dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source Kutoka Bungeni
Ndo mkuu wa kaya kesho anawapa meno wateule wake michango yetu hapa jamvini imesaidiaje? Na kwa ujumla wake tumepigwa changa la macho kwasababu tuliambiwa ataapisha mwisho wa mwezi ili kutoa nafasi ya watu kuichambua wataule wake imeukuwaje sasa
Ndo mkuu wa kaya kesho anawapa meno wateule wake michango yetu hapa jamvini imesaidiaje? Na kwa ujumla wake tumepigwa changa la macho kwasababu tuliambiwa ataapisha mwisho wa mwezi ili kutoa nafasi ya watu kuichambua wataule wake imeukuwaje sasa