Rais bora atatoka CCM - Mwalimu Nyerere

Kuna wakati mwalimu Kambarage alishawahi kusema "Kiongozi bora atatoka CCM", nimegundua kwamba kumbe alikuwa anamaanisha kuwa kiongozi bora ataondoka CCM na kujiunga na upinzani kama alivofanya E.N Lowassa. Hatimaye maneno ya mwalimu yametimia.
 
Ndiyo Lowassa kaielewa kauli ya Kambarage, na ndo maana "katoka" CCM, kwa kufanya hivo anakuwa kiongozi bora.
 
Ni kweli kabisa lazima atoke ccm maana akiendelea kuwepo ccm hawezi kuwa kiongozi bora!
Thank you His Excellency Hon. Edward Ngoyai Lowasa for being there when we mostly needed you.
You have my full support and my vote!
 
Kuna wakati mwalimu Kambarage alishawahi kusema "Kiongozi bora atatoka CCM", nimegundua kwamba kumbe alikuwa anamaanisha kuwa kiongozi bora ataondoka CCM na kujiunga na upinzani kama alivofanya E.N Lowassa. Hatimaye maneno ya mwalimu yametimia.

Na watu wakiyakosa mabadiliko ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM
 
JK Nyerere aliona mbali sana mpaka akatoa kauli nzito kwamba Rais anaweza toka chama chochote ila rais bora atatoka CCM, Hakusema rais bora atabaki CCM, Mh. Lowasa amethubutu KUTOKA CCM hivyo huyu atakuwa bora kwakuwa ametoka CCM na lengo ni kuleta mabadiliko ambayo watanzania wengi tuna yahitaji, ikumbukwe pia mwalimu Nyerere alisema kuwa watanzania wanahitaji mabadiliko, nadhani October 25 kura nyingi zitakwenda kwa ENL aliyetoka CCM na kuja UKAWA kukidhi kiu ya wengi.
 
JK Nyerere aliona mbali sana mpaka akatoa kauli nzito kwamba Rais anaweza toka chama chochote ila rais bora atatoka CCM, Hakusema rais bora atabaki CCM, Mh. Lowasa amethubutu KUTOKA CCM hivyo huyu atakuwa bora kwakuwa ametoka CCM na lengo ni kuleta mabadiliko ambayo watanzania wengi tuna yahitaji, ikumbukwe pia mwalimu Nyerere alisema kuwa watanzania wanahitaji mabadiliko, nadhani October 25 kura nyingi zitakwenda kwa ENL aliyetoka CCM na kuja UKAWA kukidhi kiu ya wengi.
Ndomaana ulipata division 5
 
Lowasa hayupo CCM. Lowasa yuko ukawa hivyo anaweza kuwa rais lakini kwa kuwa sio mwana CCM hawezi kuwa rais bora.
 
Kwasababu ya elimu mbovu na duni itolewayo na serikali ya CCM
unatarajia serikali na walimu wafanye upasuaji wa ubongo wa wanafunzi wajaze vitabu kichwani ndo utaona mabadiliko? piga msuli bidii yako ndo mafanikio yako usitegemee kupewa majibu kwenye mtihani.
 
Hakika naanza kuyaamini maneno hayo ya muasisi wa Taifa letu kupitia uchuguzi mkuu wa hapo october 25. Japo wajf na wananchi wengi watasema mengi sana kuhusu kauli hiyo lakini hivi sasa Ukweli unachukiwa zaidi kuliko Uongo.
 
Hakika naanza kuyaamini maneno hayo ya muasisi wa Taifa letu kupitia uchuguzi mkuu wa hapo october 25. Japo wajf na wananchi wengi watasema mengi sana kuhusu kauli hiyo lakini hivi sasa Ukweli unachukiwa zaidi kuliko Uongo.

Wewe unadhani ni kwanini "WanaJF wengi watasema mengi"?

Matatizo ninayoyaona hapa ni;
1. Unafikiria Mwalimu hakuwa anakosea,('hakuwahi kukosea' hada kwa kauli hiyo)

2 Wengi wa watumiao hiyo kauli hawajui Mwalimu aliongea vile kwa wakati/kipindi kile na si milele.
 
Ni mtazamo,everythng change accordng to time.ilikuwa kwa wakati ule ujinga wa watanzania ukiwa kwa 98% lakini sio sahivi.
 
..alikuwa anazungumzia wagombea waliojitokeza 1995.
..
..lakini kama unaamini mwalimu alimaanisha chaguzi zote, basi this time lowassa ametokea ccm. Au??
 
Back
Top Bottom