Rais mwenye mawazo ya kuombaomba!

Siasa Safi na Uongozi Bora

That's where you are wrong.

Siasa safi na uongozi bora kutoka kwa sio tu mtu aliyelelewa katika ujivuni wa ulimbwende wa umangimeza na ukiritimba, bali pia uongozi uliokosa rekodi ya kutoa majawabu kwa matatizo yetu?

Kama Watanzania walitegemea cho chote tofauti kutoka kwa Kikwete, tatizo kubwa si Kikwete, bali Watanzania wenyewe.

Kama tutaendelea hivi 2010 atapita, tutapigiwa hadithi za alfu lela ulela, na tutaendelea na "lost decades".Mpaka tutakapoamka.
 
Kama Watanzania walitegemea cho chote tofauti kutoka kwa Kikwete, tatizo kubwa si Kikwete, bali Watanzania wenyewe.

Ndio hicho mimi ninachokisema. Kikwete anaakisi idadi kubwa ya Watanzania. Sasa toka lini watu wasio makini wakachagua mtu aliye makini? Mpaka sasa sina shaka lolote lile kuhusu Kikwete kushinda mwakani. It's a foregone conclusion.
 
Tatizo sio kuomba, tatizo matumizi ya hiyo misaada tunayopewa! Wananchi choka mbaya! hawana maji wala umeme wa uhakika! Serikali inanunua mashangungi na ma G4 luxury jet! Kilichobaki wanagawana cash!

Viongozi wetu wamekosa common decency, na sisi wananchi tumeshindwa kuwaadhibu kwa kutumia kura yetu. Tena kuna watu wanaweza wakakupiga ukiwaambia raisi wao asitembee na private jet, eti wanaona nchi yao ndo inaonekana ya maana!
 
Sehemu ya hotuba ya Rais Kikwete inayothibitisha kuwa hana mawazo ya kuinua hali ya maisha ya watanzania bila ya kukinga mikono kwa nchi matajiri; asilimia 99 ya mambo anayotaka nchi matajiri zifanye kwa Afrika yanaweza kufanywa na Afrika wenyewe!




My TAKE:

TUMELAANIWA, TUMEROGWA NA KWA HAKIKA HATUNA NAFASI YA KUFANIKIWA! - Tanzania inafanya nini kustimulate uchumi wake?
Kama ungekuwa wewe rais ungefanya nini?
 
Wakuu, nimemtafuta sana Vasco daGama katika mkusanyiko wa viongozi lakininimemwona Zenawi tu na Obama! Sasa sijui VDG kashindwa kupenya?
But on a more serious note, mi nadhani there is need for a new approach from our leaders apart from competing to show who is the better beggar. I believe that this global crisis has handed us great opportunities and we could make the best of it. Lakini tumebaki trembling in fear and too numb to act.
 
Mawazo mengi ya Mwanakijiji ni illusion . Watanzania lazima tugundue kuwa Tunaishi katika Dunia ambayo Kama hatufuati Ukweli harisia wa mambo hautaweza hata kumove kwenda point B kimaendeleo.

Tanzania has no market mechanism to raise Funds for its development and therefore , Raisi kikwete kama CEO of Tanzania he is doing as any CEO of any company would do and that is to raise Working Capital for its company and in this respect is for Our Country .

Rais kikwete anapokuwa concerned na Hali ya Uchumi wa Dunia ni kama CEO wa kamouni yoyote amabaye yuko interested with the ups and down of Dows Jones Index because ndio sehemu anayo raise capital in this case Kikwete Dows Jones in the Global Economy.

Kwa halihiyo Viongozi wetu wanapo kwenda kutafuta Mikopo some people kama mwanakijiji they want to score a cheap political point and therefore wanawaita Ombaomba.

Mwanakijiji please amka, Pesa nyingi tunazopata Tanzania ni mikopo sio misaada. Badala ya kumhukumu mheshimiwa Raisi naomba utoe practical alternative means amabazo wewe unadai zinaweza kutumika ku raise Funds za kusukuma maendeleo ya Tanzania mbele. Ninaomba uzi publish hapa kwenye Jamii forums.

Tanzania inapata Mikopo na sio misaada, I believe your educated enough to know that ,Pengine tunaweza kuuliza why mikopo mingi ina mashairiti mengi? The answer is simple, masharti mengi yana serve kama collateral kwa ajili ya hiyo mikopo. Also mikopo ni scarce resource hivyo haikufuati ulipo, bali unaenda kuitafuta ilipo.

Mikopo tunayopata Tanzania ni sawa na Mikopo ambayo nchi nyingi za Estern Europe zinapata, na ndio mikopo hii hii imeweza kutransform , uchumi wa chi za ulaya ya mashariki.

Kwahiyo kwa kumalizia ni kwamba tunaweza kumlaumu mheshimiwa Rais kwa Usimamizi mbaya wa matumizi ya Fedha tunazozipata kama mikopo but I wont blame him for opportunities he is outsourcing on behalf of our country .

Nyerere mwenyewe alipinga mikopo lakini mwisho aka realise the need na akatambua kwamba bila kupopa Huwezi kuendeleza nchi .
Mwisho ninaomba unitajie hata Nchi moja ambayo haijawahi kukopa kujiendeleza , Pili nitajie nchi kumi ambazo zina surplus reserve ?

Pia na je hiyo sio Hypocrisy kumwita kikwete Ombaomba wakati na wewe Huwa unaomba michango kwa ajili ya Mwanakijiji.com.

Watanzania tusipotoshwe na mwanakijiji , Kikwete haombi ombi Ila anakopa on behalf of our country. And kukopa is not wrong as long as the funds are used constructively .
 
Watanzania tusipotoshwe na mwanakijiji , Kikwete haombi ombi Ila anakopa on behalf of our country. And kukopa is not wrong as long as the funds are used constructively .

Huna haja ya kutuambia nini cha kufanya. Wa Tz wa leo tunajua kabla hata hatujaambiwa. Hivyo wewe kama upo peponi kumbuka tu kuwa mwishowa pepo unakaribia.

Kawaambie.
 
Huna haja ya kutuambia nini cha kufanya. Wa Tz wa leo tunajua kabla hata hatujaambiwa. Hivyo wewe kama upo peponi kumbuka tu kuwa mwishowa pepo unakaribia.

Kawaambie.

The aim of my article is to rebuke the notion from Mwanakijiji kwamba Pesa tuzazozipata Tanzania ni misaada.We need to be Constructives thinkers and they way to be is not to be demoniser of every step taken by our president.
 
Badala ya kumhukumu mheshimiwa Raisi naomba utoe practical alternative means amabazo wewe unadai zinaweza kutumika ku raise Funds za kusukuma maendeleo ya Tanzania mbele. Ninaomba uzi publish hapa kwenye Jamii forums.

Your arguments are weak as hell....

Just right off the bat....with good governance, controlled and wise spending, crack down on ufisadi and the confiscation of what (the wealth) mafisadis have illegally gained is enough to collect the money needed for many development projects.
 
Naona hawa ndo wale jamaa wanaolipwa kwa posts. Tunavyoelekea uchaguzi tutegemee wengi tu watakuja.
 
Your arguments are weak as hell....

Just right off the bat....with good governance, controlled and wise spending, crack down on ufisadi and the confiscation of what (the wealth) mafisadis have illegally gained is enough to collect the money needed for many development projects.

Huyu jamaa anashangaza kwa kweli.

Sasa kama anahitaji Mwanakijiji aje na mawazo ya ku-raise hizo funds ku-stimulate huo uchumi, mi nadhani kwanza angemuomba bosi wake aombe likizo kwanza ili awaachie watu wenye mawazo chanya hio nafasi ya ku-parform.
 
Ng'waninyami,

Nimesema kuwa We can make Mheshimiwa accountable kwa Matumizi Mabaya ya Fedha and poor governance , and your said measurement are very good undelying proposition just to do that. I am not against that

Tatizo nililo nalo Mimi ni kwa watu kumwita Raisi Omba omba, Kwa mikopo amabyo Tanzania tunapewaa. Pengine hiyo notion ya kwamba hizo pesa wamepewa misaada ya bure ndio inayo encourage matumizi mabaya ya pesa.
 
Back
Top Bottom