Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Do you mean hana mamlaka ya kubadili kuwa mazuri?? Mbona kapangua 'mizigo' ya toka serikali iliyopita???Suala la mwendo kasi lilianza kabla ya JPM hajawa raisi. Hayo mabasi ya daladala yalikuwemo kwenye mpango wa kuyafreeze. JPM hahusiki hapa!!!!