Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Idimi
1. Chaguzi za visiwani zimejaa kila aina ya vituko, na vinasababishwa na uwiano wa idadi sawa kwa wanachama na washabiki wa vyama viwili vikubwa visiwani humo, hii usababisha kuwepo na kila mbinu ili kupatikana kwa ushindi kwa wahusika.
Hivyo basi sio sahihi kusema waliokimbia na mabox ya kura ni kutoka CCM, huku ikifahamika kuwa na CUF wana njia nyingi za kubadilisha matokeo ili Maalim Madevu ashinde!
Zaidi uchaguzi wa 2000, ilibidi urudiwe kutokana na mbinu chafu walizotumia CUF. CuF kuona hivyo wakasusia marudio ya uchaguzi na kumfanya Aman ashinde bila bobo.
2. Aman Karume hakuwa na nia dhahiri ya kutaka kujua ni nani aliyempigia kura na ni nani hakumpigia. Kwere hizi ziliandaliwa na UWT-Zenj kuwatia jamba jamba hasa watendaji wa juu wa SMZ, ikiwa ni matokeo ya baadhi ya watendaji wa juu kutompigia kura Komandoo Salmin mwaka 1995 na kuwa mstari mbele kutangaza ushindi wa Maalim Seif.
Aidha Aman kama kiongozi wa kisiasa alisema kuwa anawajua walimpigia kura, hii haikuwa na lengo lolote zaidi ya kupamba tu moja ya mahutubio yake kwenye mikutano ya hadhara ambayo uambatana na vijembe vya hapa na pale.
Aman Karume anajua nini maana ya uchaguzi na kamwe hawezi kupoteza muda kujua nani kampigia kura na nani hakumpigia na ukichukulia kuwa ameshashinda, na ana jukumu la kuwaongoza wote waliompigia na wale ambao hawakumpigia.
1. Chaguzi za visiwani zimejaa kila aina ya vituko, na vinasababishwa na uwiano wa idadi sawa kwa wanachama na washabiki wa vyama viwili vikubwa visiwani humo, hii usababisha kuwepo na kila mbinu ili kupatikana kwa ushindi kwa wahusika.
Hivyo basi sio sahihi kusema waliokimbia na mabox ya kura ni kutoka CCM, huku ikifahamika kuwa na CUF wana njia nyingi za kubadilisha matokeo ili Maalim Madevu ashinde!
Zaidi uchaguzi wa 2000, ilibidi urudiwe kutokana na mbinu chafu walizotumia CUF. CuF kuona hivyo wakasusia marudio ya uchaguzi na kumfanya Aman ashinde bila bobo.
2. Aman Karume hakuwa na nia dhahiri ya kutaka kujua ni nani aliyempigia kura na ni nani hakumpigia. Kwere hizi ziliandaliwa na UWT-Zenj kuwatia jamba jamba hasa watendaji wa juu wa SMZ, ikiwa ni matokeo ya baadhi ya watendaji wa juu kutompigia kura Komandoo Salmin mwaka 1995 na kuwa mstari mbele kutangaza ushindi wa Maalim Seif.
Aidha Aman kama kiongozi wa kisiasa alisema kuwa anawajua walimpigia kura, hii haikuwa na lengo lolote zaidi ya kupamba tu moja ya mahutubio yake kwenye mikutano ya hadhara ambayo uambatana na vijembe vya hapa na pale.
Aman Karume anajua nini maana ya uchaguzi na kamwe hawezi kupoteza muda kujua nani kampigia kura na nani hakumpigia na ukichukulia kuwa ameshashinda, na ana jukumu la kuwaongoza wote waliompigia na wale ambao hawakumpigia.