Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Hajipendi, labda aende pwani...anakwenda Mbeya
Hajipendi, labda aende pwani...anakwenda Mbeya
MH! Yani akimbie Tripol aende Benghazi?anakwenda Mbeya
Wakuu leo tarehe 12 / 11 / 2011 Rais wa JMT Mheshimiwa J Kikwete anatarajiwa kuzindua chanjo kwa watoto chini ya miaka mitano.Chanjo hiyo itahusisha magonjwa ya Polio,Surua,Vitamini A na dawa za minyoo.
Taarifa za kiintelijensia toka chanzo muhimu zinasema uenda Mheshimiwa Rais Kikwete atashindwa kuzindua kampeni hizo kwasababu za kiusalama mkoa Arusha.Taarifa nyingine za uhakika kuna mpango wa kile chama cha magwanda kuvuruga zoezi zima la uzinduzi kwa kubeba mabango yenye nia ya kumdhalilisha mkuu wa Kaaya eg:Mfungulie mbunge wetu,Ondoka na meya wako wa kuchonga na nk.
Hajipendi, labda aende pwani...
wewe umeishiwa hoja kama usalama wa taifa wako binafsi wamekudanganya hivyo unajidanganya. chadema wamedhibitiwa Arusha kiasi kwamba kulala uwanjani kwa siku sabu walizotangaza awali walishindwa unashangaza sana na habari za njozi
Wakuu leo tarehe 12 / 11 / 2011 Rais wa JMT Mheshimiwa J Kikwete anatarajiwa kuzindua chanjo kwa watoto chini ya miaka mitano.Chanjo hiyo itahusisha magonjwa ya Polio,Surua,Vitamini A na dawa za minyoo.
Taarifa za kiintelijensia toka chanzo muhimu zinasema uenda Mheshimiwa Rais Kikwete atashindwa kuzindua kampeni hizo kwasababu za kiusalama mkoa Arusha.Taarifa nyingine za uhakika kuna mpango wa kile chama cha magwanda kuvuruga zoezi zima la uzinduzi kwa kubeba mabango yenye nia ya kumdhalilisha mkuu wa Kaaya eg:Mfungulie mbunge wetu,Ondoka na meya wako wa kuchonga na nk.
Wakuu leo tarehe 12 / 11 / 2011 Rais wa JMT Mheshimiwa J Kikwete anatarajiwa kuzindua chanjo kwa watoto chini ya miaka mitano.Chanjo hiyo itahusisha magonjwa ya Polio,Surua,Vitamini A na dawa za minyoo.
Taarifa za kiintelijensia toka chanzo muhimu zinasema uenda Mheshimiwa Rais Kikwete atashindwa kuzindua kampeni hizo kwasababu za kiusalama mkoa Arusha.Taarifa nyingine za uhakika kuna mpango wa kile chama cha magwanda kuvuruga zoezi zima la uzinduzi kwa kubeba mabango yenye nia ya kumdhalilisha mkuu wa Kaaya eg:Mfungulie mbunge wetu,Ondoka na meya wako wa kuchonga na nk.
Mkuu taarifa za kiintelijensia anakwenda Iringa.mbeya akafanye nini nasikia wanataka mkoa wao uhamishiwe Zambia.
pale Arusha vyombo vya usalama viliwadhibiti chadema hata wakati Rais hayupo Arusha ndio unathubutu kutudanganya kwamba vyombo hivyo hivyo vitashindwa kuwadhibiti wakati Rais yupo Arusha wakati kwa uhakika ulinzi ndio utakuwa mkali maradufu.... huo ni uongo
wewe unahamisha kutoka kichwani mwako unachokifikiria na kukifanya kuwa mawazo ya wengine? Rais Kikwete anapendwa na watanzania siyo kama unavyofikiria wewe.
Jambo Mkuu, Si rahisi kama unavyodhani aisee......"Raisi wa Nchi"???
Mkuu wangu Hauxtable.
Kikwete haipendi Arusha fuatilia hotuba yake ya Dodoma utajua jinsi alivyoizungumzia.Ipo thread hapo nadhani ilianzishwa na Philemoni itafute utapata mambo mengi angekuwa na uwezo angehamishia makao makuu ya EAC Bagamoyo.
anakwenda Mbeya