Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

Maana ya kupima upepo ni kuwa sio lazima kila wakati kuuliza maswali. Hata mwl akimaliza kufundisha kuna wanafunzi huwa wanachukua nafasi kwanza kuelewa kilichofundishwa kabla ya kunyoosha mkono kuuliza swali.

Chukua gazeti la mwananchi la Leo UTAELEWA uwezo wa waandishi wa habari. Tena kwa maswali yaleyale ya jana. Hasa swali la gharama zilizookolewa. Yaani Mwananchi ina waandishi waliokomaa. Subiri na gazeti la Jamhuri, Mawio nk yakitoka UTAELEWA. Na ndipo utaona Mhe. Rais anawajenga waandishi wetu wa habari wawe ni Ma analysts wazuri na wasiwe wa kutafuniwa na kumezeshwa.

Pia gazeti moja limeweka picha ya waandishi wa habari na Mhe. Rais, Makamu, Waziri Mkuu na Katibu Mkuu Kiongozi. Waandishi waliohudhuria walielewa, shida ni waandishi wa habari walio nyuma ya keyboard Kama wewe.

Queen Esther
Naungana na wewe katika hilo.
Waandishi wengi ni very poor thinkers, na huo si uongo.
Wanapenda kuuliza vimaswali ambavyo mtu akimput off wanaona kama kawadharau vle!

Wenzenu nchi nyingine swali moja na jib lake linakuwa na follow up news au mwandishi anakuwa kafanya background checks za facts.
Hapo unakuwa na uwezo wa kumkanusha hata anyejibu swali.
Lakini kama ni kuafuta news tu, unaambiwe nenda kule kapate habari unazotaka, kwa vle hata unayemuuliza swali anajua hujafanya homework yako.
 
Watu mnajua kupekua hansard balaaa duuh..!!!

Mkuu inabidi Hansard zipitiwe upya na trust me alichotabiri Kiongozi BEN SAANANE 2010 ali-Pinpoint si kawaida!!! ni ajabu kubwa baada ya utabiri wake kutimia anakuja kugeuka no it's unbelievable...?.!!
 
Hilo swali mbona halina kichwa wala mkia? Na ulitegemea kweli Rais aanze kutaja vigezo? waandishi wa habari wajifunze kuuliza maswali.
 
Natumaini tatizo ni namna ya uulizaji wa maswali. Kuna maswali ambayo ni kama muulizaji anategemea kujibiwa jibu fulani. Unapomuuliza mtu umetumia vigezo gani ambaye tangu awali amekuwa anasema falsafa yake ni Kazi Tu. Kwa viongozi wanasiasa hilo ni kama swali la kuwapa ujiko ... ataanza kusema nimeangalia rekodi safi, umakini wao katika utendaji, mgawanyiko wa kikanda na jinsia .... NDIO TULITAKA JPM ajibu?

Waandishi wetu wajitahidi kuuliza maswali ya msingi .... maswali ambayo siyo elekezi. NAWASILISHA.
 
Hilo swali mbona halina kichwa wala mkia? Na ulitegemea kweli Rais aanze kutaja vigezo? waandishi wa habari wajifunze kuuliza maswali.

Wabongo wamezoea JK kucheka cheka, hawajui kucope na aina za watu kama Mourhino ama Ferguson. Ukimuuliza swali la kijinga anakurudishia hilo swali alafu anakuuliza wewe ungefanyaje? Kikubwa hapa ni kumshukuru Mungu kwanza kwamba hii itasaidia kuwafanya waandishi waanze kuwa serious badala ya kulalama, na vyombo vya habari vianze kuwa makini kuchagua watu wa kuhudhuria press, siyo kila mtu anaweza kwenda kwenye press ya Magufuli, wengine waende kwa akina mama ntilie.
 
Walimzoe Jk muzee wa swagas za kikwetu.Magufuri ukimsogelea ujiandae afanyagi maigizo,mambo ya mizaha jamaa anaga kabisa.
 
Leo nimemuona akijibu maswali ya waandishi baada ya kutangaza baraza lake la mawaziri. Pamoja na kwamba aliitisha maswali ni wazi kwamba alikuwa akiwajibu kavu wale waliouliza pamoja na waulizaji kujitahidi kuuliza maswali ya msingi.

Mtu anauliza umetumia vigezo gani kuwateua hao kuwa mawaziri. Jibu lake ni kuwa kwani nilitumia vigezo gani kumteua Majaliwa kuwa waziri mkuu? Sisi tunajuaje? Toa ufafanuzi mkuu.

Kwa mwendo huu waandishi watasusia mambo ya msingi sana na kumwachia Msigwa kutoa habari zote za Magufuli..
Good riddance!
 
Leo nimemuona akijibu maswali ya waandishi baada ya kutangaza baraza lake la mawaziri. Pamoja na kwamba aliitisha maswali ni wazi kwamba alikuwa akiwajibu kavu wale waliouliza pamoja na waulizaji kujitahidi kuuliza maswali ya msingi.

Mtu anauliza umetumia vigezo gani kuwateua hao kuwa mawaziri. Jibu lake ni kuwa kwani nilitumia vigezo gani kumteua Majaliwa kuwa waziri mkuu? Sisi tunajuaje? Toa ufafanuzi mkuu.

Kwa mwendo huu waandishi watasusia mambo ya msingi sana na kumwachia Msigwa kutoa habari zote za Magufuli..

Hata mm nililiona ilo nahs ndo maana alikimbia ya bbc
 
Back
Top Bottom