Raia Mwema: Lowassa na usanii wa ziara ya Obama

Hata wajaribu kuspin kwa speed ya rocket, ukweli utabaki kuwa Lowassa alionewa tu! Ilikuwa inajulikana toka Mwanzo kuwa mitambo ya Richmond ililetwa na Wamarekani, Mipango yao ilikuwa inajulikana siku nyingi sana! Hata Jeshi letu lilitumika kukwepesha mito isimwage maji kwenye mabwawa yanayofua umeme ili mission zao zitimie! Innutshell USA walikuwa wanamgwaya Lowassa baada ya kufuta mkataba wa City Water enzi zile!... Tuache ushabiki tuzungumze ukweli! Hakuna tofauti kati ya Richmond, Dowans na Symbion! Haku transctions zilizopitishwa baina ya hizi kampuni!!! haya ni makampuni vifagizi vya Exxon Power!...
Tuambieni chuki zenu kwa Lowassa zinatokana na nini na si kutuletea umbea usiokuwa na mashiko....

chuki zetu kwa EL zinatokana na masabuli anayotufanyia watanzania. hatufai aende zake. msioutaka ukweli ndo huo hatufai. city water enzi zile wakati mmeelezwa kuwa alivunja mkataba baada ya mwandosya kuzuia gawio lake haramu la 100m kila mwezi kwenda kwake. hamktaki kuelewa. hivi nyinyi ni baby school au?
 
Hawa raia mwema hawana habar ila ni makasuku, nani ambaye hajui ili report ya kamati na ushauri wa Mwakyembe baada ya uchunguzi??? ni unafiki na ukanjanja wa uandishi.

Pili, mwandishi wa makala hii ni mtu mwenye dharau kwa kubeza taaluma za watu, kwani kusomea sanaa ni tatizo mana alivyoiongelea hapa kama si fani vile, kwa maelezo yake ni mtu mwenye upeo mdogo kuliko..na elimu yake haijamsaidia hata kidogo.

waandishi wa namna hii hawata lisaidia taifa daima ila kutengeneza chuki na majungu na kwa mwendo huu africa tutaenda kuchukiana na mwisho kuuwana kikanda,kikabila, rangi na hata taaluma.. waandishi wajifunze kuandika habari na siyo hisia na ushabiki. ni upuuuzii huu.

alitakiwa kuandika habar yenye kueleza mapungufu ya waziri wahusika na hata kamati pamoja na bunge, kwani imelitia pia hasara taifa kwa report iliyojaa chuki binafsi na baadaye kundi la Mwakyembe wabambanaji fake wa ufisadi..

Tetea ufisadi baba maana ndio uliokufikisha hapo ulipo na hivyo ni wajiu wako kutetea uozo. Kumpa lowasa urais wa nchi hii ni bora hata nimpe Dovutwa! A thief, anajaribu kutumia vihela vyake tena kwa kuhujumu hata watumishi wa Mungu ili aende ikulu! Kweli dunia imekwisha, na Nyerere alishawaambia mtu anayetumia fedha nyingi tena chafu kwenda ikulu atazirudishaje hzo fedha alizotumia kama sio kwenda kuuza nchi yetu kwa mafisadi wa nje? Muogopeni kama kama ukoma!
 
Hawa raia mwema hawana habar ila ni makasuku, nani ambaye hajui ili report ya kamati na ushauri wa Mwakyembe baada ya uchunguzi??? ni unafiki na ukanjanja wa uandishi.

Pili, mwandishi wa makala hii ni mtu mwenye dharau kwa kubeza taaluma za watu, kwani kusomea sanaa ni tatizo mana alivyoiongelea hapa kama si fani vile, kwa maelezo yake ni mtu mwenye upeo mdogo kuliko..na elimu yake haijamsaidia hata kidogo.

waandishi wa namna hii hawata lisaidia taifa daima ila kutengeneza chuki na majungu na kwa mwendo huu africa tutaenda kuchukiana na mwisho kuuwana kikanda,kikabila, rangi na hata taaluma.. waandishi wajifunze kuandika habari na siyo hisia na ushabiki. ni upuuuzii huu.

alitakiwa kuandika habar yenye kueleza mapungufu ya waziri wahusika na hata kamati pamoja na bunge, kwani imelitia pia hasara taifa kwa report iliyojaa chuki binafsi na baadaye kundi la Mwakyembe wabambanaji fake wa ufisadi..

Nahakika kuwa Mkuu huyo Mwandishi haujamuelewa,karibu Watanzania wote tuna fahamhu kuwa Edward Lowassa alijiuzuru kwa kuwa kama Waziri Mkuu alishindwa kusimamia vyema sheria ya manunuzi ya Umma kwa kupindisha taratibu zilizopo ili kuipatia nafasi kampuni ya Richmond LLC kupata tenda ya kuiuzia Tanesco umeme,kwa jambo hilo tu ni tosha Lowassa alijiuzuru na nafsi yake ikiwa inafahamu madudu aliyoyafanya,licha ya kulalamika kuwa kaonewa. Tukumbuke pia Mwalimu Nyerere alituasa kuhusu huyu kijana wa zamani wakati ule alipokuwa anagombea Urais,Mwalimu aliyufahamisha kuwa Lowassa ana utajiri ambao kaupat kwa njia ambazo si sahihi na hakushindwa kutuambia kuwa kapata utajiri kwa njia za rushwa toka alipokuwa Mkurugenzi wa AICC. Mambo haya yote tulikuwa tunapewa hadhari sisi Watanzania kuwa Lowassa hafai kuwa Kiongozi wa nafasi ya juu kabisa ya uongozi wa Nchi yetu kwa kuwa ananuka rushwa! Kama Lowassa angekuwa shujaa kama anavyotaka hivi sasa tumuamini basi angembishia Mwalimu Nyerere kuwa yeye si mlarushwa lakini jambo hilo hakulikanusha na dhambi hiyo imeendelea kumfuata mpaka pale alipokabidhiwa madaraka na Rais Kikwete kuwa Waziri Mkuu. Tabia yake ya kupenda rushwa alishindwa kuizuia na akaendelea na mtindo wake huohuo wa kula rushwa na hatimae jumba bovu likamwangukia! Kamat ya DR Mwakyembe ilifanya uzalendo mkubwa sana wa kufichua yale yote yaliyofanywa na Ndugu Lowassa tena kwa umakini mkubwa hatupashwi kuilaumu Tume ile bali tunafaa tuipongeze tusinge jua mabaya yote ya Lowassa hata kama Mwalimu alitufumulia robo tu ya maovu yake!
 
Call a spade a spade and not otherwise. EL ni mwizi, hatufai kabisa kuwa Rais wa nchi hii!
 
chuki zetu kwa EL zinatokana na masabuli anayotufanyia watanzania. hatufai aende zake. msioutaka ukweli ndo huo hatufai. city water enzi zile wakati mmeelezwa kuwa alivunja mkataba baada ya mwandosya kuzuia gawio lake haramu la 100m kila mwezi kwenda kwake. hamktaki kuelewa. hivi nyinyi ni baby school au?

Membe2015 utaambulia kura yako wewe na ya dadako maana hata shemejio hatakupigia... back kwenye mada; No research No right to speak... Mwandosya unaemzungumzia ndiyo yule yule alieuza celtel kwa 10%? Ndiyo yule alieukwa mingwengwe na kusingizia kulishwa sumu? wapi amewahi kudeliver? baby school or sunday school vinaingiaje hapa? ...Kusini mlipewa miaka 10 ya kuongoza nchi hii, ndani ya miaka kumi mlimuua baba wa Taifa, Ndani ya miaka kumi mliwaua waislam wa unguja na pemba, ndani ya miaka kumi mliwaua waislam wa mwembechai, ndani ya miaka kumi chini ya chinga mliuza viwanda vyote vya watanzania, ndani ya miaka kumi mmeuza madini yote ya Tanzania, ndani ya miaka kumi ya BWM mmevuta ngawira BOT, ndani ya miaka kumi mmegawana kiwira, ndani ya miaka kumi mmegawana vitalu vya gesi, ndani ya miaka kumi dhahabu ya watanzania inamilikiwa na wageni, Tanzanite, Uranium, nickel, Mashamba, Viwanda, Hotels, viwanja vya ndege vyote mmevigawa kwa wageni... Bado mmnaota ndoto ya urais? fedha kichele mlizozichukua kwa marhemu Ghadaffi zisikuzuzue kaka...
 
Hata wajaribu kuspin kwa speed ya rocket, ukweli utabaki kuwa Lowassa alionewa tu! Ilikuwa inajulikana toka Mwanzo kuwa mitambo ya Richmond ililetwa na Wamarekani, Mipango yao ilikuwa inajulikana siku nyingi sana! Hata Jeshi letu lilitumika kukwepesha mito isimwage maji kwenye mabwawa yanayofua umeme ili mission zao zitimie! Innutshell USA walikuwa wanamgwaya Lowassa baada ya kufuta mkataba wa City Water enzi zile!... Tuache ushabiki tuzungumze ukweli! Hakuna tofauti kati ya Richmond, Dowans na Symbion! Haku transctions zilizopitishwa baina ya hizi kampuni!!! haya ni makampuni vifagizi vya Exxon Power!...
Tuambieni chuki zenu kwa Lowassa zinatokana na nini na si kutuletea umbea usiokuwa na mashiko....
Watanzania tusijifanye tuna vichwa panzi Hivi alionewa vipi? Hakujua anavunja sheria kama waziri mkuu. Eti kujitetea kwake kwenye kamati kuu ya ccm ajivue gamba eti ndo tuuone ukweli mtakatifu? Ina ukweli gani huo utetezi wake eti alijiuzulu kuinusuru ccm? Kwa hiyo kwake muhimu ni ccm na si uadilifu wake kama kiongozi? Hivi kwa utetezi huo dhaifu unaonesha kuwa Lowasa toka mwanzo alijua Richmond ni uhalifu ila aliuficha na kuupitisha kama waziri mkuu ni utetezi wa mashiko eti tuone alionewa? Alionewa? Kwanini hakuufichua kama ni mzalendo na kiongozi shupavu? Kwanini asingejiuzulu tokea mwanzo akutuambia watanzania uhalifu unaofanywa na kiongozi wake JK ili kutuokoa na hsdara ya millions nchi inaingia hasara mpaka sssa hivi?
Hakuna pa kujitetea Lowasa ni muhalifu na hafai kusogelea ikulu hata nchi 1.
Pili nchi hii inahitaji mfumo mwingine ili nchi iweze kuwa na mabadiliko ya kuchochea maendeleo. Mtu kama Lowasa hafai kuongoza harakati zote za mabadiliko kwanza ni mpinga mabadiliko. Mabadiliko ndoto kwake. Lowasa hana fikra jipya. Yeye mfumo anaouabudu ni wa viongozi kuwa miungu badala ya watumishi, viongozi kuhodhi madaraka makubwa na serikali kuu kuwa juu ya mihimili mingine ya dola. Nchi haiwezi kubadilika kwa mfumo huu wa miaka nenda rudi ulioshindwa. Katiba mpya kwao si hoja. Wanautumia tu kupimia upepo wa siasa. Wakishinda uchaguzi wataukunja na kuutupa kisha kuendelea na mfumo huu wa sasa unaolea wezi na wahalifu kama Lowasa.
Nikuambie huenda Lowasa kwako ukamuona Nafuu kwa kutomjua au kulinganisha na wenzake lakini ukweli hao wote hawafai kwani wamefaidika na mfumo mbovu, wanauabudu kwa kuwapa nguvu za kifedha na kisiasa na wanapigana kuuendeleza kwa faida yao hata kama hauna maslahi kwa nchi.
Tatu niambie lile tukio la bomu Arusha kwenye mkutano wa CDM Lowasa hakujua huo uhalifu wa kutisha uliopangwa na chama chake kupitia jeshi la polisi? Kwa asilimia 99 alijua. Kama alijua bado anafaa kuwa hata mkuu wa wilaya? Ina maana analinda mfumo mbovu hata kwa kumwaga damu za watu wasiokuwa na hatia?
Lowasa hafai hata kuwa mkuu wa wilaya.
 
Back
Top Bottom