Nahisi kuna watu watakuja Ku comment kuwa hongera JPM kwa kuendesha kikao cha baraza la mawaziri.
Sijasema hivyo ila yupo, hata naibu waziri Wambura naye yupo, wapo makatibu wakuu,kuna Gavana. Wanaweza kuwa waalikwa kutoka umuhimu wao katika masuala yanayojadiliwakhaaaaaa naibu waziri ni mjumbe wa baraza la mawaziri siku hizi??
mkuu utakuwa hujanielewa, nilikuwa nashangaa ni kwa namna gani NAIBU WAZIRI akawa ni mjumbe wa baraza la mawaziri!Sijasema hivyo ila yupo, hata naibu waziri Wambura naye yupo, wapo makatibu wakuu,kuna Gavana. Wanaweza kuwa waalikwa kutoka umuhimu wao katika masuala yanayojadiliwa
Gender sio issue kinachoangaliwa hapa ni uwezoGender equality haijazingatiwa , over 90% wanaume..
Wewe ni mtanzania auWanajadili panga boi
Except Mwakyembe, mawaziri wengine wote including Makamu wa Rais hakuna anayetabasamu wala hata kuonyesha uso wa furaha. Bila shaka hawakuwa hata na nafasi ya kuchangia chochote rather walikuwa wanasikiliza maelekezo tu.