Rais mwenye mawazo ya kuombaomba!

MM,

Hili swali JK alishaulizwa pale kwenye ule mkutano wa IMF dar. Akatapatapa. Hadi leo hii hajafikiria jibu lake ni nini. Usitegemee kitu chochote kutoka kwake. Huu ni uchovu uliozidi kipimo. Usanii utamuishia 2010.

I have a different perspective now about his answer at the discussion panel. He was just being dead honest. They aren't doing anything different. So why tell a lie about it. He just told the truth and the truth is they aren't doing anything different.

Kuhusu uchovu, sidhani kama ni haki kumtupia lawama yeye kila wakati. Wachovu wakubwa ni wale waliompigia kura na kumpa ushindi wa zaidi ya asilimia 80!! Hao ndio wachovu na yeye anawaakisi hao watu (rejea maneno ya FMES). Na akichaguliwa tena ndo kabisaa....watakaompigia kura watakuwa wachovu wa mwisho katika orodha ya wachovu.
 
kwa hiyo unasema ni utoto tu, tukikua tutaacha!?

No! nnachosema tu watoto ukichukulia mfano wa nchi kama ni mwanadam, kila tunapokuwa tunazidi kujifunza na kukuza akili zetu.

Hiyo yako hapa hakuna, hiyo Mombasa hiyo! duhh! ''we baba salimu mwaate, akikuwa atavaata, mbona vee umevaata''
 
Sehemu ya hotuba ya Rais Kikwete inayothibitisha kuwa hana mawazo ya kuinua hali ya maisha ya watanzania bila ya kukinga mikono kwa nchi matajiri; asilimia 99 ya mambo anayotaka nchi matajiri zifanye kwa Afrika yanaweza kufanywa na Afrika wenyewe!




My TAKE:

TUMELAANIWA, TUMEROGWA NA KWA HAKIKA HATUNA NAFASI YA KUFANIKIWA! - Tanzania inafanya nini kustimulate uchumi wake?
Nakushangaa -what u are talking about? Au na wewe umo katika lile kundi la kuwandanganya -Watukufu -Watanzania. Misaada tunaihitaji Bwana!. Usiwe na mawazo ya Kurume (Mkubwa) ambaye alioona Zanzibar kama ni Pepo.
 
Nakushangaa -what u are talking about? Au na wewe umo katika lile kundi la kuwandanganya -Watukufu -Watanzania. Misaada tunaihitaji Bwana!. Usiwe na mawazo ya Kurume (Mkubwa) ambaye alioona Zanzibar kama ni Pepo.

Huyu ndio yule Sabri Bachan wa Unguja nnae mjuwa mimi? au mwingine?
 
Mswahili is what Mswahili does...Begging!! Bob Geldof called this guy out on his begging ways..Kila siku kuomba omba tu na hamna kitu chochote cha maana anachopata! This guy could have staked his presidency on providing electricity to Tanzanians and would have come out a legend lakini kila kitu kinamshinda he can't even keep his own goons in line..What a shame..
 
Na nchi nyingine za Afrika ambazo hazikufuata siasa ya Ujamaa kama unavyodai ni nini tatizo lao???

Kila nchi ina matatizo yake na yanatofautiana, unge-ainisha nchi gani ya Afrika unayotaka kujuwa matatizo yake labda ningekuwa na ka-idea ka hapo. Kwa sasa naongelea Tanzania. Nadhani tupo pamoja.
 
Mswahili is what Mswahili does...Begging!! Bob Geldof called this guy out on his begging ways..Kila siku kuomba omba tu na hamna kitu chochote cha maana anachopata! This guy could have staked his presidency on providing electricity to Tanzanians and would have come out a legend lakini kila kitu kinamshinda he can't even keep his own goons in line..What a shame..

Hizi ni what I call chuki binafsi na agenda za siri.

For your information, JMK has taken us from being 60% dependents on our budget down to 40% in two years time! which President of Tanzania has done that before?
 
Katika kongamano moja lililoandaliwa na REPOA wiki hii Pinda alizungumza kitu cha ajabu sana -- kwamba serikali imo katika 'mchakato' (na jinsi ninavyoli-hate neno hili) ya kuwaondoa wakulima kutoka jembe la mkono na kuwapatia matrekta -- hivyo inatafuta fedha za kuyanunua hayo matrekta! Bila shaka wanatarajia kutembeza nje bakuli!

Baada ya wizi wa bilioni 133, bado yako mamia ya mabilioni yaliyobaki ktk akaunti ya EPA iliyokuwa inasimamiwa na BoT na sasa tumeambiwa mapesa hayo yamehamishiwa kwenye hifadhi nyingine. Kwa nini serikali isitumie mabilioni hayo kununulia matrekta?

Iwapo zile hela za EPA zilizoibiwa na kuelezwa kwamba zilirejeshwa zilitumika kununulia pembejeo, kwa nini hizi zilizobakia katika akaunti hiyo zisitumike kununulia hayo matrekta? Hivi haiwezekani hii? -- kwamba lazima kwanza watu waziibe, wagundulike, wabanwe na kuzirejesha ndiyo serikali inapata uhalali wa kuzitumia inavyotaka?
 
Hizi ni what I call chuki binafsi na agenda za siri.

For your information, JMK has taken us from being 60% dependents on our budget down to 40% in two years time! which President of Tanzania has done that before?

Hivi unajua tulikuwa tunategemea misaada kwa asilimia ngapi by 1971?
 
Hizi ni what I call chuki binafsi na agenda za siri.

For your information, JMK has taken us from being 60% dependents on our budget down to 40% in two years time! which President of Tanzania has done that before?

Mkuu, kwa taarifa tu, mwaka 2003/2004 serikali ilianza kujitegemea kwa 40% kwenye budget zake na waliendelea hivyo hadi mwisho wa awamu hiyo. Nina uhakika kuwa mwaka huu serikali haitakuwa na uwezo huo tena. Kumbuka tu kwamba, kujitegemea huko kwa 40% kwenye budget yetu ni muendelezo tu wa awamu iliyopita na sasa pesa za kufanya hivyo hazipo.
 
Inaonekana viongozi wetu hawataki kufikiria, yaani hawachemshi Bongo zao kazi yao ni kusikilizia tuu, (vipi wazungu wamesamaje huko). naona iwe fundisho kwa watu woote wanaotaka vyeo pamoja na urais kwamba inabidi kufikiria na kutafuta solution ya matatizo. Kama misaada kila siku si waache hao wazungu waje watawale kabisaa. (Hii haina tofauti na Mzee Matonya) kuombaomba tuu, Ardi tunayo na rasilimali kibaoo, inabidi kuanza kuwaza mambo mengine hata at least tuanze kulima vyakula vingi ili vitutosheleze Tanzania na kuweza kuuza nje kwa sababu nchi za nje popote ni lazima waendelee kununua Chakula. Mhmmmmmmm!!
 
Kuwe na matatizo ya uchumi duniani au kusiwe na matatizo sisi tunaomba!
Kuwe na mvua au kuwe na jua sisi tunaomba
Kuwe na wasomi wengi na wataalamu au kusiwepo sisi tu naomba
Kuwe na mabilioni ya fedha benki au yote yaibiwe sisi tunaomba

Tunaomba tunaomba tunaomba! Mwisho tumefika mahali tunajikomba kwa hao tunaowaomba!
 
Mkuu, kwa taarifa tu, mwaka 2003/2004 serikali ilianza kujitegemea kwa 40% kwenye budget zake na waliendelea hivyo hadi mwisho wa awamu hiyo. Nina uhakika kuwa mwaka huu serikali haitakuwa na uwezo huo tena. Kumbuka tu kwamba, kujitegemea huko kwa 40% kwenye budget yetu ni muendelezo tu wa awamu iliyopita na sasa pesa za kufanya hivyo hazipo.

Mkuu ahsante lakini napenda kukufahamisha kuwa haikuwa 40%, nanukuu ''Nearly 45 percent of this Budget depends on donor grants and foreign concessional loans'' Basil Mramba, Budget Speech 2003/2004

source: Eighth Draft

Wakati JMK anachukuwa madaraka we were depending foreign donors for 60%, down to 40% in two years and 2009/2010 expected to be 30% or lower.
 
Hivi ombaomba huwa wanaomba wakiwa na shida tu?

JMK ndio anashughulikia kuufuta huu u ''omba omba'' alioukuta umeota mizizi toka wakati wa Nyerere. Nakumbuka debate ya uchaguzi ya Kilimanjaro Hotel enzi hizo, iliyompatia sifa Cheyo ya kuwa bwana mapesa alisema taifa ''omba omba'', he was very right.

JMK kwa jinsi alivyo mchapa kazi makini nna uhakika ataliondoa hili baada ya muda si mrefu, na mifuta ndio hiyo kebe kebe Mkuranga na karibuni tu, Bwagamoyo na Tanga. Sababu zote za kufuta uomba omba anazo na nia anayo.
 
Kuwe na matatizo ya uchumi duniani au kusiwe na matatizo sisi tunaomba!
Kuwe na mvua au kuwe na jua sisi tunaomba
Kuwe na wasomi wengi na wataalamu au kusiwepo sisi tu naomba
Kuwe na mabilioni ya fedha benki au yote yaibiwe sisi tunaomba

Tunaomba tunaomba tunaomba! Mwisho tumefika mahali tunajikomba kwa hao tunaowaomba!

Si ndio maana nikakwambia hatuna akili! yote haya katutakia nyerere! na ujamaa wake uliomshinda akaamuwa kung'atuka, asigeuke jiwe!
 
Seriously speaking,

Watanzania tulitegemea nini kutoka kwa Kikwete?
 
Back
Top Bottom