Kinyau
JF-Expert Member
- Nov 24, 2006
- 910
- 703
Hutu ndugu aliyeanzisha hii hoja nafikiri ni kweli amebore. Kuna critical issues zinazoendelea kuhusu haya mambo na migodi na madini
nshomile lete basi hizo crirical issues za madini unazozijua, usilalamike tu mzee mwenzangu, hapa ni talking with freedom ilimradi hujamkosea mtu heshima.
ashomile kumbuka nyota njema.................kwa sasa kumhusisha rais Kikwete ni mapema mno
tutalala weee tukisubiri tuone matokeo mazuri hadi lini?
tetesi zipo nyingi na labda kelele zetu humu kijiweni kitasaidia kurekebisha mambo pale rais atapojua kuwa alaa kumba kuna watu wako macho na mimi. lets hit the iron when its stil hot, it may help.