Rais Magufuli afanya mazungumzo na Bilionea Dangote

Uko sahihi kabisa. Mtu anayewekeza fixed investments hapaswi kuangaliwa kama mgeni ili kulinda so called 'wazawa' akati wazawa wenyewe wenye uwezo ni wa kuhesabu. Mwishowe anayeumia ni mtanzania wa kawaida kwa kutwangwa bei
Maafisa wa wenye dhamana ya kusimamia masuala ya uwekezaji, viwanda na biashara na wizara ya nishati na madini hasa hasa TPDC kundi hilo ndilo linajifanya Miungu wadogo - wanaleta mizengwe mingi wakiwa na lengo la kulipwa chochote, wamekwisha lemaa hawajali hatma ya Taifa letu.

Kinacho takiwa hivi sasa ni JPJM kufanya mabadiriko makubwa katika Wizara ya nishati na madini, Wizara ya biashara na infact katika Wizara ya Biashara asifanye makosa ku appoint tena watu ambao waliwahi kuwa karibu sana na wafanya biashara au kuajiliwa nao, Rais akumbuke kwamba watawatumia hao hao kukwamisha wawekezaji wenye kuleta ushindani kwa marafiki wao ambao ni wafanya biashara wa ndani, narudia kuinsist kwamba JPJM awe makini sana otherwise masuala ya viwanda itabaki ni ndoto tu - wafanya biashara wengi wanataka kuendelea ku-import bidhaa na vyakula sio kujenga viwanda, mfano mzuri ni viwanda vya Sukari, bila Serikali kulivalia njuga suala hili wafanya biashara wa ndani watahakikisha viwanda vya Sukari havijengwi nchini.

Dangote ndiye anaweza kuwa na nia thabiti ya kujenga viwanda vya maana vya Sukari kama Serikali itamkingia kifua asipigwe vita katika kujenga viwanda vingine vya Saruji na viwanda vya Sukari, majamaa wetu wa ndani wengine wanafanya vitu ki ma-mafia mafia kweli kweli, hawataki wawekezaji wakubwa kutoka nje, suala la Dangote is just a tip of an iceberg.
 
Ajira hizo, wakati watu wanasimanga kumbe shehena ishapakiwa na iko njiani ...haya sasa, ndo kwanzaa ngoma inogile
 
kuna picha zinasambaa mitandaoni kumuonyesha Dangote akiwa katika ofisi za CCM badala ya kituo cha uwekezaji Tanzania,je yanayompata chanzo ni huko?
FB_IMG_1481391346203.jpg
 
Naomba kufahamu hiyo kampuni ya kazti iliyotaka kuuza gesi ni ya nani??? Au ni ya waziri muhusika? Mazoea mabaya maana hata nafasi za uteuzi zilikuwa na dalali. Hata ununuzi wa Boeing ulikwama wakitafuta dalali. Rada ikanunuliwa na dalali, etc.

Magufuli okoa nchi hii ila una kazi maana hayo ni yale unayoyaona. Naelekea kuamini Mawaziri wako ni mzigo. Hopeless leadership!
 
Kuna baadhi ya watu wanakesha wakimuomba shetani ahakikishe kuwa Serikali ya awamu ya tano haifanikiwi.

Kuna wengine mpaka wamejivika ujinga kuhakikisha tu wawepo kwenye maombi kwa shetani.

Mbaya zaidi, njozi zao kila mara zinatupiliwa mbali pale ukweli unapojipambanua.

Ni hatari kuishi katika matumaini hewa huku yakiendelea kujazwa ujinga.

Ukweli huwa haupuuzwi na hakuna mbadala wa ukweli.

Dangote case is closed.

Tunasubiri tena bidhaa nyingine ya uongo kuingia mitaani kwa sababu kwa sasa Tanzania kuna tekinologia mpya ya kuzalisha uwongo.

Ninatumaini kabla bidhaa nyingine ya uwongo haijaingia mitaani, watengenezaji watakuwa wamejifunza sababu ya kutonunuliwa au kuoza kwa haraka bidhaa zao za uwongo.
kuna makosa mengi sana yanasomeka ktk fikra zako!
  1. kufikiri kuwa kesi ya Dangote ni ya uwongo!
    • raisi kwa kauli yake anaonesha kweli palikuwa na mtafaruku, ila kwake yeye ni watu wa kati ndio walikuwa kikwazo.
    • kwa maana hiyo suala la mgogoro sio la uwongo, bali watu wa kati ndio waliokuwa wanatugombanisha na mwekezaji
  2. dhana ya kuwa CHADEMA wanaomba serikali ifeli nadhani ni dhana potofu
    • So far chadema hawakuwa na ushawishi wowote kwa dangote, bali wananchi waliokuwa bold na wanaojielewa waliamua kupaza sauti, kuhusu hatari ya uchumi wetu kudidimia kwa mgogoro huu na Dangote!
    • wengi kati ya vijana wa ccm mlitaka dangote aende tu na wala hambabaishwi, nadhani ktk kupima mwenyekiti wenu aliwasikiliza Zaidi wale wasiokuwa wa chama chake, ndio kauli zao zilikuwa na mashiko Zaidi.
ukitazama vema mgogoro huu bado wapinzani wanahoja nyingi za kuendelea kui-challenge serikali (kumbuka sio kuiombea mabaya).
  1. Raisi alisema amechagua mawaziri makini, lkn kila siku hakuna wanaloweza kulifanya, kila jambo lazima atatue mwenyewe!PhD 2 zinashindwaje kusolve shida ndogo namna hii, hata yule binti Mange alikuwa na solution sawa na hii ya leo na PhD hana! wapinzani wataachaje kuongea kama tumekwama hivi! kama mawaziri hawana maamuzi hadi mkuu afanye mwenyewe, tungevunja tu baraza na kubaki na one man! mbona aliweza alipokuwa raisi na kiongozi wa kila kitu kw Zaidi ya mwezi 1.
  2. Dhana ya kuondoa ma-agent nadhani ni dhana potofu! ktk biashara hili ni jambo la kawaida, Dangote ktk budget yake anajua kuwa kuna agents wanapaswa kumuunganisha yeye na taasisi za serikali. utaona kama sio sawa leo kwa kuwa Dangote yupo hapa, lkn imagine wakati Dangote yuko Nigeria nani angeweza kumuongoza hadi kufika hapa! na agents tusiwazungumzie hao wa gesi, bandari pekee, wapo wengi mfano. Maximalipo, wale wanaopeleka watu mbugani au mlima k'njaro, basi tanapa wangefanya wenyewe! pesa aliyookoa Magu sio ya Tanzania, ni ya Dangote ambayo sasa serikali haipati na wala huyo mtanzania haipati!
    • haya makampuni ya udalali yapo na yanasajiliwa kwa kazi hizo, sasa leo ni ajabu kulishangaa kampuni la udalali likizidisha gharama, hizo ni tozo halali kwa mujibu ya shughuli wanazozifanya! shida kama wametaka rushwa au kama wame bargain low na kuimuza serikali!
 
Back
Top Bottom