Wachache wataliona hili tumebaki na mihemko tuuMimi sijaona uhusiano kati ya 'uwekezaji' na Bunge. Labda kama huko Bungeni kuna uwekezaji lakini je utakuwa ni wa aina gani?
Kazi ipo kweli kweliDah, kweli the world is unfair...
Kuna mwingine tuhuma zimemwelemea mpaka akakimbia nchi, ila hadi sasa anadunda tu, hajasimamishwa wala nini
Wauza sembe na wazembe kazini mtalaani sana katika awamu hii...kikubwa acheni uzembe na fanyeni kazi kwa bidiii...Alaaniniwe huyu Sizonje!
Yaani yeye mtu akigusa maslahi yake binafsi tu au maslahi ya wana chatoland....lazima mtu utumbuliwe tena kwa mbwembwe......
LAKINI hili jambo la msukuma mwenzake "DAUDI ALBERT BASHITE" yeye halioni na wala halisikiii....huyu jamaaa naamini kweli aliugua homa kali wakati wa utoto wake na "dishi limeyumba".....Sitakuja kuamini neno lake hata moja...
.Sizonje ni mkabila, mbinafsi, mpenda kiki kama bashite, na kubwa ya yote ni MNAFIKI WA KIWANGO CHA LAMI".....Poor Mfalme..JU.HA..!
Hahahahahahahahaha....nomaaa sanaa ....wale ambao baba zao wanashika madaraka katka serikali hii.....hakikisheni mnajiweka katka maombi maana baba zenu na mama zenu hao....jamaa anaweza tumbua mda wowotemiaka hii ni kukaa macho sana...
si ajabu ukashangilia leo kesho ukaamka ni baba yako au wewe...
watakao vuka utawala huu watakuwa na historia ya kuandika....
HahahahaSafisha Baba
Wewe hupangiwi na mtu
Nchi bado inahitaji usafishaji mkubwa
Aliye Tumbuliwa asisahau
DAMPO NI CHADEMA
Kuteua na kutengua ni prerogative ya Rais. Rais hawajibiki kutoa taarifa za uteuzi au utenguzi mahususi wala kwa watu mahususi isipokuwa taarifa kwa umma kwa ujumla.Ifike mahali rais akimsimamisha mtu kazi atoe na sababu za maana
Aliwaambia Soda imetiwa GONGO
hahaha watamuelewa tu
Kama mazuzu vile.Waliosema nguvu ya soda wako wapi, mwaka wa Tatu unaenda sasa nguvu Ile ile tu
Ametenguliwa ili kupisha uchunguzi dhidi yake kufuatia tuhuma za kutozingatia taratibu zinazotakiwa katika kushughulikia masuala ya uwekezaji.