Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 48,973 43,088 Dec 10, 2015 #23 Elimu, maliasili bado na nyingine mbili
MeinKempf JF-Expert Member Jun 11, 2013 11,094 7,220 Dec 10, 2015 #24 Hapo kwa Abdalah Posi katusua sana..huyo jamaa ni kichwa (ni albino) sheria imelala hapo, UDOM na UDSM wanamtambua.
Hapo kwa Abdalah Posi katusua sana..huyo jamaa ni kichwa (ni albino) sheria imelala hapo, UDOM na UDSM wanamtambua.
L laki si pesa. JF-Expert Member Jul 14, 2015 10,003 9,732 Dec 10, 2015 #26 Hakuna kitu hapa.,, ni yale yale tu yakubebana na kupeana ulaji
Mr.Junior JF-Expert Member Sep 8, 2013 11,796 9,999 Dec 10, 2015 #28 Umi Mwalimu.......Kigwangala......ndani
MeinKempf JF-Expert Member Jun 11, 2013 11,094 7,220 Dec 10, 2015 #29 watoto jinsia wazee na watoto umi mwaimu na kigwangala
MeinKempf JF-Expert Member Jun 11, 2013 11,094 7,220 Dec 10, 2015 #32 nape nnauye -waziri wa michezo Magazeti, blog uchwara, redio na TV yatayozengua kwa kuleta habari kimeo wajiandae, kwani wakicheza watakula rungu la kichwa toka kwa Nnape Nnauye.
nape nnauye -waziri wa michezo Magazeti, blog uchwara, redio na TV yatayozengua kwa kuleta habari kimeo wajiandae, kwani wakicheza watakula rungu la kichwa toka kwa Nnape Nnauye.
Bailly5 JF-Expert Member Mar 11, 2015 16,363 35,005 Dec 10, 2015 #33 nape ndani wizara ya habari michezo na wasanii
L laki si pesa. JF-Expert Member Jul 14, 2015 10,003 9,732 Dec 10, 2015 #35 Mizigo karibia yote ya JK imerudi
ntamaholo JF-Expert Member Aug 30, 2011 12,906 6,911 Dec 10, 2015 #37 black sniper said: Nishati Muhongo YEEESSS Click to expand... awasaidie akina mengi kupata vitalu, ikiwezekana serikla itoe mitaji
black sniper said: Nishati Muhongo YEEESSS Click to expand... awasaidie akina mengi kupata vitalu, ikiwezekana serikla itoe mitaji
MeinKempf JF-Expert Member Jun 11, 2013 11,094 7,220 Dec 10, 2015 #38 maji na umwagiliaje ni prof. makame mbalawa.
gango2 JF-Expert Member Aug 31, 2011 1,941 2,251 Dec 10, 2015 #40 duuu hii hatari sana eti waziri hajapatikana, bado anatafutwa, wizara ya fedha na zingine ha ha haaa