Rais Kikwete anavunja Baraza la Mawaziri lini?

Inasikitisha sana iko wapi ile jamii forums ya zamani..Kwani imevamiwa na vilaza hawajui nyuma wala mbele na hawataki kuuliza..Hebu kasomeni katiba ya mwaka 77 ya JMT na mtajua kikomo cha mawaziri na mtu anaambiwa gazeti la serikali anasema Dailynews.. Hivi huko shuke mnasoma nini wadogo zangu?kwani mnatia aibu na Jamii forums siku hizi yatia kichefuchefu
 
Inasikitisha sana iko wapi ile jamii forums ya zamani..Kwani imevamiwa na vilaza hawajui nyuma wala mbele na hawataki kuuliza..Hebu kasomeni katiba ya mwaka 77 ya JMT na mtajua kikomo cha mawaziri na mtu anaambiwa gazeti la serikali anasema Dailynews.. Hivi huko shuke mnasoma nini wadogo zangu?kwani mnatia aibu na Jamii forums siku hizi yatia kichefuchefu

Hahaha.. Na mi nimeshangaa nikaishia kusoma tu. Wanadhani gazeti la serikali ni kama yanayouzwa.. Duuuh.. Nway niulize, makongoro mahanga anaendelea kupokea mshahara wa uwaziri?? Ukihama chama na stahiki zako zinakufa??
 
Ana mpango wa kuitisha Bunge la dharura kubadilisha sheria za uchaguzi kupiga marufuku Vyama kusimamisha mgombea mmoja maji yakimfikia shingoni.
 
Hapa ndio ile maana ya Waziri anaweza kutokuwa mbunge. Sasa bunge kama limevunjwa maana yake ni kwamba na uwaziri una-dissolve kwa kuwa huwezi kuwa waziri pasina ubunge. Hii nchi imekorogwa sana. Tubadilishe kila kitu. CCM ni madikteta na mabwanyenye.
 
Hapa ndio ile maana ya Waziri anaweza kutokuwa mbunge. Sasa bunge kama limevunjwa maana yake ni kwamba na uwaziri una-dissolve kwa kuwa huwezi kuwa waziri pasina ubunge. Hii nchi imekorogwa sana. Tubadilishe kila kitu. CCM ni madikteta na mabwanyenye.

Umenena yote na vema kabisa. Lakini ukiwaelemisha umma wa hapa JF ambayo inajinasibu kama ni 'Thinktank' ya Tanzania (achilia mbali umma wa Tanzania - maana unaweza kusema tumepishana uwezo wa ufahamu) juu ya huo mgongano wa kisheria (legal technicality) basi bado 'mtakesha' kwa kubishana shauri ya mahaba yao na CCM.

Ingekuwa utawala huu unaoheshimu sheria za nchi basi baraza zima la mawaziri kila mmoja angetakiwa kukabidhi ofisi kwa Katibu Mkuu wake ile siku ya Bunge lilipovunjwa na Rais pale Dodoma. Maana yake ni kuwa ile ndio siku hata kwa yule mbunge ambaye alikuwa Waziri uteuzi wake unakomea pale. Hivi sasa kuanzia Pinda na wengine ambao bado wana serve kwenye cabinet vyeo vyao ni batili Kikatiba.

Anyway KATIBA makini ya UKAWA ambayo ni Katiba ya WaTanzania tutairejesha mara baada ya Oct 25,2015.
 
Ilisemwa kuwa litavunjwa tarehe 28 August lakini mpaka sasa bado.
Mawaziri wanagombea ubunge!
Ni lini hasa baraza la mawaziri linapaswa kuvunjwa?
Na ni sababu zipi zinazoweza kusababisha rais kuchelewa kulivunja baraza la mawaziri?
Naomba msaada.
 
Litavunjwa pale raisi mpya atakapo apishwa Katiba ndo inataka hivyo
 
Hii ni moja tu kati ya madhila na ubadhirifu wa rasilimali lkn pia jinsi mamlaka zinavyotumika vibaya na hili ni moja ya chachu ya kuwapiga chini
 
Wanapiga posho za mwisho mwisho na kuhakikisha wanakomba pesa zote katika akaunti za Wizara zao maana hawana uhakika wa kurudi 2015 - 2020.
 
hali ni tete wanajua hawarudi tena hivyo wanatafuta pesa za mwisho.wanahali mbaya kama chama chao maccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom