Za siku wana Jamvi....
Mwenzenu nataka kujua ni lini Baraza la mawaziri la Mh. Kikwete litavunjwa?
Kikatiba inatakiwa baraza livunjwe lini? maana naona jamaa wapo mpaka leo, sijajua ni nini mpango wake....
Napata wasiwasi sana juu ya hili, mtashangaa mpaka tunaingia kwenye uchaguzi bado ni mawaziri tu...
Haaaa haaaaaa.
Haaaa haaaaaa.