Nini Siri ya Rais Samia "Kumtumbua Boss" Usalama wa Taifa?

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
1693239350319.png

Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa

Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?

Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
 
Back
Top Bottom