Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

Hongera sana Waziri Mteule Muhongo kwa kurudi katika Baraza la Mawaziri. Ukweli utabaki palepale kazi unajua. Chapa kazi usisikilize maneno ya wanasiasa ambao najua watakuja hapa.
 
Mh. Rais kwanza hongera...

Umeteua baraza dogo sana la Mawaziri, na pia umeweka watendaji kweli... ila kuna sehemu umekosea..!!

1: AGGREY MWANRI unamjua..? Utendaji wake kweli kweli hukuona..? Au sbb anatoka kaskazini..? Anyway najua hilo utalifanyia kazi..

2: Pia Nape Nauye hapo umekosea sana, sijui umetumia vigezo gani, huyo kabisa hafai.. anyway sbb umempa wizara ya habari, haina uzalishaji, ila ni bure huyo... utakuja nikumbuka..!!

3: UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO... Hapa mpe AGGREY MWANRI... ni mtu wa kasi yako... ila NAIBU ni NGONYANI... sasa sijui ni Professor Maji Marefu... kama ni huyo Mh. Rais umekosea sana sbb ni
kiwango chake cha Elimu ni std 7..ni mbunge ndio ila hataweza wizara hiyo...

4: Wengine akina Lukuvi, Muhongo, Mwigulu, hawa ni watendaji...na uhakika wataenda na kasi yako... pia Kuna Phillip Marmo, sijui yuko wapi huyu siku hizi niliskia ni Balozi.. ila ni mtendaji sana sanaa.. anafaa Uwaziri au Naibu Waziri... pia ni mwadilifu sana

Wewe bavicha hayo majina tu yamefanana..........huyo Ngonyani sio Maji marefu..........
 
...Muhongo alisema wawekezaji wa ndani wana uwezo wa kusindika juisi, Magufuli juzi akiongea na wafanyabiashara akasema wawekezaji wa ndani wana uwezo muhimu wawezeshwe.
Sasa hawa watu itabidi wawekane sawa, ila nikifikiria zile dharau za Muhongo, na vile leo Magufuli alivyokua anawajibu waandishi wa habari....................!!!
 
mzee hajasoma uchumi, likini anaeconomise with optimum utility, hapana chezea JPM, ni noumaaaa!
 
Sijui ni kigezo gani kilicho tumika kumteua January makamba kwenye wizara ya muungano, maana naona mzigo walio mtwisha ni Mkubwa. Sidhani kama atakuwa na uwezo wa kuwashawishi waafidhina na walibelari.
 
idawa hoja hapa yeye kwenye kuongea kwake kaonesha kuteua kwa upendeleo (Nepotism) si jambo zuri. wanaompinga Nape na Mwigulu wanaonesha kwamba hawakuchaguliwa kwa ubora wao bali wamechagliwa kwa kuwa tu walipuliza zumari la wimbo wa kumsifia bwana mkubwa wakati anagombea Urais. Wewe kanusha kimantiki kuwa hoja yao hiyo si kweli.
 
Last edited by a moderator:
So Magufuli is a human being, afterall? We were elated, we thought he is from Heaven. Only now, we know he is from Geita!
 
Hili baraza halukuhitaji hata wiki, Hili lilihitaji masaa yasiyo zidi Mawili
 
Nami nampongeza sana mhongo.namshauri tu kujua kuwa wazalendo ni bora kuliko wawekezaji wazungu,wahindi na wachina.
 
Back
Top Bottom