Rais Dkt. Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu na Jaji mkuu Ikulu

Kuwatumikia watu watatu wenye interest tofauti ni kazi kubwa sana Mkuu lazima kutatokea conflict of interest.

Kuna kundi la mafisadi akina Lugumi, Escrow, Wakwapuzi wa UDA, PRIDE, IPTL etc hawa wanataka waendelee kulindwa kwa gharama zozote zile ili wasipandishwe kizimbani kwa maovu yao vinginevyo nchi itawaka moto.

Wenye kipaumbele namba mbili ni CCM hawa wanataka kuhakikishiwa kwamba wanabaki madarakani milele hata kama watafanikisha hili kwa kubaka demokrasi.

Halafu kundi la mwisho ni la Watanzania ambao tunataka kuwepo kwa utawala wa sheria, katiba tunayoitaka ya rasimu ya Warioba na nchi kunufaika na kupata maendeleo ya haraka kutokana na rasilimali zetu chungu nzima nchini.

Sasa unapokuwa madarakani na mara nyingi kuwapa upendeleo maalum kundi la kwanza wakifuatiwa na kundi la pili mara nyingi lazima kutokee conflict of interest kwa kulisahau kundi la tatu (Watanzania)

Hivi Ngosha amekosa kabisa mbinu ya kukuza uchumi na kuongeza ajira?
Hili ndio tatizo la kuongozwa na mtu mshari, anataka kupambana muda wote!
Ushauri wangu kwa Ngosha ni kuwa akihangaika na kila mbwa anayebweka njiani hata fika safari yake.
 
Hivi unamchukuliaje mtu anayetamka hadharani kujutia uamuzi wake wa kuchukua form? Umelifuatilia sakata la sukari? Lugumi, escrow, UDA na pride unayafuatilia? Ubakaji wa demokrasi nchini?

Ushahidi uliopo hadi saa ni kwamba kuongoza nchi katika hii miezi sita/saba ya kuwa madarakani kumemuelemea abadili muelekeo ili kurudisha credibility yake kwa Watanzania ambayo imeshaingia dosari kubwa.

kinachonishinda kuelewa ni jinsi wewe unavosema eti nchi itamshinda kwa lipi??kwani muelekeo wake sasa hivi upoje na unataka abadili mwelekeo uweje?
 
d73f0c9602abf5e8ee90e33da03c8362.jpg

Hapa jaji Othman anaonekana kama ndie mwenyeji, kumbe ni mgeni.
 
Nchi imeshamshinda inabidi abadili muelekeo haraka sana vinginevyo ataendelea kujuta kwanini alichukua form ya kugombea Urais.
Mkuu labda tumsaidie nini anatakiwa afanye maana hali si hali!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu aweke maslahi ya Tanzania na Watanzania mbele badala ya yale ya kuwakingia mafisadi kifua akina Lugumi, escrow, Wakwapuzi wa UDA na pia aachane na ubakaji wa demokrasi nchini na pia sera za kukurupuka. Aache kuongoza nchi kwa kuweka mbele maslahi ya CCM kuliko yale ya nchi.

Akiweza kufanya haya basi atapata mafanikio makubwa sana.

Mkuu labda tumsaidie nini anatakiwa afanye maana hali si hali!
 
Miezi sita tu and all hope is gone, sio wananchi wala watumishi wa serikali. Kuna mentality imeanza kujengeka kuwa tunaendeshwa na dereva asiyejua njia.

I am afraid of mass panic.
Lowassa must do something prety quickly, watu wamepoteza matumaini na Ngosha.
 
Miezi sita tu and all hope is gone, sio wananchi wala watumishi wa serikali. Kuna mentality imeanza kujengeka kuwa tunaendeshwa na dereva asiyejua njia.
I am afraid of mass panic.
Lowassa must do something prety quickly, watu wamepoteza matumaini na Ngosha.
Who is Lowassa
 
Mtu katamka hadharani kwamba anajuta kuchukua form, huhitaji kuwa nabii ili kuelewa kwamba kazi ya Urais anaijutia tena hata kabla ya mwaka ameanza kulalama hadharani. Kipi kinachokushindwa kuelewa hapa?
unashangaa hilo.
mbona makamanda viongozi walikuwa wakitamka kwa miaka zaidi ya nane kuwa Lowasa ni fisadi. lakini leo wamekengeuka.

mbona Msigwa alitamka atakayemfuata Lowasa na akapimwe akili. leo yako wapi
Mbona Lowasa alitamka kuwa tukishindwa uchaguzi huu hatutakaa tushinde milele.

na matamko meeeengi mengi. leo yote yamepinduliwa juu chini
 
Mazungumzo Ni Kuhusu Mafisadi Na Ile Mahakama Yao Ambayo Hadi Sasa Kisutu Wameanza Kuwaachia.

Waziri Mkuu Kagusia Naamini Sukari Imeadimika Mno.

Kubwa Ni Kutumbua Baraza La Mawaziri Zamani Tulisema Mawaziri Mzigo.

Sasa Hivi Mawaziri Majipu!

Kenedy we noma sana
 
Usibadili somo husika la uzi huu, uzi unamhusu Magufuli kama unataka kujadili mtu mwingine yoyote yule basi fungua uzi tofauti ili huyo anayetaka kumjadili ajadiliwe.

Nchi ina matatizo tena si madogo na chanzo cha matatizo haya ni muendelezo wa sera za kuwakingia kifua mafisadi, sera za kukurupuka na kutaka kuiendesha nchi kidikteta.


unashangaa hilo.
mbona makamanda viongozi walikuwa wakitamka kwa miaka zaidi ya nane kuwa Lowasa ni fisadi. lakini leo wamekengeuka.
mbona Msigwa alitamka atakayemfuata Lowasa na akapimwe akili. leo yako wapi
Mbona Lowasa alitamka kuwa tukishindwa uchaguzi huu hatutakaa tushinde milele.
na matamko meeeengi mengi. leo yote yamepinduliwa juu chini
 
Usibadili somo husika la uzi huu, uzi unamhusu Magufuli kama unataka kujadili mtu mwingine yoyote yule basi fungua uzi tofauti ili huyo anayetaka kumjadili ajadiliwe. Nchi ina matatizo tena si madogo na chanzo cha matatizo haya ni muendelezo wa sera za kuwakingia kifua mafisadi, sera za kukurupuka na kutaka kuiendesha nchi kidikteta.
Mzee mbona kama unaishi kwa mashaka sana hujiamini unatokwa na povu kukomalia nchi inaendeshwa kidikteta..ushawahi kuambiwa ukalale sa kumi n mbili jioni?

Yani mtu akisoma tu ulichokiandika lazima ataona unamawenge.
 
Lawama zote zimwendee mwenyekiti wa ccm na waliomsaidia kuhakikisha hakuna katiba ya wananchi inapatikana.
 
Usibadili somo husika la uzi huu, uzi unamhusu Magufuli kama unataka kujadili mtu mwingine yoyote yule basi fungua uzi tofauti ili huyo anayetaka kumjadili ajadiliwe. Nchi ina matatizo tena si madogo na chanzo cha matatizo haya ni muendelezo wa sera za kuwakingia kifua mafisadi, sera za kukurupuka na kutaka kuiendesha nchi kidikteta.
we unazungumza nini wakati mafisadi tuliwapokea tukawakumbatia na kuwasafisha. usijifanye kipofu. tutaelezana ukweli mpaka kieleweke. tumesema fukuzeni mafiaadi.

Magufuli ameanza na sisi tuanze sasa. upinzani tuko wapi. kazi kuishia kulalamika na kutafuta kick za kisiasa
 
Back
Top Bottom