Rais kikwete katika picha akipanda mlima Kilimanjaro

nakumbuka mwaka 1988 nikiwa darasa la tatu. mwinyi alivunja baraza la mawaziri akiwa saudi arabia/oman. inawezekana kutokana na ultimatum walioweka madaktari kuhusu mawaziri wake yeye anaenda kuandika historia! anaenda kulivunjia mlimani huyo. Naona hata gari la Maghembe limeondoka kurudi dar huku maghembe akibaki nyumbani Usangi
 
Naona kuna watu wana mipango ya siri ya kumuingiza yule Muunguja Ikulu. Angempigia simu Abramovich kumuuliza shughuli yake kwanza. Asijerudi akiwa Ariel Sharon.
 
Tukio hili ni la kuonyesha kwamba kuna watu wanamzushia kwamba afya yake ni mgogoro lakini pia kama madaktari wamemruhusu basi wameridhika na afya yake. Misukosuko iliyompata wakati wa kampeni inaonekana ilitokana na uchovu.

kila binadamu anaumwa ingawa kuna watu wanapenda kuongeza chumvi kwenye afya ya Rais kwa sababu za kisiasa.

Atakuwa amebwia glucose kwa wingi
 
KAMA ANA MAGONJWA SASA ndio YATAAMKA!
Kilimanjaro si ya mzaha na vicheko bana.

Huyo kisha ipanda akiwa jeshini Monduli. Hilo jitu wee wacha tu, lina sifa zote za uongozi;

Mwanajeshi mwenye cheo kizuri tu.
Mwalimu.
Mwana Diplomasia aliyebobea.
Mwanasiasa.
Mtendaji mzuri sana.

Kama ni Rais basi Watanzania hapo tunae wakujivunia kwa sana tu. Hakuna katika Marais wote tuliowahi kupata mwenye sifa za JMK na hakuna anaempata kwa utendaji kazi (hata nusu) katika wote waliopita.
 
Natumaini wakifika mbele watavaa mavazi (nguo na viatu) vya kupandia mlima. Vinginevyo baridi si kali sana huko mlimani?

Kwa kawaida nguo hubadilishwa kulingana na eneo wanalofika kelekea kileleni. Kila mtu anaelekezwa nguo za kubebe nyepesi na nzito, pamoja na viatu vyepesi na vyenye kuhimili badili
 
Kwa kawaida nguo hubadilishwa kulingana na eneo wanalofika kelekea kileleni. Kila mtu anaelekezwa nguo za kubebe nyepesi na nzito, pamoja na viatu vyepesi na vyenye kuhimili badili

Hivi viatu hata kichuguu huwezi kupandia

k7.jpg
 
Hongera JK. Ni uamuzi mzuri kama utaweza kupanda mpaka Uhuru Peak ni vyema nakutaki safari njema.
 
Huyo kisha ipanda akiwa jeshini Monduli. Hilo jitu wee wacha tu, lina sifa zote za uongozi;

Mwanajeshi mwenye cheo kizuri tu.
Mwalimu.
Mwana Diplomasia aliyebobea.
Mwanasiasa.
Mtendaji mzuri sana.

Kama ni Rais basi Watanzania hapo tunae wakujivunia kwa sana tu. Hakuna katika Marais wote tuliowahi kupata mwenye sifa za JMK na hakuna anaempata kwa utendaji kazi (hata nusu) katika wote waliopita.

hata kiwanja cha michezo tunacho kizuri sana lakini hakuna ushindi hata wa east africa tunao jivunia imebaki hadithi yaani ni sawa kuitwa mwanaume suruali
 

Pr
esident Jakaya Mrisho Kikwete presents General Mirisho Sam Hagai Sarakikya, the country's top climber who at 78 years of age has scaled to the roof of Africa 38 times and plans to make his final climb when he turns 80
Duu, anampoza Sarakikya baada ya mtoto wake kupigwa chini ubunge.

Lakini Sarakikya mwenyewe alipojaribu kupanda mlima Kilimanjaro, alilitia aibu jeshi zima na wanaompigia saluti, mambo yalikuwa hivi:

50777347.jpg


Exhausted Mirisho H. Sarakikya being carried down Mt. Kilimanjaro by native guides.
(Photo by Terrence Spencer//Time Life Pictures/Getty Images)
 
Safi sana mtalii wetu ila kumbuka chini bado kunawaka moto hasa madai ya matabibu yetu hujayamaliza!!!!!!
 
Back
Top Bottom