MALAMSSHA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 447
- 154
Labda sijui vizuri maana ya kujitoa mhangaWote waliojitoa muhanga kumpigania Mzee lazima wapongezwe kwa kupandishwa vyeo huu niutaratibu wetu Wa chama cha mapinduzi kuwapa mori vijana
Labda sijui vizuri maana ya kujitoa mhangaWote waliojitoa muhanga kumpigania Mzee lazima wapongezwe kwa kupandishwa vyeo huu niutaratibu wetu Wa chama cha mapinduzi kuwapa mori vijana
Nakubali ila we ulitaka amteue nani?Ha ha ha mkuu we acha tu Unafiki unalipa sana hapa duniani
Nifafanue nini kiongozi, muda huo hakuna tena pole pole ni mkuu Wa wilaya ova
Duh..jamaa mwishowe kaula,bado mzee mwanakijji..!!
Musoma wamekutana wajuaji watupu! Ajiandae kupambana na Mulongo! Hatakubali kufunikwa! Tusubiri!!
Unafiki unalipaHatimaye KAUKWAA
Si lazima ujilipue, huyu alijitoa muhanga kutetea chama chetu, pasi na kujali nani na nini kitasemwa au kutokea, alisimamaLabda sijui vizuri maana ya kujitoa mhanga
Bado pia na Phillipo BukililoDuh..jamaa mwishowe kaula,bado mzee mwanakijji..!!
Hatimaye KAUKWAA