Rais Magufuli wanafunzi wa chuo kugoma ni dalili ya kuelimika, usiwatishe

Tairi bovu

JF-Expert Member
Sep 28, 2017
3,063
2,983
Elimu ya chuo kikuu ni tertiary education ni elimu ya vitendo yenye kumfanya mtu ayapambanue mazingira yake. Akiongea na wanachuo wa SUA leo ameonekana kutoelewa maana ya elimu ya chuo.

Kwa taarifa tu msomi yeyote asiyekuwa (kasuku). hufungamana na jamii yake, huyaelewa matatizo na kuyatafutia ufumbuzi, kufanya hivyo sio uasi wala uhaini, ni kuelewa na kuitendea haki elimu ya chuo.

Namshangaa Rais anaposema wanachuo wasifanye siasa kivipi? chuo kikuu cha DSM kuna course inaitwa Political science. Hivi wanafunzi wale ukiwaambia wasijihusishe na siasa unamaanisha ile taaluma haina maana ama vipi?.

Rais anawambia wanafunzi katika kipindi chake wasithubutu kugoma na wakigoma atawafukiza na akiwafukuza hajui atawarudisha lini? Hii ni kauli toka kwa mtu asiyeelewa vizuri mazingira na thamani ya elimu ya chuo kikuu. wakati wa mwalimu nyerere wana chuo waligoma intake ya kina samwel sitta waligoma kwa kukataa kwenda jeshini kwa mujibu wa sheria. nyerere hakuwatisha aliwasikiliza. wakati wa mwinyi chuo kikuu kulukuwa na " punch" mwinyi hakusema wanachuo wanatumiwa na mabeberu. kipindi cha kina mkapa na jakaya mdipo walipoibukia hawa kina MWIGULU waliongoza migomo ya kila.aina . ilifikia wakati mwigulu pamoja na kufaulu kwake vizur alikatazwa kusoma shahada ya uzamili chuo kikuu cha mlimani . hakufukuzwa vyuoni wapo wengi ukijumuisha kina.ndaskoi (mmasai).nk


Mfano mwanafunzi wa chuo anaweza akawa anapewa huo mkopo lakini umeme unakatika wakati wa kujiandaa na mitihani yake? Hapo akigoma anakuwa amefanya kosa gani? " someni kwanza hizi siasa mtazikuta tu" anasahau kuwa chama chake kina matawi kwenye vyuo vikuu vyote hapa nchini? mwanafunzi wa chuo anaweza akapewa mkopo lakini kama hana uhakika wa ajira huo mkopo ataulipaje? mwanafunzi wa chuo anaweza kupewa mkopo lakini kama mzazi wake amefukuzwa kazi kimagumashi akigoma atalaumuwa? mwanafunzi wa sanaa ya siasa anayeshughudia kasoro nyingi kwenye chaguzi za marudio akigoma atakuwa amekosea? mwanafunzi anayegoma kuhoji mauaji ya MKIRU atakuwa anakosa la kufukuzwa chuo kweli?

Anatolea mfano enzi zake akiwa chuo kwamba " wakati wanakaribia na mitihani palikiwa panatokea kunji" na kwamba wale vilaza ndiyo waliokuwa wanaongoza migomo kwa kuhofia kukamatwa! uongo ulioje .

Kitila Mkubo ( Katibu Mkuu wizara ya maji) alikuwa rais pakatokea mgomo yeye Kitila alikuwa kilaza, Zitto, Mwigulu, Rugemarila, Alberto Msando wote hawa waliwahi kuwa sehemu ya migomo bila kumsahau Samwel Sitta kweli hawa walikuwa vilaza?

Asichokielewa Rais ni kimoja tu... " mwanafunzi wa chuo kikuu ambaye anasoma miaka 3 au 4 bila kugoma" huyo haelewi anasoma kwa kukariri! ni.msomi " kasuku" ni aliyejingishwa na watawala. kwenye vyuo vikuu vyote kuna matawi ya chama cha mapinduzi hii sio siasa? wakati wa chaguzi zote za serikali za wanafunzi zote chama cha ccm kkinaweka nguvu kwa wagombea wao. hiyo sio siasa?

Mwenye kuelewa huhoji na akihoji anadadisi akidadisi asipojibiwa anagoma. pamoja na kuwa magufuli anajilinganisha na nyerere kama kweli lakini nyerere hakupita vyuoni na kuwatisha wanafunzi wasigome.

Kutisha wanafunzi wasigome ni kutengeneza " wasomi" KASUKU
JItafakati.
 
Hakuna some chuo kikuu linaitwa migomo msomi hufundishwa kujenga hoja Hadi ikubalike iwe kwa kuandika au kuongea.hoja ikubalike na msomi na asiyesoma.Msomi anatakiwa kuwa na hoja na convincing power.Migomo Ni ya laymen's sio wasomi raisi Yuko sahihi.Angalia bunge wasomi wa chadema toka chadema iwemo bungeni haijawahi tengeneza bajeti full ya upinzani inayoonyesha wao wangekuwa mawaziri was fedha mapato na matumizi item by item yangekuwaje tofauti na ile ya serikali.Na kwa kuwa huwa hawana huongea Kama walevi tu bungeni kuikandya bajeti ya serikali kwa hoja za kuokoteza majalalani na kuhimiza migomo maandamano nk sababu Ni ma laymen isiyo na hoja za kisomo za bajeti
 
Andamaneni sasa......Jana mlikuwa mnshabikia UPUUZI wa nondo na kumdanganya kufanya UJINGA leo hii ANALIA MACHOZI NA WAZAZI WAKE HUKO pekee yake....kina zitto mpaka wanatangza adharani kumpeleka UHAMIAJI lakini mpaka leo hii kamterekeza mtoto wa watu
 
Hakuna some chuo kikuu linaitwa migomo msomi hufundishwa kujenga hoja Hadi ikubalike iwe kwa kuandika au kuongea.hoja ikubalike na msomi na asiyesoma.Msomi anatakiwa kuwa na hoja na convincing power.Migomo Ni ya laymen's sio wasomi raisi Yuko sahihi.Angalia bunge wasomi wa chadema toka chadema iwemo bungeni haijawahi tengeneza bajeti full ya upinzani inayoonyesha wao wangekuwa mawaziri was fedha mapato na matumizi item by item yangekuwaje tofauti na ile ya serikali.Na kwa kuwa huwa hawana huongea Kama walevi tu bungeni kuikandya bajeti ya serikali kwa hoja za kuokoteza majalalani na kuhimiza migomo maandamano nk sababu Ni ma laymen isiyo na hoja za kisomo za bajeti


Wewe jamaa ni hasara sana kwenye jamii yetu. Endelea kuwa hivyo hivyo ili Dunia ipendeze zaidi
 
Zaa mwanao umpeleke chuo agome na afukuzwe ndio utajua maisha ya nyuma ya keyboard ni tofauti na maisha halisi.
Mlimdanganya nondo mwisho wa siku hana pa kukimbilia
 
Zaa mwanao umpeleke chuo agome na afukuzwe ndio utajua maisha ya nyuma ya keyboard ni tofauti na maisha halisi.
Mlimdanganya nondo mwisho wa siku hana pa kukimbilia
ni ubumbuwazi kama wako kujidanganya kwamba nondo kwa kuhoji kwake juu ya mauaji ya kikatili ya akwiline alidanganywa? wewe akili.zako hazina tofauti na huyo anayepita vyuoni na kwenda kuwatisha wananchi wasigome badala ya kuboresha hali zao
 
Mwanzisha uzi ujielewi...! Yaani unaamini katika migomo ? Zipo taratibu za kuwasilisha maoni, ama kupinga jambo fulani uwe mwanafunzi ama raia mweingine yeyote. Katika taratibu hizo hakuna mahali kumetamkwa kuwa kugoma ni njia moja wapo ya kuwasilisha hoja, ama maoni. Ukigoma utaratibu utafuatwa, na usilalamike.
 
si
Andamaneni sasa......Jana mlikuwa mnshabikia UPUUZI wa nondo na kumdanganya kufanya UJINGA leo hii ANALIA MACHOZI NA WAZAZI WAKE HUKO pekee yake....kina zitto mpaka wanatangza adharani kumpeleka UHAMIAJI lakini mpaka leo hii kamterekeza mtoto wa watu
sitashangaa siku nikiambiwa wewe ni mkurugenzi au mkuu wa wilaya mahali. nchi hii haitakaa iendlee hata yesu arudi. wewe jamaa una akili ndogo kiasi kwamba hata house girl wangu anaweza kukushinda sijui huwa unawaza nini
 
Mwanzisha uzi ujielewi...! Yaani unaamini katika migomo ? Zipo taratibu za kuwasilisha maoni, ama kupinga jambo fulani uwe mwanafunzi ama raia mweingine yeyote. Katika taratibu hizo hakuna mahali kumetamkwa kuwa kugoma ni njia moja wapo ya kuwasilisha hoja, ama maoni. Ukigoma utaratibu utafuatwa, na usilalamike.
inawezekana hujui hata maana ya kutoa maoni wewe? hujui hata kugoma ni kutoa maoni? maandamano je? sio njia mojawapo? huko ulaya wanakokuletea misaada na kukuacha unashangilia wanagoma sembuse wewe upo huku mkiani mwa dunia unajidai kufuata taratibu? kama unajua kufuata taratibu twambie zilipo zile 1.5 trilion?
siku nyingine sema hujielewi = ujielewi
 
Elimu ya chuo kikuu ni tertiary education ni elimu ya vitendo yenye kumfanya mtu ayapambanue mazingira yake. Akiongea na wanachuo wa SUA leo ameonekana kutoelewa maana ya elimu ya chuo.

Kwa taarifa tu msomi yeyote asiyekuwa (kasuku). hufungamana na jamii yake, huyaelewa matatizo na kuyatafutia ufumbuzi, kufanya hivyo sio uasi wala uhaini, ni kuelewa na kuitendea haki elimu ya chuo.

Namshangaa Rais anaposema wanachuo wasifanye siasa kivipi? chuo kikuu cha DSM kuna course inaitwa Political science. Hivi wanafunzi wale ukiwaambia wasijihusishe na siasa unamaanisha ile taaluma haina maana ama vipi?.

Rais anawambia wanafunzi katika kipindi chake wasithubutu kugoma na wakigoma atawafukiza na akiwafukuza hajui atawarudisha lini? Hii ni kauli toka kwa mtu asiyeelewa vizuri mazingira na thamani ya elimu ya chuo kikuu. wakati wa mwalimu nyerere wana chuo waligoma intake ya kina samwel sitta waligoma kwa kukataa kwenda jeshini kwa mujibu wa sheria. nyerere hakuwatisha aliwasikiliza. wakati wa mwinyi chuo kikuu kulukuwa na " punch" mwinyi hakusema wanachuo wanatumiwa na mabeberu. kipindi cha kina mkapa na jakaya mdipo walipoibukia hawa kina MWIGULU waliongoza migomo ya kila.aina . ilifikia wakati mwigulu pamoja na kufaulu kwake vizur alikatazwa kusoma shahada ya uzamili chuo kikuu cha mlimani . hakufukuzwa vyuoni wapo wengi ukijumuisha kina.ndaskoi (mmasai).nk


Mfano mwanafunzi wa chuo anaweza akawa anapewa huo mkopo lakini umeme unakatika wakati wa kujiandaa na mitihani yake? Hapo akigoma anakuwa amefanya kosa gani? " someni kwanza hizi siasa mtazikuta tu" anasahau kuwa chama chake kina matawi kwenye vyuo vikuu vyote hapa nchini? mwanafunzi wa chuo anaweza akapewa mkopo lakini kama hana uhakika wa ajira huo mkopo ataulipaje? mwanafunzi wa chuo anaweza kupewa mkopo lakini kama mzazi wake amefukuzwa kazi kimagumashi akigoma atalaumuwa? mwanafunzi wa sanaa ya siasa anayeshughudia kasoro nyingi kwenye chaguzi za marudio akigoma atakuwa amekosea? mwanafunzi anayegoma kuhoji mauaji ya MKIRU atakuwa anakosa la kufukuzwa chuo kweli?

Anatolea mfano enzi zake akiwa chuo kwamba " wakati wanakaribia na mitihani palikiwa panatokea kunji" na kwamba wale vilaza ndiyo waliokuwa wanaongoza migomo kwa kuhofia kukamatwa! uongo ulioje .

Kitila Mkubo ( Katibu Mkuu wizara ya maji) alikuwa rais pakatokea mgomo yeye Kitila alikuwa kilaza, Zitto, Mwigulu, Rugemarila, Alberto Msando wote hawa waliwahi kuwa sehemu ya migomo bila kumsahau Samwel Sitta kweli hawa walikuwa vilaza?

Asichokielewa Rais ni kimoja tu... " mwanafunzi wa chuo kikuu ambaye anasoma miaka 3 au 4 bila kugoma" huyo haelewi anasoma kwa kukariri!

Mwenye kuelewa huhoji na akihoji anadadisi akidadisi asipojibiwa anagoma. pamoja na kuwa magufuli anajilinganisha na nyerere kama kweli lakini nyerere hakupita vyuoni na kuwatisha wanafunzi wasigome.

Kutisha wanafunzi wasigome ni kutengeneza " wasomi" KASUKU
JItafakati.
Hujui ulisemalo. Uliza yaliyompata Mbunge Mbatia na akina Bazigiza.
 
...wanakokuletea misaada na kukuacha unashangilia wanagoma sembuse wewe upo huku mkiani mwa dunia unajidai kufuata taratibu?
Kwa akili hizi, hata ipite miaka mingapi, hamtakuja kukabidhiwa madaraka ya kuongoza taifa la Tanzania. Hamna akili za kujitegemea katika maamuzi yenu, kila kitu ni kukopi na kupesti bila kudigest. Nchi inayojitegemea haiwezi kuendeshwa na akili za namna hii...!!!
 
Elimu ya chuo kikuu ni tertiary education ni elimu ya vitendo yenye kumfanya mtu ayapambanue mazingira yake. Akiongea na wanachuo wa SUA leo ameonekana kutoelewa maana ya elimu ya chuo.

Kwa taarifa tu msomi yeyote asiyekuwa (kasuku). hufungamana na jamii yake, huyaelewa matatizo na kuyatafutia ufumbuzi, kufanya hivyo sio uasi wala uhaini, ni kuelewa na kuitendea haki elimu ya chuo.

Namshangaa Rais anaposema wanachuo wasifanye siasa kivipi? chuo kikuu cha DSM kuna course inaitwa Political science. Hivi wanafunzi wale ukiwaambia wasijihusishe na siasa unamaanisha ile taaluma haina maana ama vipi?.

Rais anawambia wanafunzi katika kipindi chake wasithubutu kugoma na wakigoma atawafukiza na akiwafukuza hajui atawarudisha lini? Hii ni kauli toka kwa mtu asiyeelewa vizuri mazingira na thamani ya elimu ya chuo kikuu. wakati wa mwalimu nyerere wana chuo waligoma intake ya kina samwel sitta waligoma kwa kukataa kwenda jeshini kwa mujibu wa sheria. nyerere hakuwatisha aliwasikiliza. wakati wa mwinyi chuo kikuu kulukuwa na " punch" mwinyi hakusema wanachuo wanatumiwa na mabeberu. kipindi cha kina mkapa na jakaya mdipo walipoibukia hawa kina MWIGULU waliongoza migomo ya kila.aina . ilifikia wakati mwigulu pamoja na kufaulu kwake vizur alikatazwa kusoma shahada ya uzamili chuo kikuu cha mlimani . hakufukuzwa vyuoni wapo wengi ukijumuisha kina.ndaskoi (mmasai).nk


Mfano mwanafunzi wa chuo anaweza akawa anapewa huo mkopo lakini umeme unakatika wakati wa kujiandaa na mitihani yake? Hapo akigoma anakuwa amefanya kosa gani? " someni kwanza hizi siasa mtazikuta tu" anasahau kuwa chama chake kina matawi kwenye vyuo vikuu vyote hapa nchini? mwanafunzi wa chuo anaweza akapewa mkopo lakini kama hana uhakika wa ajira huo mkopo ataulipaje? mwanafunzi wa chuo anaweza kupewa mkopo lakini kama mzazi wake amefukuzwa kazi kimagumashi akigoma atalaumuwa? mwanafunzi wa sanaa ya siasa anayeshughudia kasoro nyingi kwenye chaguzi za marudio akigoma atakuwa amekosea? mwanafunzi anayegoma kuhoji mauaji ya MKIRU atakuwa anakosa la kufukuzwa chuo kweli?

Anatolea mfano enzi zake akiwa chuo kwamba " wakati wanakaribia na mitihani palikiwa panatokea kunji" na kwamba wale vilaza ndiyo waliokuwa wanaongoza migomo kwa kuhofia kukamatwa! uongo ulioje .

Kitila Mkubo ( Katibu Mkuu wizara ya maji) alikuwa rais pakatokea mgomo yeye Kitila alikuwa kilaza, Zitto, Mwigulu, Rugemarila, Alberto Msando wote hawa waliwahi kuwa sehemu ya migomo bila kumsahau Samwel Sitta kweli hawa walikuwa vilaza?

Asichokielewa Rais ni kimoja tu... " mwanafunzi wa chuo kikuu ambaye anasoma miaka 3 au 4 bila kugoma" huyo haelewi anasoma kwa kukariri!

Mwenye kuelewa huhoji na akihoji anadadisi akidadisi asipojibiwa anagoma. pamoja na kuwa magufuli anajilinganisha na nyerere kama kweli lakini nyerere hakupita vyuoni na kuwatisha wanafunzi wasigome.

Kutisha wanafunzi wasigome ni kutengeneza " wasomi" KASUKU
JItafakati.
Tairi bovu, wewe ni limbukeni wa eleimu ya chuo kikuu
 
Back
Top Bottom