Sasa kuna hii kombinenga Hatari inasumbua Bunge na kamati zao za Ufundi walizorithishwa na mkuu wa makati ya Ufundi Afrika Yaani January Makamba , hao si wengine bali ni Mwakyembe , kitwanga na Nape Huku January akiratibu kila mtumbuliwa JIPU au wale wanaotarajia kutumbuliwa JIPU mda wowote na kujipatia pesa Kwa style alivyomfanyia Yule Mzungu mtaliano ( kufa kufaana ) Kipindi hiki ni Mavuno Kwa January .