Rais Samia afanya ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji, ahimiza kutumia fursa za kibiashara zilizopo katika nchi hizo mbili

Kitu cha ajabu sana. Tumeikomboa Msumbiji na ikafikia tukawa na medali za Msumbiji halafu leo ndipo tunatia saini makubaliano ya kushirikiana kiulinzi?
Hilo jina Msumbiji munatumia nyinyi Watz, wenyewe wala hawana habari nalo.

Hayo ya ukombozi kwani Afrika ya Kusini pia hatukusaidia kukomboa? Mbona wanatushiti tu kama vitakataka?
 
Safi Sana mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kazi kubwa na yakutukuka katika kuimarisha diplomasia yetu ambayo imekuwa ulifungua na kutuwezesha kupata fursa nyingi za kiuchumi na kibiashara, kazi iendelee
 
Ukweli ndio huo..

Kazi ya mabalozi anafanya wakati kawachagua mwenyewe.
Rais wa nchi Ndio Balozi Namba moja na mwanadiplomasia namba moja wa nchi yetu, mabalozi Ni wawakilishi tu wanaopaswa kufuata maelekezo ya mh Rais wetu mpendwa, kwa hiyo Rais anapokuwa mahali fulani katika nchi ya ugenini kauli zake nguvu zake na sauti yake haiwi sawa na ya Balozi,
 
Kitu cha ajabu sana. Tumeikomboa Msumbiji na ikafikia tukawa na medali za Msumbiji halafu leo ndipo tunatia saini makubaliano ya kushirikiana kiulinzi?
  • Nchi kama hizo zingepaswa kuwa masoko ya uhakiki ya bidhaa za Tanzania.
  • Tusipokuwa makini hata Comoro itatuponyoka
 
Hilo jina Msumbiji munatumia nyinyi Watz, wenyewe wala hawana habari nalo.

Hayo ya ukombozi kwani Afrika ya Kusini pia hatukusaidia kukomboa? Mbona wanatushiti tu kama vitakataka?
Jina ni jina tu, tunaita Uingereza lakini wao wanaita UK, na hata Marekani wao wenyewe wanjiita America. Kwa hiyo sis kusema msumbiji wao wakita jina jingine siyo Tatizo kabisa.

Unachojibu ni tofauti na nilivyoandika. Sikuwa na maana ya kutaka kukumbatiwa, bali ni kwamba tangu miaka sitini na sabini tulikuwa na ushirikiano wa kijeshi na Flerimo ambao uliendelea hata baada ya uhuru wa Msumbiji. Ndiyo maana nashangaa kuwa kulikuwa na ushirikiano hao bila kuwapo makubaliano mpaka leo ndipo yanatiwa sahihi?
 
Unachojibu ni tofauti na nilivyoandika. Sikuwa na maana ya kutaka kukumbatiwa, bali ni kwamba tangu miaka sitini na sabini tulikuwa na ushirikiano wa kijeshi na Flerimo ambao uliendelea hata baada ya uhuru wa Msumbiji. Ndiyo maana nashangaa kuwa kulikuwa na ushirikiano hao bila kuwapo makubaliano mpaka leo ndipo yanatiwa sahihi?
Ule ulikuwa ni ushirikiano wa 'Frontline states' sidhani kama kulikuwa na makubaliano ya aina ya 'bilateral'
 
21 September 2022


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji leo tarehe 21 Septemba, 2022
Source: Ikulu Tanzania
 
Maputo, Mozambique

Tanzania will be able to intervene directly in the fight against terrorism



Tanzania will be able to intervene directly in support against terrorism in Mozambique. The intention was expressed this Tuesday during the official visit of the Tanzanian president to Mozambique.

Tanzânia poderá intervir directamente no combate ao terrorismo:
Tanzânia poderá intervir directamente no apoio contra o terrorismo em Moçambique. A intenção foi manifestada, esta terça-feira, durante a visita oficial da presidente da Tanzânia a Moçambique.
source : miramar tv
 
23 September 2022

MOZAMBIQUE NA TANZANIA KUIMARISHA MAHUSIA0NO, PIA WATAMBUA CHAPNGAMOTO



The President of the Republic highlights the good pace of relations with Tanzania in the field of defense and security. Filipe Nyusi assures, on the other hand, that challenges still persist.


Filipe Nyusi e Samia Suluhu aprofundam relações bilaterais

O Presidente da República destaca bom ritmo nas relações com Tanzânia no campo da defesa e segurança. Filipe Nyusi assegura por outro lado que ainda persistem desafios.

Source : mirarar tv
 
23 September 2022
Maputo, Mozambique

Rais Samia Suluhu Hassan mbele ya congress ya 12 ya chama cha FRELIMO asisitiza historia ya mapambano ya uhuru isimuliwe kwa vijana


Rais Samia Suluhu Hassan akumbushia kuwa vyama vya ukombozi kusini Afrika CCM, ZANU-PF, FRELIMO, ANC, MPLA, SWAPO n.k lazima vijisahihishe kwa kwenda na wakati maana bila kujisahihisha vitapoteza mguso kwa wananchi hivyo kutolewa madarakani.

Rais Samia Hassan ananukuu kuhusu uwezekano wa vyama vilivyoleta uhuru kugeuka 'chakavu' kama andiko la mwanazuoni John Rogers wa chuo kikuu cha Witwatersrand cha South Africa lilivyo tahadharisha ...

1663938871364.png https://www.marxists.org › saafterzim
Alex Callinicos/John Rogers: Southern Africa after Zimbabwe ...

27 Sept 2013 — ' 'Jongwe' is the Shona for 'cock'; this bird was the symbol of the Zimbabwe African National Union-Patriotic Front (ZANU-PF), the party ....
 
Back
Top Bottom