Rais Kikwete: Nipo tayari kukutana na UKAWA

nimeamin kuwa rais anaongopewa sn na shodow yake ya ccm,humu ndani leo imejiidhihilisha kuwa kuna watu wengine ni zaid ya mawe,mnakuja na hoja za kitoto kabisa maamuz aliyo ya fanya mh rais naimani ni ya kwake kabisa cz ukizingatia juz ktk kikao chao hakuliongea hili jambo ila kwa kweli ni aibu sn kwa hawa jamaa sijui wataweka wapi nyuso zao zilizo dondoka mh rais kawaumbua ss anzeni vigenge mlivo zoea ss WASSIRA,6,LUKUVI,na MAKONDA
 
Mtu yule yule aliyesababisha matatizo haya ndio atatue??haiwezekani na kwa uwezo wake wakufikir hawezi kamwe..
 
Juice za Ikulu mbona wanatulia kama mwanzoni. Ila yule kilema asiende kule

Acha kujitoa ufahamu ccm wanajua 2015 watakuwa wanashida kubwa
1. Kumteua Lowassa fisadi kuwa mgombea wa urais ambaye hata baba wa Taufa Marehemu mwl jk nyerere alimkataa/ kumwondoa kwenye orodha ya wagombea huku wakijua hatanyamaza,maana kamati kuu iko mfukoni mwake
2. Kumuacha Lowassa ni kuahindwa kwa ccm au kumkabidhi kijiti ni kuandaa majibu ya kwa nini hatuba maji,kwa nini alijiuzuru,kwa nini Mwakyembe alisema kuwa mengine ameficha kuwa siri kwa usalama wa nchi,vinginevyo serikali ingeanguka, je alimficha nani aliyekuwa mgongoni mwa Lowassa
3. Ccm isipohakikisha katiba inaandikwa na kwa kuwa walidandia basi mbele huku wakiwa hawana nia njema,watasalimika?,kikwete anatafuta sehemu ya kutokea ili ukawa wakienda tu ikulu aunganishe doti za mwigullu nchemba kuwa tumekubaliana na wajumba ambao hawakulipwa/ kutiingia bungeni wamekubaliana atawalipa ili kujenga umoja na mshikamano.
kwa taarifa yako,ukawa hawakanyagi ikulu,ngoja yau lipasukie mikononi mwake
 
iq ndogo sana kuliko mataifa mengine....aaaa bana mbona tuna madictor kibao acha utani changia maada
Mkuu mbona mchango wangu uko wazi tu hapo ulipo ni quote? Raisi katangaza kuongea na UKAWA hili ni jambo la heri na hekima sana kwa nchi yetu hii ni njia ya kuepuka machafuko.Lakini utakuta mijitu iko majukwaani na vijitu viko mitandaoni vinazungumzia JUICE just JUICE.Unajua mkuu kuna watu sababu ya umbumbumbu tu inadhani IKULU ni mali au ofisi ya CCM.ikulu ni nyumba ya KILA Mtanzania.Mkuu kuna taarifa ilitoka miezi ya juzi tu kuwa WATANZANIA ni watu wenye IQ ndogo sana sina uhakika nchi ilikua ni ya ngapi klutoa chini.mimi huwa naaamini michango ya kijinga ya makada wa chama fulani ndio huwa inachukuliwa kama sample.sio utani mkuu.
 
HUYU JAMAA ANAYEJIITA thatha AKILI ZAKE NI KAMA ZA JEI.K NA NNAPE.HOVYOO KABISA.SIJAWAHI KUONA RAISI WA AJABU KAMA HUYU.HANA MSIMAMO ANABURUZWAAAAAA....PIA NAWASHANGAA SANA VIONGOZI WA DINI.BADALA YA KUIKEMEA CCM NA UPUUZI WANAOUFANYA ETI WANAUNGANA NAO.AMA KWELI KUNUNULIWA KUBAYA....WEZI,WAONGO NA WAZANDIKI WAKUBWA NYIE VIONGOZI WA DINI....
 
Msisahau kumkumbusha EBOLA imefika Congo hi yo afanye hima kufunga mipaka. Asisubirie hadi ifike Kigoma. Ndio aanze
 
CCM ni waroho sana asee wao wanawaza kula na kunywa tu.ukitaka kuwanasa watu hawa wewe wawekee pipa la pombe ya kienyeji na masinia ya wali umewanasa.ndo maana saa zote mazungumzo ya maana wao wanaonea uchungu JUICE tu,kikwete kesha washitukia.
 
Ukiona JK anataka kukutana na UKAWA ujue siku si nyingi ata Vasco da Gama. Kama sikosei, ataelekea UN. Je anania nzuri ya kuleta maridhiano au ni kujikosha ili apate cha kuwaambia viongozi wa western anaojikomba kwao? Well, time will tell.
 
Sasa hivi Tanzania ina nchi ngapi na serikali ngapi?

Nini logic ya kuanzisha bunge la Tanganyika katika muundo wa serikali kama inavyoandikwa Dodoma sasa?

Jina serikali tatu linakupa woga gani hadi unajipa pressure?




Mimi ni mtanzania , bila kujalii ni mama salma au nani, nasimama katika ukweli mkuu, UKAWA mmekosa dira kabisa
 
Acha kujitoa ufahamu ccm wanajua 2015 watakuwa wanashida kubwa
1. Kumteua Lowassa fisadi kuwa mgombea wa urais ambaye hata baba wa Taufa Marehemu mwl jk nyerere alimkataa/ kumwondoa kwenye orodha ya wagombea huku wakijua hatanyamaza,maana kamati kuu iko mfukoni mwake
2. Kumuacha Lowassa ni kuahindwa kwa ccm au kumkabidhi kijiti ni kuandaa majibu ya kwa nini hatuba maji,kwa nini alijiuzuru,kwa nini Mwakyembe alisema kuwa mengine ameficha kuwa siri kwa usalama wa nchi,vinginevyo serikali ingeanguka, je alimficha nani aliyekuwa mgongoni mwa Lowassa
3. Ccm isipohakikisha katiba inaandikwa na kwa kuwa walidandia basi mbele huku wakiwa hawana nia njema,watasalimika?,kikwete anatafuta sehemu ya kutokea ili ukawa wakienda tu ikulu aunganishe doti za mwigullu nchemba kuwa tumekubaliana na wajumba ambao hawakulipwa/ kutiingia bungeni wamekubaliana atawalipa ili kujenga umoja na mshikamano.
kwa taarifa yako,ukawa hawakanyagi ikulu,ngoja yau lipasukie mikononi mwake


Chonde chonde ukawa msikilizeni mkuu wa nchi msikate tamaa unesheni ikomavu nchi iko kwenye mgogoro wa kikatiba tafadhali nendeni.
 
Mkuu inaonekana umeumia sana kusikia rais kasema yupo tayari kukutana na UKAWA.

Mimi najua akiwaita ndo raha kwa atakutana na watu wanaomzidi sana upeo wa kupmbanua, mwisho wa siku atakubaliana nao. Utaona mzee.
 
Wakati mwingine mkuu wa nchi anapotamka mambo mazuri ili kukwamua huu mgogoro wa kikatiba tulio nao nchini, nivema tungetumia busara ili ukawa wasijewakakaza kamba ikawa baraaaaaa!!

Hamna busara hapo. Mbinyo tu huo anapakupumlia.

Busara hizo zilijificha wapi miezi yote hiyo. Upepo hakuvuma kuelekea upande wake. Watanganyika endelea kubinya tu.
 
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amesema yupo tayari kukutana na vyama vinavyounda UKAWA ili kufanikisha upatikanaji wa katiba mpya iliyo bora kwa watanzania wote itakayozingatia maoni ya makundi yote ya kijamii na kisiasa kuliko inavoendelea hivi sasa huko bungeni.

Ameyasema hayo akiwa kwenye ziara yake mkoani Morogoro.

Source
: ITV habari za saa kwa ufupi.


Nnawashauri UKAWA wasikubali mtego huo mmbovu kbs ,muda umeshapita sana kwa yanayoendelea mpaka wakati huu.
 
Quicky acting president.
Well done,
Well done presidar!
Nasia, kichefuchefu sana kwa kweli, muda wote alikuwa wapi?

Mkuu nakuunga mkono.

Kama angekuwa na nia ya dhati ya kutafuta muafaka angekuwa amekutana nao mapema.

Kwa nini ameamua kukutana nao wakati huu anajua mwenyewe!
 
Back
Top Bottom