Rais Magufuli, Naona Changamoto na mtihani mgumu sana mbele yako

Mda fulani mnabore sana nyie mnaojiita wanamabadiliko. Kweli nimeami mabadiliko yanaweza kuwa positive au negative, na nyie kumbe mlikuwa mnataka kutupeleka kwenye negative.
Mwacheni magufuli afanye yale, kwani ulishawahi kupna raisi anafanya haya anayoyafanya magufuli kwa sasa? Hii ni kuonesha kuwa huyu ni mtu wa kazi bila kujali kuna mawazilrinau hakuna. Haya anayoyafanya unajuwa alitakiwa afanye waziri wa nini? Mbona anayafanya yeye mwenyewe, unafikiri akitokea waziri mzigo, mwenye mawazo kama yako mtoa mada, atashindwa kumtimua na akafanya mwenyewe?
Mnabore saaaaaaaana tena sana. Tushachoka kuwasikia kwenye mitandao humu sasa. Watu washabadilika kimtazamo, hawako na mwazo ya kimanyumbu kama yenu nyie mnaopelekwa na mawazo mgando ya kushikiwa kama nyie wachache mliobaki na fikra hizo.
Uchaguzi ushaosha jamani, saa hizi tuwe na dhamira ya kuona nchi ikienda mbele. Upinzani sio kupinga hata linalooonekana linaenda vizuri..... Shame upon you.....
 
Kwa nini iwe heading ya kukwama... Kwa nini usiandika Rais atafanikiwa adhima yake kwa kufanya uteuzi wa mawaziri sahihi?

Mzee Tupatupa hii dhana hasi kwa kila jambo inatumaliza sana kifikira unahisi kukwama zaidi kuliko kufanikiawa.. inaonyesha ni namna gani watu walivyo na mawazo kushindwa shindwa tu mnakera sana.

Ndo tulivo watanzania wengi huwa na mawazo ya kushindwa tu siku zote hawazi mafanikio.
Huyu ni Magufuli sio JK. tumuunge mkono kwa juhudi zake sio kuwaza kushindwa shindwa tu.
 
Kwa nini iwe heading ya kukwama... Kwa nini usiandika Rais atafanikiwa adhima yake kwa kufanya uteuzi wa mawaziri sahihi?

Mzee Tupatupa hii dhana hasi kwa kila jambo inatumaliza sana kifikira unahisi kukwama zaidi kuliko kufanikiawa.. inaonyesha ni namna gani watu walivyo na mawazo kushindwa shindwa tu mnakera sana.

Kuna njia nyingi za kumchallenge mtu ili awe makini, usichukulie negative kila negative kwani kuna negatives nyingine they mean positive
 
Hamna hitakuwa pouwa sana kila mtu atapiga kazi ! uwoni mahajabu raisi atukutegemea kwamba atakuwa magufuri wazili mkuu atukutegemea kwamba atakuwa majariwa spika wa bunge akutegemea kwamba atakuwa job .lakini kama ukileta ushabiki wa kijinga na usiasa wa majitaka ya ukawa sawa magufuri atashindwa
 
Hata kiwete alianza na maisha bora kwa kila mtanzania. Lkn mnajua kilichotokea. Tatizo ni ccm mfumo. Na mfumo huyo ndio ulomweka kuw raisi. Hana jipya mtasubiri sn.

Mtasunili sana si pamoja na wewe au we sio mtanzania?
na kama sio mtanzania kinacho kuuma ni nini sasa?
 
Mnaomba usiku na mchana Magufuli akwame. Dua za kuku hizo na Mungu atamuinua tu
 
Rais Magufuli anasifiwa na kuliliwa kwa kasi aliyoanza nayo. Anatazamwa na watanzania kama mwenye nia ya wazi ya kupambana na rushwa,ufisadi na uzembe Serikalini.

Hata hotuba yake Bungeni ilimchora kama bora na mwenye dhamira. Mchezo kamili bado haujaanza. Yote hayo yalikuwa ni sawa na timu kuingia uwanjani na kupasha misuli. Mpira kamili haujaanza.

Mpira utaanza pale watakapoteuliwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri. Hawa watakuwa ndiyo wakuu wa Wizara zao. Watakuwa ndiyo wanaoongoza na kuelekeza Wizara. Rais itampasa kuwaacha Mawaziri kuenjoy madaraka yao.

Rais hataweza,na haipendezi kutokea,kufuatili jambo au mambo fulani moja kwa moja kwakuwa kutakuwa na Waziri husika. Kinachotokea sasa ni sawa na Mwalimu wa zamu kusimamia kazi zote shuleni bila uwepo wa viranja wa zamu.

Mkwamo wa Rais Magufuli,kusipokuwa na umakini kwenye uteuzi,utaanzia litakapopatikana Baraza la Mawaziri. Na Rais hataweza kubadilibadili kila mara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Ndugu yangu tupa tupa. katika uongozi kuna utekelezaji na feedback ya yale uliyotumwa na mkuu wako. Rais ameshaweka bayana kabisa yeyote atakaeshindwa hayo atapigwa shoka. Sasa wewe hofu yako iko wapi? Mimi nadhani wewe kama mtanzania mwema umsaidie rais katika kupoint maeneo ambayo unaona rais kaagiza lakini hayafanyiwi kazi.
 
Jamani tumuunge mkono badala ya kumkatisha tamaa .kila mmoja wetu popote alipo .tubadilike sasa

Tumuunge mkono mtoa mada au Rais wetu Magufuli?
 
Rais Magufuli anasifiwa na kuliliwa kwa kasi aliyoanza nayo. Anatazamwa na watanzania kama mwenye nia ya wazi ya kupambana na rushwa,ufisadi na uzembe Serikalini.

Hata hotuba yake Bungeni ilimchora kama bora na mwenye dhamira. Mchezo kamili bado haujaanza. Yote hayo yalikuwa ni sawa na timu kuingia uwanjani na kupasha misuli. Mpira kamili haujaanza.

Mpira utaanza pale watakapoteuliwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri. Hawa watakuwa ndiyo wakuu wa Wizara zao. Watakuwa ndiyo wanaoongoza na kuelekeza Wizara. Rais itampasa kuwaacha Mawaziri kuenjoy madaraka yao.

Rais hataweza,na haipendezi kutokea,kufuatili jambo au mambo fulani moja kwa moja kwakuwa kutakuwa na Waziri husika. Kinachotokea sasa ni sawa na Mwalimu wa zamu kusimamia kazi zote shuleni bila uwepo wa viranja wa zamu.

Mkwamo wa Rais Magufuli,kusipokuwa na umakini kwenye uteuzi,utaanzia litakapopatikana Baraza la Mawaziri. Na Rais hataweza kubadilibadili kila mara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Na hili niidokeza mahala kwamba tathimini yake ni pale atakapoteua Baraza lake.

Kwa ushauri tu. Raisi ahakikishe Baraza lake kwanza kabisa isiwe zaidi ya wizara 15.
Pili aogope kuwa na Manaibu Mawaziri
Tatu Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali ya Mitaa namshauri aihamishie Ofisi ya Raisi-wataalamu watanielewe na maana halisi ya kufanya hivyo ni nini.
Nne waziri atakaowateu wawe Mawaziri waonadhubutu bila kujali Bosi anawaza nini au kuamua nini,mfano anao yeye mwenyewe-pamoja na kuwa kwa kiwango fulani naweza sema kwa PM ameshabugi ila siyo mbaya pale utakapo kuwa na Watendaji ambao wana dhala tofauti na Bosi wao.

 
Ikitokea upo ndani usiku halafu umeme ukakatika ghafla, kwa muda ule umeme unapokatika giza huongezeka sana, na ukijaribu kuamka kama ulikuwa umeketi yamkini unaweza kuumia kwa kugongagonga vitu vilivyokuzunguka. Lakini ukitulia kidogo, taratibu utaanza kuona mwanga na unaweza tembea ndani kwako.

Sasa rais, hii kasi uliyoanza nayo isije tokea ukazoea giza. Kwa sasa unaona madudu mengi tu na kuyatolea maamuzi, lakini huko mbele uendeko usiyazoee hayo madudu na kuyaona business as usual. MIMI NAKUOMBEA
 
Mungu msaidie Pombe asizoee hilo giza ila aendelee kuyaona hayo madudu na kuyafanyia kazi.
 
Uko sahihi mdau...nia yake inatakiwa iakisiwe na timu yake aka Baraza la Mawaziri.
 
Rais Magufuli anasifiwa na kuliliwa kwa kasi aliyoanza nayo. Anatazamwa na watanzania kama mwenye nia ya wazi ya kupambana na rushwa,ufisadi na uzembe Serikalini.

Hata hotuba yake Bungeni ilimchora kama bora na mwenye dhamira. Mchezo kamili bado haujaanza. Yote hayo yalikuwa ni sawa na timu kuingia uwanjani na kupasha misuli. Mpira kamili haujaanza.

Mpira utaanza pale watakapoteuliwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri. Hawa watakuwa ndiyo wakuu wa Wizara zao. Watakuwa ndiyo wanaoongoza na kuelekeza Wizara. Rais itampasa kuwaacha Mawaziri kuenjoy madaraka yao.

Rais hataweza,na haipendezi kutokea,kufuatili jambo au mambo fulani moja kwa moja kwakuwa kutakuwa na Waziri husika. Kinachotokea sasa ni sawa na Mwalimu wa zamu kusimamia kazi zote shuleni bila uwepo wa viranja wa zamu.

Mkwamo wa Rais Magufuli,kusipokuwa na umakini kwenye uteuzi,utaanzia litakapopatikana Baraza la Mawaziri. Na Rais hataweza kubadilibadili kila mara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Kwa nini unawaza mkwamo badala mafanikio? Nadhani tunapaswa kumuunga mkono badala kusubiri raisi akwame, uchaguzi umeisha sasa ni kazi tu raisi wa chama tawala anaposema Luna matumizi mabaya ya pesa serikalini na papo hapo anachukua hatua ya kuzuia hayo matumizi mabaya ya pesa hiyo ni dalili nzuri tunapaswa kufikiri namna ya kumsaidia raisi ili atuvushe
 
Back
Top Bottom