Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Unajua Ritz, wengi wa wanaochangia humu (hope hawa wakilishi taswira halisi ya wa-Tanzania) inaonekana ni watu ambao hawataki kufikiri, na au hawajui kufikiri, sina uhakika hii ndiyo dhana hasa ya JF. Watu nadhani wana jazba na matatizo yanayowakumba kimaisha, ila haiwezi kubadilisha ukweli wa ulichosema.