Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,548
- 1,741
Nimesikia imejengwa eneo la utata kidogo lakini huo tunaita tetesi tuu.. Mi nataka nimjue mmliki haswa wa hii Hotel maana nimesikia leo kuwa jamaa yetu yule hamiliki mali yoyote hapa nchini zaidi ya kuwa kiongozi mkubwa....
Usiweke Hoja kama Huna Hoja!!
Toa hoja kama una hoja kama imechakachuliwa kaa nayo tuuu...
Hili ni swali wala si udhandiki kama MS atakavyofikiria!!
Ni mali ya mwarabu wa kilimanjaro kempinski