Ila Magufuli anapenda kujiadhili na kushusha hadhi ya nchi yetu kuonyesha udhaifu wa wazi kwenye maswala ya kiuchumi ni mbaya sana hivi washauri wake akina Gambo makonda wanachoweza kumshauri ni kunyang,anya mashamba ya akina Sumaye na kufungia akina Lema , This Guy has to change immediately asiifanye hii nchi ionekana kituko hatutaki kabisa