Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kazi tunayo africa
haya baada ya kuona isiwe taabu museveni kamchagua mkewe nae rais wa malawai akusita kumchagua mkewe kama waziri katika ofisi ya rais haya nimesikia leo asbh redio one
hakika naona umwinyi umeanza kuwaingia marais wetu wa africa haya kazi kwako mama salma kikwete naamini baraza lijalo mungu awezi kukutupa
haya baada ya kuona isiwe taabu museveni kamchagua mkewe nae rais wa malawai akusita kumchagua mkewe kama waziri katika ofisi ya rais haya nimesikia leo asbh redio one
hakika naona umwinyi umeanza kuwaingia marais wetu wa africa haya kazi kwako mama salma kikwete naamini baraza lijalo mungu awezi kukutupa