Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

Status
Not open for further replies.
Kweli Mtanzania Mtu Mzima ... kuna mweye shauku ya dhati kuhitaji kujua ..huo mkusanyiko mpya ..wa hao watu ..!! Kwani unatofauti gani na ule uliopita? Gari wabadili rangi au Dereva ili kupata safari yenye matumaini na neema????

Mbaya zaidi hata abiria wenyewe hawahijui njia, lengo lao ni kufika Arusha kutoka Dar, wamepanda mtumbwi na hawashangai wanapigiwa soga za sungura na fisi na nahodha, siku zinaenda wanatokomea tu baharini, hali watoto wao wanawasubiri stendi Arusha! WANATOKOMEA BAHARINI, KINA KIREFU WAMEPANDA MTUMBWI, wanaenda Arusha, watafika? WATAANGAMIA TU, HAPONI MTU!
Mungu wetu anaita!
 
Wameitwa kwa njia ya simu au barua? Kama barua weka hapa tuone. Mbona Invisible hajatuambia hilo najua yeye pia huwa anapata mialiko kama hii kwa kuwa JF huwa ndicho chombo cha kwanza kabisa cha habari ambacho hutangaza taarifa za Ikulu.
Mjomba,
This is like too much being inquinsitive!
Saa tisa is just one half hrs to go, kuwa mpole! na uamini wenzako!
 
Wameitwa kwa njia ya simu au barua? Kama barua weka hapa tuone. Mbona Invisible hajatuambia hilo najua yeye pia huwa anapata mialiko kama hii kwa kuwa JF huwa ndicho chombo cha kwanza kabisa cha habari ambacho hutangaza taarifa za Ikulu.

JF ndo chombo muhimu kuliko vyote hapa TZ,elimu yake ni pana sana. Hongera kwa waloanzisha JF.Kwani faida yake yaonekana.
 
kwa mimi ni sawa na hamna kitu kwa sbbu haw wanaopigwa chin si ndo waliotumaiwa baada ya kina chenge, kalamangi na mramba
 
Ndugu zangu wahariri juice na gahawa visije vikawalevya mkasahau mlichoitiwa mtakcho ambiwa tafadhali ndicho mtuambie tunawategemea ninyi ndio jicho la wananchi
 
Wameitwa kwa njia ya simu au barua? Kama barua weka hapa tuone. Mbona Invisible hajatuambia hilo najua yeye pia huwa anapata mialiko kama hii kwa kuwa JF huwa ndicho chombo cha kwanza kabisa cha habari ambacho hutangaza taarifa za Ikulu.
soma post no 6. JF imetuma mwakilishi source Invisible
 
Mh.Bigbro,Kikwete ni Rais wetu mimi na wewe haijalishi ulimpigia kura au hukumpigia! Labda kama wewe ni raia wa marekani kama mnavyopenda mueleweke.Haina maana kama humpendi basi ndiyo anakuwa siyo rais wako
Acha kutuchanganya, siyo kila anayendika kiswahili ni Mtz.
 
Hii ni ishu ya mawaziri tu hakuna kingine.
Mwambieni huyu jeyy kehi wenu aache kupoteza muda wa watanzania. Hiyo list si ampe salva rwehemamu aitume. Hizi mbwembwe zinawasaidiaje watanzania ambao wengi hawana hata pesa ya kula?
 
taarifa ya Ikulu inathibitisha kuitwa kwa waandishi wa habari saa 9 na shughuli yenyewe ni saa kumi coz of protocal
 
Naona amewaita hao wahariri akawaambiae jamaa zake alowachagua kuwa mawaziri na kuwaambia pia alio watosa kutoka kwenye ulaji wa baraza lake la mawaziri.
 
Wameitwa kwa njia ya simu au barua? Kama barua weka hapa tuone. Mbona Invisible hajatuambia hilo najua yeye pia huwa anapata mialiko kama hii kwa kuwa JF huwa ndicho chombo cha kwanza kabisa cha habari ambacho hutangaza taarifa za Ikulu.

Kumbuka kuwa Ikulu kuna Kitengo cha Mwasiliano, hivyo kitakuwa na simu za vyombo mbali mbali vya habari na ni rahisi kupiga simu kuliko kuandika na kutuma barua. Vumila tu Mkuu, kwa saa za huko Afrika Mashariki najua saa 9 sio mbali.
 
Inasemekana Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda (MB) ataendelea kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

Source --- Mwananchi online
 
Mjomba,
This is like too much being inquinsitive!
Saa tisa is just one half hrs to go, kuwa mpole! na uamini wenzako!

Mkuu PakaJimmy tangia jana tumekuwa tukiambiwa atatangaza wakati wowote kuanzia sasa! Kuna mwingine alikuja akasema itakuwa saa nne hivyo sources zimekuwa unreliable kwa muda mrefu nikaona ni vyema nikajiridhisha. Na kweli Invisible amethibitisha hilo. Nimeamini kwa kuwa mara nyingi taarifa za Kurugenzi ya Ikulu huwa zinaletwa humu na Invisible.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom