Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,395
- 9,766
Ruttashobolwa nae keshawasili huko kuhimiza washomile wajikusanye...
mpaka asemwe humu jf ndio aende,wahaya mshukuru jf huyo hakuwa na ratiba ya kuja huko
Kwa vile ninyi ni wataalam wakuwasema watu, na bahati nzuri mkiwasema wanatekeleza naomba mumseme Mbowe na El waende kumuona Lema. Nadhani watawaelewaNi bora tu wana Kagera wasijitokeze. Miezi minne baadaye tena baada ya shinikizo kubwa hapa jamii forums. Na pesa zao bilioni 16 walizochangiwa kishazikwapua.
Mpaka sasa ameisha yaangamiza mafisadi wangapi? Kubadili katiba kwa lipi kubwa HASA alilolifanya?Umati wa watu utakaojitokeza kesho utapeleka kilio kwa mafisadi.
Wananchi wako tayari kubadili katiba na kumruhusu magufuli awe rais wa milele ili kuyaangamiza kabisa mafisadi wa ufipa.
Wanyayangilo sio wahaya?? Dharau sio nzuriWakawasombe wanyambo na wanyayangiro huko hatuna time na mtu
Sijakushangaa kwa ulicho andika mkuu mungu atunusuru tuNilijua tu haya maneno lazima yawepo! Mtadhani mnajua ratiba ya rais kwa mwaka mzima.
Kwani alikuwa na kazi gani?Acha uongo. Wakati anamkabidhi jukumu PM alimwambia yeye atakuwa wa mwisho kwenda Kagera
Cheka mkuuila nyie ni vituko kweli kweli! Kwa hiyo mnadhani ratiba ya rais inafuata mitandao ya kijamii?
Wahaya washaikataa CCM na utawala wake tangu uhuru. Majaribio mengi ya kutaka kuupindua utawala wa Nyerere yalikuwa huku ndo maana Nyerere aliwachukia sana Wahaya. Lakini pia wamkataa Kikwete na Bukoba ni moja ya eneo ambalo Kikwete aligaragazwa kwa uwazi kabisa. Magufuri aligaragazwa vibaya sana Bukoba, Muleba, na Karagwe. Ndiyo maana ana chuki sana na mkoa huu.mpaka asemwe humu jf ndio aende,wahaya mshukuru jf huyo hakuwa na ratiba ya kuja huko
Ni PM namba yako mkuu,nkutumieNipe elfu kumi nikutajie
wacha uzuzu,huwezi acha watuwako kwenyeshida usiende wapa pole na faraja eti umkabidhi mtu. Mbona amehudhuria misiba kadhaa au kunawatu muhimu na wengine (tenawengi) wasio? Kwavyovyote iwavyo alikosea saana na hatutaki hilo lijitokeze Tena maana linasikitisha. Watu washapoa Sasa ukienda inakuwanini?? Tuoneshane upendo hasa kipindi cha shida kwako raha. Ingetokea Pindi kampeni zinaendelea tungewahi chap, banaeeh mi nimemind sana namwongelea trump lakiniAcha uongo. Wakati anamkabidhi jukumu PM alimwambia yeye atakuwa wa mwisho kwenda Kagera
Alex tafadhari sana, niko na wewe ila haya majina uliyotumia kutambulisha hizi jamii siyo sawa.Wakawasombe wanyambo na wanyayangiro huko hatuna time na mtu