenyewe.
Mambo ya Diplomasia ni mengi ndugu.
Mkutano wa UNGA wa Head of States aende Polepole akakate kiuno huku akisifia V8 si watamshangaa sana.
 
Kanyaga twende mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa. Zaidi ya miaka 6
 
ikulu_mawasiliano~p~CixnRWvtg36~1.jpg


Mungu ibariki Tanzania.
 
Rais Samia anaamini ukurasa mpya wa ushirikiano mwema kati ya Msumbiji na Tanzania utafunguka.


Source : miramar tv
Presidente da Tanzânia efectua uma visita de Estado a Moçambique. Já esta quarta-feira Samia Suluhu será recebida pelo Presidente Nyusi na Presidência da República para Conversações Oficiais.
Mozambique and Tanzania have just signed two cooperation agreements in Maputo with a focus on combating terrorism and fighting crime.

Mozambique is currently fighting Islamist militants in the gas-rich northern Cabo Delgado region of the country.

The agreements were signed as part of a four-day official visit that of Tanzania's President Samia Suluhu Hassan is making to Mozambique.

In addition to fighting jihadists, President Filipe Nyusi said the two countries were currently focused on the exploitation of hydrocarbons which form the building blocks of vital energy sources like coal and gas.

President Samia also highlighted the need for both countries to strengthen security because of the extensive common border they share

The President of the Republic, Filipe Nyusi, is meeting his Tanzanian counterpart this Wednesday at 9:30 am for official talks, as part of President Samia Suluhu Hassan’s State Visit to Mozambique, which will end on Friday


An official note received by ‘Notícias Online’ explains that Suluhu’s visit to Mozambique, which lasts until September 23, comes at the invitation of the Mozambican head of state and is part of the strengthening and deepening of historical ties of brotherhood, solidarity and political cooperation, and economic, social and cultural relations between the two countries.

The two heads of state will review the political, economic and social situation in each of their countries, and exchange views on issues of common interest at the level of Southern Africa, the African continent and the world in general

Her Excellency Samia Suluhu Hassan, will visit the Maputo Gas-Fired Combined Cycle Power Plant (CTM on Wednesday (21-09), a press release issued by EDM this Monday announces..

The Tanzanian head of state will in the course of her visit, meet Minister of Mineral Resources and Energy Carlos Zacarias and the Chairman of the Board of Directors of Mozambique Electricity (EDM), Marcelino Gildo Alberto.

About CTM

Maputo’s combined gas cycle power station was inaugurated by the President of the Republic, Filipe Nyusi, in August 2018, and was the largest investment by the Mozambican government and state-owned Electricidade de Moçambique (EDM) in electricity production in 30 years.

The construction of the Maputo Thermal Power Plant, budgeted at US$180 million, was financed with a loan from the Japanese Development for US$167 million with a payment period of 40 years, leaving the Government to provide the remaining US$13 million. The Japanese support included, in addition to the construction of the plant, the training of EDM staff in operation and maintenance, as well as six years of maintenance services to be conducted by the equipment manufacturer.

READ: Japan lends US$44 million to Mozambique for Maputo Power Station

Source:
EDM / Additional information: Macauhub
 
Back
Top Bottom