Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Usijidanganye Bongolander, Tanzania ya hivyo haipo sasa hivi. Mungu aepushie mbali nchi hii ilivyosambaratika na maufisadi, uzembe,kununua silaha fake na kukosa uzalendo kuingia vitani. Kama vita vya ndani kupigana na ufisadi na rushwa viongozi wanafanya usanii vya risasi tutaweza?Here he comes again. Ajaribu kuitikisa Tanzania atakiona kilichomnyoa Khanga mayonya. Sasa hivi watu wanatafuta kitu cha ku-divert attention na yeye anataka kuwapa excuse. ................