ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Katiba aloapa kuilinda inaruhusu maandamano. Anazidi kujichanganya.KWA KWELI
MAKEYBOARD HEROS TU HUMU NDANI KAZI YAO NI KUPEPETA MIDOMO,
SIMBA KASHANGURUMA
Katiba aloapa kuilinda inaruhusu maandamano. Anazidi kujichanganya.KWA KWELI
MAKEYBOARD HEROS TU HUMU NDANI KAZI YAO NI KUPEPETA MIDOMO,
SIMBA KASHANGURUMA
Mugabe aliwahi kutamka hili pia.Haitatokea Africa
Rais Magufuli amesema ole wake mtu yeyote atakayeandamana siku hiyo na kama ametumwa na baba yake basi atakuja kusimulia vizuri kilichompata.
Rais amesisitiza kuwa nchi hii ni ya amani na kuna watu hawapendi kuona nchi hii inaendelea kuwa na AMANI.
Nanukuu - ''Wapo watu ambao wameshindwa kufanya siasa za kweli wangependa kila siku tuko mabarabarani tunaandamana. Watu wao wanahamia huku wao wanataka wabaki wanaandamane kule. Nimeshasema ngoja waandamane wataniona. Kama kuna baba zao wanawatuma, watakwenda kuwasimulia vizuri. Niliapa kwa Katiba kwamba nchi hii lazima iwe ya amani.''
Ametoa rai kwa wananchi wote kuendelea kuitunza amani iliyopo kuliko kutaka kuingiza nchi kwenye migogoro kama nchi zingine tunazosikia huku mashariki ya kati na hata nchi jirani.
Rais Magufuli ameyasema hayo kwenye ufunguzi wa tawi la Benki ya CRDB huko wilayani Chato leo hii.
Februari 26, 2018. IGP Simon Sirro alisema Ole wake atakayeandamana bila kufuata sheria
Mnamo Februari 28, 2018. Mkuu wa Majeshi, Venance Mabeyo alisema Kuna viashiria vinavyotishia Usalama wa Nchi, hatua zinachukuliwa kudhibiti hali hiyo.
Leo Machi 9, 2018 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewaonya wale wote wanaotaka kuandamana katika mkoa huo na kuwaambia labda wafanye hivyo yeye asipokuwa mkuu wa mkoa
Leo Machi 9, 2018. Jeshi la Polisi pia kupitia Mkuu wa Operation na mafunzo, CP Nsato Marijani wakati alipokutana na vyombo vya habari amekionya kikundi kinachohamasisha maandamano ya kuiangusha Serikali kupitia mtandao wa Telegram
Tanzania ya sasa ni zaidi ya LibyaMkuu kuwa makini na kauli zako.
Tanzania sio Libya.
Font fedndo hapo sasa... labda na yeye atakuwa Frontline
Kwake siasa za kistaarabu ni kuua, kuteka na kushambulia wengine. 'Eti....."wenzao" wanahamia "huku" wao wamekalia kuandamana'.HAKIKA TANZANIA IMEPATA RAIS KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU
What if hao anaowategemea kuzuia waandamanaji ndo watakuwa viongozi wa maandamano?
Then relax! Kinachokufanya ulitembeze Hilo lichura lako ni Nini Kama unajua tunapoteza muda? Jiandaeni 26/4 live or dieYou are wasting your time.
Siasa ni kazi kwa wale wanasiasa, siasa zenyewe ni usanii mtupu. Kama Siasa Maisha nambie yamekuletea faida gani? Bidhaa zako unauza kwa siasa? Unakula kwa sababu ya siasa? Sasa sijui nani Idiot atakuwa, yule anaendesha maisha yake bila kuweka siasa ama yule anaendesha maisha yake kwa siasa.S
Siasa ni maisha halisi Mzee baba!! Kwa upande mwingine siasa ni kazi kama zilivyo kazi nyingine tu. Alafu kwenye hili jukwaa umefuata nn? Stupid.
Tatizo sio Mange tatizo ni watu wazima wanaoendesha na ujinga Wa Mange, hao ndio sisimizi.Mange, Sisimizi Anayemyima Usingizi Tembo Pori
Umma wote uko kwa ajili ya kuandama? Embu toeni ujinga wenu mitandaoni.Of course kwa kuwapa vitisho kuna watu hawatoandamana ila ukweli ni kwamba wanataka kuandamana na kma msipoyazuia watajaa sana watu na ndio mtajua nguvu ya umma
Ila kituko mnakejeli kuwa hakuna atakayeandamana ila hapo hapo mnawapiga biti!! Ndio nini sasa???
Nyie ruhusuni alafu ndio muone kma watu hawatokuja sio kejeli hku mnakataza
we utakuwa wap?Patamu sana tusubiri kuona....
Nahisi itakua ni zaidi ya enzi za CUF ile ya ngangari na ngunguri
Sema na nyie waandamanaji safari hii mfanye kweli isije kua mnapiga tu JAMBA JAMBA halafu hamuandamani ikifika iyo tarehe....
Kiukweli msipoandamana iyo tarehe 26/4 mtatuangusha sana Watanzania tunaotaka mabadiliko mana tunawategemea nyinyi waandamanaji muikomboe nchi yetu.
Inshallah!