Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.
Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
TATIZO LAKO NI:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::ban: