Rais anaposhukuru 'wasomi' Kugombea CCM

Hii thread inanishangaza kuongelea CDM v/S CCM aliyetamka ni mwenyekiti wa CCM akipanga safu yake na nafikiri alikuwa akitafuta vigezo vinavyo hitajika CCM kwa sasa ili iende na wakati.

Mimi sioni tatizo kama amefanya utafiti na kuona kuwa sasa chama chao kinahitaji vijana waliosoma. Ikumbukwe kuwa ulimwengu wa sasa ni ulimwengu wa sayansi na technologia.

Chama chochote kinacho pata ridhaa ya kuongoza nchi ndo kina kuwa na ridhaa ya kuongoza serikali. Katika viongozi wachaguliwao ndipo kunatoka mawaziri(kama katiba haitaondoa hili).

Hivyo ni vizuri kama mwenyekiti wa chama chao amegundua kuwa amepata vijana(ambao bado damu inachemuka) ambao wana mbinu za kisasa katika kuleta mabadiliko.

Huyu anapiga kampeni ndani ya chama chake hili wajumbe wachague vijana wenye uwezo. Sasa sijui katika hili CDM inahusikaje?

Unless kama CDM wamehamua kuwa wapigadebe wa wagombea wazee na wasio na elimu ndani ya CCM. Ambacho nafikiri si kweli.

Ya ngoswe mwachie Ngoswe.
 
Hivi sasa ni rasmi kwamba CCM ni tawala na miliki rasmi ya MAFISADI 100 % kuwa eti ndio timu inayotarajiwa kukipigania MAGAMBA hapo 2015.

Hili hadi hivi sasa limedhihirishwa na kitendo cha kinafiku kwa mapach watatu waliokua wafukuzwe na Mkama wakipandishwa vyeo zaidi na zaidi kwa kazi nzuri huko nyuma dhidi ya WaTanzania.
 
m/kiti wa ccm, rais wa nchi amesema ccm haitakufa. Moja ya ishara ya uhai wa ccm, alitaja ni ‘wasomi’ wanaogombea nafasi ndani ya ccm.

Shukrani hiyo inaonyesha wazi njaa ya wasomi ktk chama hiki tawala.

Nasubiri kuwaona hao wasomi ambao wanajiunga na ccm ni wa aina gani. Hisia zangu ni waalimu wa vyuo vikuu wanaokaribia kustaafu na wale wanaovizia kugombea ubunge mwaka 2015. Hawa hugombea ili wabahatishe uwaziri. Ccm inawasahau vijana wanaomaliza vyuoni kwamba hao ndo wasomi muhimu ktk box la kura na ndiyo walio wengi.

Kwa mwenendo wa maoni tuyaonayo haionyeshi kama katiba yetu mpya itaruhusu mbunge kuwa waziri.

Namuomba rais huyu pamoja na chama chake, wafurahie kuwaona wasomi wanaojiunga na cdm, cuf, tlp, n.k. Tatizo lao ccm wakiona hao wanaoitwa ‘wasomi’ wakijiunga na vyama vingine, huwageukia na kuanza kuwanyanyasa ktk ajira.

ni tabia ya vyama viliyokaa madarakani kwa muda mrefu, wanalewa madaraka. Wanaamini hakuna wa kuwang'oa.
 
Huyu ndiye yule JK aliyekwenda Pemba baada ya ajari ya boti na kuagiza "VIPIMO VYA DNA KWA MAITI"?
 
wasomi tu ndio wataisaidia ama kuizamisha CCM 2015 hivyo kuingia kwao sasa
  1. Ni haki na wajibu wao katika chama.
  2. Ni haki na wajibu wao katika amani na utulivu wa nchi.
  3. Ni wakati muafaka kwa chama kuendeshwa na matunda yake toka uhuru na kuasisiwa kwake.
  4. Ni shukrani yao kwa chama/serikali iliyowasomesha bure/mkopo.
  5. Kusaidia chama kiwe na taswira mpya na kuondoa siasa katika utendaji.
  6. kuwamulika wasomi wezi,mafisadi na wapinga maendeleo walioko ndani ya chama na hawataki kuondoka kwa kuogopa fedhea,aibu na mizengwex2.
  7. kuondoa dhana ya chama kutokuendeshwa kisomi. n.k
 
Here we go again!

Wasomi! Wasomi! Wasomi!

Usomi unawekwa mbele kuliko uwezo wa uongozi na sera bora.

Kuna tatizo kubwa la kifikra miongoni mwa watu wengi kwenye jamii yetu.

Kusema wazi ni kuwa hatauna mpango wowote kuhusu uongozi kwenye nchi yetu. Wanaostahili na wenye uwezo wa kuongoza hawapewi nafasi ya kuongoza, wasiostahili na wasio na uwezo ndio wako maofisini. Unaweza kushangaa katika pool iliyojaa watu wenye elimu na uwezo wa kuongoza na wasio na elimu na uwezo, ni wasio na elimu na uwezo ndio wanaingia madarakani.

Even worse wanaoitwa wasomi ni wasomi "uchwara" wanajaribu kuleta theories za Ulaya na Marekani ambazo hazifanyi kazi katika mazingira ya jamii yetu, hawafanyi efforts kutumia akili zao na elimu zao kufanya mambo ya-work katika mazingira ya Tanzania.

We do not have any proper system of selecting leaders, even what we call "mechanism" for that matter are all fukced up. Ndio maana nchi yetu iko ovyo na inaendelea kuwa ovyo.
 
Tumsamehe ndo upeo wake!
Suala la foleni badala ya kutuambia impact kwenye uchumi watu wanapodrive 12km/hr yeye anaongelea Ndoa kuvunjika
Mambo ya ndoa na unyumba ndio his sphere of influence ndio maana anayapa umuhimu kuliko uchumi!!
 
M/kiti wa CCM, Rais wa nchi amesema CCM haitakufa. Moja ya ishara ya uhai wa CCM, alitaja ni ‘wasomi’ wanaogombea nafasi ndani ya CCM.

Shukrani hiyo inaonyesha wazi njaa ya wasomi ktk chama hiki tawala.

Nasubiri kuwaona hao wasomi ambao wanajiunga na CCM ni wa aina gani. Hisia zangu ni waalimu wa vyuo vikuu wanaokaribia kustaafu na wale wanaovizia kugombea ubunge mwaka 2015. Hawa hugombea ili wabahatishe uwaziri. CCM inawasahau vijana wanaomaliza vyuoni kwamba hao ndo wasomi muhimu ktk box la kura na ndiyo walio wengi.

Kwa mwenendo wa maoni tuyaonayo haionyeshi kama katiba yetu mpya itaruhusu mbunge kuwa waziri.

Namuomba Rais huyu pamoja na chama chake, wafurahie kuwaona wasomi wanaojiunga na CDM, CUF, TLP, n.k. Tatizo lao CCM wakiona hao wanaoitwa ‘wasomi’ wakijiunga na vyama vingine, huwageukia na kuanza kuwanyanyasa ktk ajira.

siku anaongea nilipata kikohozi mfululizo.Akaongeza wanaoshani chama kinakufa watakufa wao.Nikajiuliza au watatuua ili tutangulie kufa kabla ya chama?bati kufa kwa watu waipingayo CCM hakumaaninshi kuwa wanaoipinga hawatazaliwa au kujitokeza toka CCM.CCM hawan ahistoria ya kuw ana msomi anayefikiria vyema.Sijui anajivunia nini tena hapa.
 
Back
Top Bottom