King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,794
- 68,903
Weka hiyo taarifa uliyosema hapa,weka link tumalize mzizi wa fitina.Acheni kumpa sifa za kijinga kigogo, hizi habari zilisambaa wiki karibia mbili zilizopita, na kuna Uzi humu km wiki mbili zimepita ulikuwa unaongelea maswala ya TISS nikawaambia kwa taarifa za chini chini Kapilimba atapumzishwa kutokana na afya yake kutokuwa imara, na habari za Diwani kuapishwa ziko tng Jana so hapo hakuna kipya wala kigogo