Kesi ya igunga ambayo inafanyika hapa igunga imefikia patamu jana pale waziri sophia simba na aden rage walipotoa ushaidi wao jana.hivi leo asubuhi ccm wamekataa kuendelea na kesi kwa kile kinachoonekana hawana imana na jaji anayeendesha kesi hiyo.baada kwenda kujadiliana kidogo kati ya jaji na wakili wa ccm hatimaye kesi inaendelea kama kawa.