MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,166
M/kiti wa CCM, Rais wa nchi amesema CCM haitakufa. Moja ya ishara ya uhai wa CCM, alitaja ni wasomi wanaogombea nafasi ndani ya CCM.
Shukrani hiyo inaonyesha wazi njaa ya wasomi ktk chama hiki tawala.
Nasubiri kuwaona hao wasomi ambao wanajiunga na CCM ni wa aina gani. Hisia zangu ni waalimu wa vyuo vikuu wanaokaribia kustaafu na wale wanaovizia kugombea ubunge mwaka 2015. Hawa hugombea ili wabahatishe uwaziri. CCM inawasahau vijana wanaomaliza vyuoni kwamba hao ndo wasomi muhimu ktk box la kura na ndiyo walio wengi.
Kwa mwenendo wa maoni tuyaonayo haionyeshi kama katiba yetu mpya itaruhusu mbunge kuwa waziri.
Namuomba Rais huyu pamoja na chama chake, wafurahie kuwaona wasomi wanaojiunga na CDM, CUF, TLP, n.k. Tatizo lao CCM wakiona hao wanaoitwa wasomi wakijiunga na vyama vingine, huwageukia na kuanza kuwanyanyasa ktk ajira.
Shukrani hiyo inaonyesha wazi njaa ya wasomi ktk chama hiki tawala.
Nasubiri kuwaona hao wasomi ambao wanajiunga na CCM ni wa aina gani. Hisia zangu ni waalimu wa vyuo vikuu wanaokaribia kustaafu na wale wanaovizia kugombea ubunge mwaka 2015. Hawa hugombea ili wabahatishe uwaziri. CCM inawasahau vijana wanaomaliza vyuoni kwamba hao ndo wasomi muhimu ktk box la kura na ndiyo walio wengi.
Kwa mwenendo wa maoni tuyaonayo haionyeshi kama katiba yetu mpya itaruhusu mbunge kuwa waziri.
Namuomba Rais huyu pamoja na chama chake, wafurahie kuwaona wasomi wanaojiunga na CDM, CUF, TLP, n.k. Tatizo lao CCM wakiona hao wanaoitwa wasomi wakijiunga na vyama vingine, huwageukia na kuanza kuwanyanyasa ktk ajira.