Hayo safi kabisa yanatosha...hii nchi ina amani ya nini kutembea na msururu wa migari 20!?!
Kweli Dkt Magufuli ni chaguo la Mungu. Na Mungu pekee ndiye atamlinda mja wake.
Angestahili msafara wa magari mangapi?
Hili sio jambo la kushangilia wala kuendekeza!
Mwambieni yupo vitani kuikomboa Nchi dhidi ya mafisadi!
Ulinzi kwake ni mhimu kuliko maono aliyonayo juu ya Tanzania yake.
Kwa jinsi system ya usalama wa taifa ilivokua corrupt na hata kipindi cha uchaguzi mmbo yalivokua yanavuja hovyohovyo,nadhani akijiongezea watu anajiongezea risk ya exposure....wako very corupt sije wakamuangamiza raisi wetu.walinzi na waamnifu ingewezekana achukue hata makomando wa Sangasanga ambao hawana Allegiance na mtu.ila kama ni kuongezewa watu wa usalama wa taifa sishauri
Lakini ieleweke kuwa anapambana na system ya waharifu! popote wanaweza kupenyeza rupia wakapata mtu wao wa kummaliza Mh Rais wetu!