MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 816
- 587
Napita tu
Itakuwa?!! au ulimaaanisha 'ni taaluma rasmi'
sidhani kama mshikaji yupo hivyo nahis polepole anahitaji zaid na atajitahid ili asfikie nafas ile anayoihitajiLah! jamaa ali invest sana, na alipigania sana tatizo sijui kama ataridhika na hii nafasi. Cha msingi achape kazi kwa weledi.
Lakini inatoa picha mbaya sana kwa jamii kujipendekeza ili kuweza kufikiriwa kwenye teuzi, matokeo yake watu wanashindwa kutekeleza majukumu yao kutokana na kukosa sifa na vigezo.
Aiseeee inaumiza sanaKuna watu walisema Magufuli ni tofauti
now wanagundua ni yule yule
hakuna kinachobadilika zaidi ya majina
Kikwete na Makonda,Magufuli na Polepole
Julius Mtatiro, hujaelewa maana ya kufufua viwanda Huyu naye kaandika na kushauri serikali itoe kitabu cha MKAKUVI, tayari kaula KinondoniNaona imekuwa taaluma rasmi....
now tunashuhudia 'new graduates' tu kila mwaka
Ameupigania kweliDuh..jamaa mwishowe kaula,bado mzee mwanakijji..!!
polepole ni miongoni mwa vijana wanao jielewa nchi hii, wakati wa bunge la katiba hakuwaonea haya CCM kuwaambia ukweli, pia wakati wa uchaguzi mkuu baada ya UKAWA kuwafanyia watanzania vile vituko vya karne, polepole hakujiumauma aliwapa ukweli ulio mchungu. tatizo kuna watu fulani wafuasi wa chama fulani ukitofautiana nao tu, basi wewe ni msaliti na mchumia tumbo, kwakweli hiki kizazi cha hawa watu wasio jielewa kinasikitisha. watu gani kila kitu ni ndio ndio hata pale viongozi wenu wanapo boronga? aibu ilioje hii
nnaona unahis ukawa ndio wapo sahihi sana alijitahid kuleta mabadiliko ambayo tanzania tunayahitaji na sio sarakasi usitake turudi katika mabishano ya siasa maana usifikiri wote tunaippenda ukawa kama wewe na wenzako wengineYa nini kujitoa ufahamu kiasi hicho kisa unatafuta ukuuu wa wilaya hahaaa.... Shame on vijana wa taifa hili kutumika kwenye siasa za ccm kisa kutafuta madaraka...
Ha ha ha mkuu we acha tu Unafiki unalipa sana hapa dunianiUlitaka amteue nani mkuu.